Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

kuna nyanya fulani niliwahi kununua kariakoo, hii nyanya niliambiwa
inatoka wilaya ya rushoto.mbegu yake niliambiwa inaitwa
[DUMUDUMU] ina asili ya ugumu hivi, ilikuwa inachukua muda
mrefu kuharibika. Kama kuna anaeifamu vizuri mbegu hii naomba
atufafanulie vizuri ahsante.
 
Zipo aina ya nya nyingi ambazo huweza dumu kwa muda mrefu hta zaidi ya miezi 6. Ila sio unavyofikiri wewe. Aina za hizi nyanya kama anna f1 ni mbegu za greenhouse sasa ukienda kulima kwenye open field ndyo utavuna ila sio kwa muda mrefu utegemeavyo wewe.

Also kwakuwa unaanza ninakushaur usikimbilie kulima shamba kubwa. Lima kidogo gain experience. Kilimo kinachangamoto nyingi sana.
 
Zipo aina ya nya nyingi ambazo huweza dumu kwa muda mrefu hta zaidi ya miezi 6. Ila sio unavyofikiri wewe. Aina za hizi nyanya kama anna f1 ni mbegu za greenhouse sasa ukienda kulima kwenye open field ndyo utavuna ila sio kwa muda mrefu utegemeavyo wewe.

Also kwakuwa unaanza ninakushaur usikimbilie kulima shamba kubwa. Lima kidogo gain experience. Kilimo kinachangamoto nyingi sana.
kwa mukoa kama iringa ni mbegu gani ya nyanya inafaa,
kwa wilaya ya mufindi ahsante
 
Wakuu Naomba Msaada Wenu Ni Mbegu Ipi Ya Nyanya Ambayo Ni Hybrid Na Inafaa Kulima Kwenye Open Field Na Bei Yake Ni Nafuu? Na Ikiwezekana Naomba Na Contact Zao
Nyanya aina ya Anna F1, Colazon, Eva F1 na Asilla ni nyanya ndefu ambazo unaweza kuvuna hadi miezi 8 na zina mavuno makubwa kuliko nyanya za kawaida.

Mara nyingi zinatumika kwenye greenhouse lkn pia unaweza kutumia kwenye open field kwa maeneo yenye hali ya hewa ya baridi.

Msisitizo: Nyanya hizi hazifanyi vizuri kwenye maeneo yenye hali ya joto.
 
Mkuu tanaluza samahani kwa Tanzania sh ngapi gram 100 inauzwa na eka moja inahitaji gram ngapi?
Uvunaji wake unakuwa km hoho vile kira baada ya siku kazaa unachuma na kuota tena mauwa?
 
OK asante sana kiongozi
Je kwa eka moja itaitaji gram ngapi ??
 
Habari mkuu? Hii asilla ikiwa utaitunza vema unawaza kuvuna Mara ngapi? Maana nimeilima kidogo ( 10gm) kuijaribu nione matokeo yake. Ndiyo inaanza kuweka matunda now. Naomba unijuze unaweza kuvuna Mara ngapi?
Mkuu Tupe feedback ya hiyo asilla 10gm
 
Asante dada,

Kiasi ninachofahamu ni kidogo sana,ila njaa ndio imenifanya niyatafute na kuyajua haya mambo,ukiachia mbali kuwa elimu ya kilimo nilipata kidogo kwa vitendo. Pili huku ktk kilimo ushindani sio mkubwa kama ktk biashara nyingine. karibu.
habar jaman?,
hvi sasa npo shamba nachimba mashimo kwaajili ya kupandikiza miche ya NYANYA aina ya TANYA. Naomba mnisaidie kwa ekari moja natakiwa kupata MASHIMO MANGAPI ya kupanda miche?
je nikiweka mbolea ya mbuzi kidogo na DAP kwa kila shimo kuna tatizo?,pia yeyote mwenye ushaur zaid anisaidie. Eneo lenyewe lipo Iringa ktk wilaya ya Kilolo hvyo kuna baridi(Malila unalifaham eneo hili ni kijiji cha Masege jiran na kihesa mgagao)
pia kuna eneo limebaki la ukubwa wa 20*100 nafikiria kulima bamia je zitakubali kwa hali hii ya hewa?, sina shaka na soko nimeshatafiti hvyo nmepata
asanten sana
 
Habari jaman?

