Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaloongea ni kweli mkuu ufuta unalipa sna tatizo ni madalali.embu angalia bei za maeneo haya morogoro gunia laki na themanini hadi laki2.sumbawanga laki2,tanga laki2 pwani laki nathemanini,manyara hawa majamaa walianza na laki5 gunia na sahvi wanauza laki3.hawa wenzetu wa manyara wanafanikiwa kuuza kw bei kubwa sbb wanalima maeneo makubwa nawamezibiti madalali,kuna makampuni ya wahndi toka arusha ndyo wananunua hapo manyara.wakulima wa manyara wako makini kila idara kuanzia uzalishaji wako juu kwa pato kwa eka,mbegu bora napia wanazalisha ufuta wenye kiwango.hayo maeneo yote niliyotaja nimefanya utafiti mm mwenyewe nilianzia morogoro pwani na tanga,sumbawanga nilichukua tarifa kwa wadau sijafika,manyara nawaelewa tangia mwanzo na sahv ndyo naelekea manyara kuchukua data nzuri kwnn wao wamefanikiwa kuliko mikoa mengine
Mkuu GEBA2013, tikiti linahela pengine ni usimamizi ndio ulikuangusha. Huwezi kulinganisha pato la ufuta na tikiti hata siku moja. Dunia ya sasa unatakiwa ufanye uzalishaji wenye uhakika wa kutoboa. Mi sifanyi kilimo cha kutegemea mvua hicho walifanya mababu! Ni mara 100 nikalima ekari2 ntakazozimudu na nikawa na uhakika wa mavuno kuliko ekari mia huku nikiumiza kichwa na shingo kila kukicha nikiomba neema ya mvua.
Fanya vzr mahesabu yako na tafakari kwa kina kile nilichokiandika hapo juu kwani nina uhakika wa nisemacho.
Kama huamini kwamba sh milioni3 haiwezi kuzalisha milioni40,basi njoo na hiyo hela shambani kwangu nikupe darasa nakuhakikishia hiyo hela itapatikana ndani ya siku75. Ila sharti utarudi kwenu na sh m15 tu!!
Nataka kulima dodoma mwezi wa kumi na moja kipindi hiki kinafaa kwa kulima kitunguu wadau
Habar za asubuh wadau!
Nimepata mashamba maeneo ya kisarawe na ninataka mwaka huu nilime ufuta. Nimesikia ufuta una soko zuri na uhitaji wake ni mkubwa.
Naombeni taarifa sahihi juu ya ulimaji, upatikanaji wa mbegu, soko na msaada wa kitaalamu juu ya kilimo cha ufuta.
Pia ntashukuru kama kunasehemu (kampuni/mtu binafsi anaeweza kunipa msaada wa kitaalamu.
Nawatakia jumatatu njema na swaumu njema kwa wafungaji.
Wenu katika ujenzi wa taifa Bintimzalendo
ni-pm..niliwahi fanya kazi na mradi ambao unahusika na ufuta naweza kuwa msaada kwako!
Mkuu Kyenju ukanda wote wa pwani unafaa kwa kilimo cha tikiti. Mhimu uwe ni udongo usiotuamisha maji.
Nakushauri kama unataka kuengage na masuala ya kilimo hasa cha bustani jitahidi usimamie mwenyewe.
Mwaka huuu naingia shambani kulima hiyo ni lazima
Ndugu...ufuta ni zao lenye bei nzuri sana ila linhitaji uangalifu ili ujue ni kipindi gani utakachokuwa unavuna.Masoko ya ufuta yapo India na wahindi wananunua ufuta kwa msimu kwa kuwa huwa wanauhitaji kwa kipindi fulani cha mwaka.Ikiwa ni off season bei inaanguka sana.
Kulima nn mkuu