Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Mbolea ndiyo inakuza au mvua?Mbole ulizotumia ni zenyew kupandia..bado kukuzia..all the best!
Nyinyi wataalamu vipi DAB inayarutubisha mahindi tu.
.
Mimi natia hadi hadi mtama humohumo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbolea ndiyo inakuza au mvua?Mbole ulizotumia ni zenyew kupandia..bado kukuzia..all the best!
Inawezekana na argue na mtu asiyejua kushika hata jembe.Hahhahaa ww mgeni...eti unamwambia kuna mbolea inaitwa DAB...dah!😅...sema apandie mbole...zinajilikana..hyo kumix mazao nadhan mazao ya kunde kunde sio mbya!...ww weka hata mazao kumi shamba moja!/maana unaonekan ndo unajifunza! Weka na uwele kbs
HhHahahah.dah.USIVITUMIEEE VIOGOPE KABISA.
Na ukiendelea kuuliza watakuja wana nzengo watakwambia upime na udongo mimi nawakimbizaga
Kilindi home sweet home.
Mashamba wanauza bei gani huko
Kwa bei ya kuuza sijajua mkuu, ila kwa bei ya kukodisha shamba ni 30,000 kwa hekali moja.
Unakuta mabwana shamba wa Bongo wanakwambia usichanganye mahindi na zao lolote lakini juzi kaja bwana shamba mmarekani akashauri tuchanganye mahindi na maharagwe au karanga [emoji23][emoji23][emoji23]Watakuchelewesha kufikia kilele cha mafanikio watakuja na mbinu zao ambazo huwa zinazalisha kidogo.
.
Kuna mbolea inaitwa DAB inauzwa kati ya elfu 45-60 mfuko mmoja unaweza kupandia ekari zote 5 ikiwa unapesa nyingi unaweza kupanda kwa eka mbili au moja na nusu.
Ukiipata hii my friend you're on top of Kilimanjaro mountain na usikubali ushauri wao kwamba usichanganye mazao we piga hata matatu humohumo.
.
Nina shamba mkoa fulani nimeshalima Mahindi, Alizeti na Maharage humohumo mkuu ni habari ingine shamba lina hekari 4 tu
Samahani unaweza kunitajia vijiji yanapopatikana jumatatu ninatarajia kwenda korogwe ili nipitie na huko
Tumbili chapa gani ya siku 60?Duh ww kiboko...mbegu madukan kilo moja 12000!inakuwia nn ugumu kununia mbegu mpya? Duh...kwel ww wa zaman sana!..ten ile sijui wanaita tumbili na meru513 mbegu nzuri sana 60days unakula mahindi...
Wilaya yote ya Kilindi, Songe pamoja vijiji vyake vya karibu kama vile Lengatei, Kwamba, Misheni, Muheza (hii iko kilindi, sio ile wilaya yenyewe) kwa uchache nafahamu vijiji hivyo. Hivyo vijiji ukienda unapata mashamba. Vizuri zaidi uende na mwenyeji, kila la kheri.
Sikumbuki...niliipanda hyo siku , 60/kamili tukala.mahindi
Wewe una uzoefu wa kulima na kuchakata?Sasa ngoja nikufundishe ww msukuma...ukitumia mbegu zilizotumika nyuma unapata mazao machache na duni unapata mahund madogodogo...makubwa ya kuhesabu..hapa mie naongelea kilimp biashara mkuu...!..na akitaka faida ayaprocess mwenyewe auze unga ataona faida yake! Bado uko nyuma sana aisee!
Wewe unisjwe a uzoefu wa kulima na kuchakata?
Unajua kwanini kalima hekari 5 tu?
Au unafanya kilimo cha JF?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana na argue na mtu asiyejua kushika hata jembe.
Wewe unalimaga wapi?
ShUkran sana kakaSubiri watakuja wazee wa nadharia watakupigia hadi na budget kilimo mbona utakikimbia na hilo shamba utamuachia mwingine.
.
Lakini ukifumba macho ukaachana na vijana wa SUA sijui na wapi najua Bagamoyo hupati mbolea ya ng'ombe ukatafuta mbolea nzuri tu ambayo haitakuumiza kwenye kuhudumia shamba chukua hiyo vaa gumboot nenda shamba trekta lifanye kazi yake
Msakaa Jr hawa watu wengine hudhani kulima ni rahisi, ukifuata mambo anayoyasema unaugua maana utapigika kisawasawa.
Wapi huko mkuuKwa bei ya kuuza sijajua mkuu, ila kwa bei ya kukodisha shamba ni 30,000 kwa hekali moja.