Hivi sasa nipo shamba nachimba mashimo kwa ajili ya kupandikiza miche ya NYANYA aina ya TANYA.

Naomba mnisaidie kwa ekari moja natakiwa kupata MASHIMO MANGAPI ya kupanda miche?

Je, nikiweka mbolea ya mbuzi kidogo na DAP kwa kila shimo kuna tatizo? Pia yeyote mwenye ushaur zaid anisaidie. Eneo lenyewe lipo Iringa ktk wilaya ya Kilolo hvyo kuna baridi ( Malila unalifaham eneo hili ni kijiji cha Masege jiran na kihesa mgagao)

Pia kuna eneo limebaki la ukubwa wa 20*100 nafikiria kulima bamia; je, zitakubali kwa hali hii ya hewa? Sina shaka na soko nimeshatafiti hivyo nimepata.

Asanteni sana
 
habar jaman?,
hvi sasa npo shamba nachimba mashimo kwaajili ya kupandikiza miche ya NYANYA aina ya TANYA. Naomba mnisaidie kwa ekari moja natakiwa kupata MASHIMO MANGAPI ya kupanda miche?
je nikiweka mbolea ya mbuzi kidogo na DAP kwa kila shimo kuna tatizo?,pia yeyote mwenye ushaur zaid anisaidie. Eneo lenyewe lipo Iringa ktk wilaya ya Kilolo hvyo kuna baridi(Malila unalifaham eneo hili ni kijiji cha Masege jiran na kihesa mgagao)
pia kuna eneo limebaki la ukubwa wa 20*100 nafikiria kulima bamia je zitakubali kwa hali hii ya hewa?, sina shaka na soko nimeshatafiti hvyo nmepata
asanten sana
Asante sana mdau,

Uko karibu na mzee Almasi wa Masege nini, pale penye jiwe lenye kutoa maji mengi kwa chini? Mbolea ya mbuzi kwa mazao ya muda mfupi ni hasara, sababu haitatumika. Yavaa ile ya kuku na kitimoto, ukikosa hizo tumia ya viwandani. Kwa nini usilime karoti? Maana Karoti kwa mitaa ile ya Mgagao na Masege ndiyo yenyewe na zitatoka muda mwafaka.
 
Asante sana mdau,

Uko karibu na mzee Almasi wa Masege nini, pale penye jiwe lenye kutoa maji mengi kwa chini? Mbolea ya mbuzi kwa mazao ya muda mfupi ni hasara, sababu haitatumika. Yavaa ile ya kuku na kitimoto, ukikosa hizo tumia ya viwandani. Kwa nini usilime karoti? Maana Karoti kwa mitaa ile ya Mgagao na Masege ndiyo yenyewe na zitatoka muda mwafaka.
mkuu malila heshima kwako, mzee Almas kwa sasa ni marehem - RIP lkn mi ndo nmekodi mashamba yake.....ok karoti nmetoa mwez wa 8 saiz nataka kulima nyanya na npo ktk uchimbaji wa mashimo ili jion niweke miche shambani.
1.ni miche mingap ya nyanya kwa hekari?
2.bamia kwa hali hii itakubali?
nasubir sana msaada wako
Asante sana mdau,

Uko karibu na mzee Almasi wa Masege nini, pale penye jiwe lenye kutoa maji mengi kwa chini? Mbolea ya mbuzi kwa mazao ya muda mfupi ni hasara, sababu haitatumika. Yavaa ile ya kuku na kitimoto, ukikosa hizo tumia ya viwandani. Kwa nini usilime karoti? Maana Karoti kwa mitaa ile ya Mgagao na Masege ndiyo yenyewe na zitatoka muda mwafaka.
 
Wakuu nimekutana na hii mada. Kwa Mwanza mbegu gani ina mavuno mengi
 
Back
Top Bottom