Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

Uko mkoa gani?kila nyanya inafanya vizur kutegemea na mazingira kama uko Arusha lima shanti au kipato kwa determinant(nyanya fupi) na lima kati ya anna f1 au kuber kwa indeterminant(minyanya mirefu )
 
Aiseeh anna F1 ni kiboko ukiutunza vizuri kama inavyotakiwa miezi sita unachuma tu.mm nimezilima babati-manyara na huu ni mwaka wa tatu hazijawai niangusha ukiacha changamoto ndogondogo cha msingi usiwe bahili wa kuzitunza tumia hela kuzitunza zitakulipa
 
Niko Mtwara Wakuu Tusaidiane Bei Za Hizo Mbegu Shanti,kipato Na Anna Na Ikiwezekana Contact Za Wahusika
 
Anne na asila plus Di grow org fert ni hatari una vuna hadi unachokaaaa
 
Ila huyo consultant dakika moja elf mbili unatuma in advance min 4000/- itakulipa advise utakayopata. Go for it
 
Anne na asila plus Di grow org fert ni hatari una vuna hadi unachokaaaa

Habari mkuu? Hii asilla ikiwa utaitunza vema unawaza kuvuna Mara ngapi? Maana nimeilima kidogo ( 10gm) kuijaribu nione matokeo yake. Ndiyo inaanza kuweka matunda now. Naomba unijuze unaweza kuvuna Mara ngapi?
 
Wakuu Naomba Msaada Nyanya Zinashambuliwa Na Funza Wadogowadogo Wa Kijani Wanakaa Kwenye Majani Yakianza Matunda Wanatoboa Na Kuingia Kwenye Matunda.Nimejaribu Dawa Nyingi Kama Dudu All,ninja,konto Nk Naomba Msaada Nitumie Dawa Gani?
 
mtafute bwana shamba wa eneo husika anaweza akakupa msaada maana wakati mwingine huwa dawa hutumika kulingana na mazingira uliyopo!
 
Wakuu Naomba Msaada Nyanya Zinashambuliwa Na Funza Wadogowadogo Wa Kijani Wanakaa Kwenye Majani Yakianza Matunda Wanatoboa Na Kuingia Kwenye Matunda.Nimejaribu Dawa Nyingi Kama Dudu All,ninja,konto Nk Naomba Msaada Nitumie Dawa Gani?
hao wanaitwa Tuta absoluta na wanaanza kama vipepeo kisha wana taga mayai ndiyo itakuwa funza, haisikii dawa ingine ila coragen,belt,ifect au Libax.
 
Kwanza tuambie unatumia variety gani ya nyanya.
 
Dah jamani siyo tunajibu tu hata mdudu hatujamuona.Ungetuekea na picha ingekua poa.Lakini kwa caterpillar BELT inafanya vizuri kwa sasa.
 
Back
Top Bottom