Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

tafadhar mkuu naomb msaada wa jinsi ya kupata hizo mbegu aina ya anna f1 au eden f1 ikibidi weka na bei hapa..naomba n pm kwa kalingaasukile@gmail.com

Anna f1 paketi ya gram 1000 ni tsh 50,000 mpaka 60,000 kwa eka ukipanda spacing ya 40 sm x 40 sm x 150 sm,eka moja utahitaji miche 13,333.3 approximately 14,000 ,paketi moja ina mbegu 1000(hybrid huuzwa kwa idadi ya mbegu si gram kwan huota kwa zaidi ya 98 percent),hivyo utahitaj paketi 14000÷1000=14,itakua 14 x 50000=700000tsh au 14 x 60=840000 tsh
 
Kwny kiazi hapoooo...nlikuwa na options hzo mbili kiazi au nyanya,njegere nimelima ntaanza kuchuma keshokutwa Malila. Ukipita tena huku karibu sana mkuu tuonane JF imeunga undugu

Hongera, njegere za msimu huu zinalipa mbaya, huko napita july kukagua fire break za misitu yangu. Pia omba kwa wenyeji ulime karoti. Mgagao ni maarufu kwa njegere/karoti na kabichi. Nitakutafuta nikipita pande zile. Asante mkuu.
 
Hongera, njegere za msimu huu zinalipa mbaya, huko napita july kukagua fire break za misitu yangu. Pia omba kwa wenyeji ulime karoti. Mgagao ni maarufu kwa njegere/karoti na kabichi. Nitakutafuta nikipita pande zile. Asante mkuu.

Asante mkuu Malila ntafanyia kaz ushaur wako
 
Habari ndugu zangu....

Mimi nimeingia kwenye kilimo. Sasa natayarisha shamba kwaajili ys kupanda nyanya, tafadhali naomba msaada kwa ambaye ameshatumia mbegu za ANNA. Je, ni kweli zinazaa miezi nane mfululizo?

Na kuhusu soko, mnanishauri vipi nitafute madalali au niuze mwenyewe maana kuna nishatafuta soko kwa watu wa vibanda na kuna wateja ninao tayar. Naomba msaada wenu tafadhali. (Nipo Dar, shamba lipo Mkuranga)
 
Mkuu hao wa vibanda watakuumiza. Nakushauri utafte planB vinginevyo jiandae mapema kuanza kuzungumza pekeako njiani!!!

Hizo mbegu za Anna F1 zinazaa sana na kwakua target yako ni kuwauzia hao "vibanda umiza" basi lima walau nusu ya robo eka usije ukajuta kuzamisha mtaji wako.
 
Asante ndugu ndo maana nikaleta hapa nipate ushauri zaidi..... ni katika kuboresha tu. Kisima
 
Last edited by a moderator:
Asante ndugu ndo maana nikaleta hapa nipate ushauri zaidi..... ni katika kuboresha tu. Kisima

Mkuu mimi huwa ninalima nyanya lkn kwa upande wa mbegu za Anna F1 sijawahi kuzitumia,halafu kuhusu soko la nyanya mbona wewe upo huko mjini? Sisi wa vijijini ndo tunahaha kupata soko zuri.
 
Last edited by a moderator:
Kama ukiweza anza kutafuta tenda kabisa sasa hivi kwenye masupermarket au mahoteli mapema. Waambie unaweza kuwapa in a single bulky delivery. Hata kwa discount wape tu. Ukizembea unaweza kujikuta unalia peke yako.
 
Ukitaka nyanya ambayo utaivuna kwa muda mrefu zaiditumia kilimo cha green house.

Kwa upande Wa soko madalali ni wazuri lakini wakati mwingine wanashusha thamani ya biashara yako, ila kama umeshatafuta soko mitaani na unaona linaweza kutosheleza nyanya utazo vuna bora uuze mwenyewe.
 
Hongera kwa uamuzi wa kujikita katika kilimo, hususani nyanya'ila kwa kuwa unaanza nakushauli pata maelezo ya kutosha kutoka kwa wataalamu kabla ya kuanza, mimi nalima nyanya, tena hiyo Ana f1, lakini nyanya hii inahitaji uelewa wa kutosha ili upate mavuno mengi, Kama lilivyo moja ya sifa zake.

Lakini 'nyanya hunyanyasa', pia nyanya hunyanyua' kila la heri
 
Wakuu Hiyo Mbegu Ya Anna F1 Inauzwa Wapi Na Bei Gani? Je Naweza Lima Bila Greenhouse?
 
Asante ndugu kiboli
Kwa bahati nzuri niko na mtaalam (bwana shamba) ambae ndo atakuwa akiniongoza na pia yeye ana uzoefu tayari. Naamini nitafanikiwa, sitaki kuweka mawazo hasi yatanikatisha tamaa! Nakomaa, na pia nitafata hatua kwa hatua.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Naomba Msaada Wenu Ni Mbegu Ipi Ya Nyanya Ambayo Ni Hybrid Na Inafaa Kulima Kwenye Open Field Na Bei Yake Ni Nafuu? Na Ikiwezekana Naomba Na Contact Zao
 
Back
Top Bottom