Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao wadudu wanakula aina yote ya nyanya na hata viazi.
Mm Nalima Nyanya Aina Hybrid Kipato F1 Ila Hawa Wadudu wanashambulia nyanya za aina zote kama tanya,lakini pia dawa kama selecron,na zingine ila huwa hawafi lakini jambo la kusikitisha huwa wanashambulia mpaka kitalu
unajuwa mimi nawasaidia kama mtaalam ili mtu asipate hasara, si mshauri dawa ya kujaribu ila dawa yakukusaidi.selecron haifanyi kazi na hao wadudu wana jenga ukinzani na dawa hivyo tumia hizo dawa ili kuangamiza na mayai yake kwa arusha tumefanikiwa kudhibiti na hivyo wakulima wanavuna nyanya vizuri.Mm Nalima Nyanya Aina Hybrid Kipato F1 Ila Hawa Wadudu wanashambulia nyanya za aina zote kama tanya,lakini pia dawa kama selecron,na zingine ila huwa hawafi lakini jambo la kusikitisha huwa wanashambulia mpaka kitalu
Nakushauri tumia coragen au LIBAX coragen kuna ujazo wa mls 30 kwa chupa na unapiga mls 6 kwa ltr 20 ya maji nani sh 18000 hadi 22000 na Libax inatoka kenya na ni mls 50 sh 15000 na unapiga mls 6 kwenye liter 20 ya maji.Ok mkuu stemcell sasa kati ya dawa ulizosema ipi ni mzuri zaidi? na je huwa inapulizwa baada ya muda gani? na je chupa zake zina ujazo gani ktk lita 20 unatumia cc ngapi? na kwa chupa moja bei gani?
Wakuu Naomba Msaada Nyanya Zinashambuliwa Na Funza Wadogowadogo Wa Kijani Wanakaa Kwenye Majani Yakianza Matunda Wanatoboa Na Kuingia Kwenye Matunda.Nimejaribu Dawa Nyingi Kama Dudu All,ninja,konto Nk Naomba Msaada Nitumie Dawa Gani?
hao wadudu wanakula aina yote ya nyanya na hata viazi.
Huyu mdudu nimemsikia pia kwenye maonesho hayo.Kwa faida ya wasomaji, huyu mdudu huko Kenya kabatizwa jina la Al shabaab hapa kwetu anajulikana kama KANTANGAZE.
Jaman Dawa Nimeipata Ni Amsac Ni Mzuri Mno.
mkuu wala msihangaike na dawa ambazo hamna uhakika nazo, mdudu huyu ni very resistance to any insecticide, ila hii hapa Mimi nimeijaribu Iko vizuri sana, jitahidi kuipiga Mara 2 within a week kama tatizo ni very serious, na baada ya hapo pigaw kila wiki mara 1, dosage ni 10mils/20ltrs of water, (ni muhim usome kibandiko) ....inaitwa MULTIMECTIN plus, inapatikana sana arusha na moshi.