Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

huo ni mmea majani yake ndio uuzwa kilo 1 kama ulivio soma hapo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Majani yana kazi gani mkuu, maana kama ni vanilla pods ni kama hizi yaani kama maharage mabichi na sio majani yake

Mimi nanunua na kuuza ila sio majani
Na ninauza ya Madagascar tu
Screenshot_20230119_155433_Google.jpg
 
Hii vanilla anayotangaza Mkondya na hiyo ya Kagera ni ile ile au ni vitu viwili tofauti? Maana tofauti ya bei ni kubwa mno!
Mkondya ni tapeli, anaishi kwa nguvu ya mdomo wake. Kama vanilla ina Bei nzuri kihivyo kwa nini atangaze? Kumbuka methali ya "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza"
 
Kwa hiyo serikali imekataza watu wasiuze vanilla zao nje ya nchi, waafrica akili za kipuuzi tunajua sana kutiana umaskini bila sababu yeyote ya maana, unawatia watu umaskini then unaenda kukopa kwa mabeberu, kichefuchefu kitupu nasikia
 
Mkondya ni tapeli, anaishi kwa nguvu ya mdomo wake. Kama vanilla ina Bei nzuri kihivyo kwa nini atangaze? Kumbuka methali ya "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza"
Sasa kwa nini serikali haimdhibiti ili asiendelee na utapeli wake!
 
Sasa kwa nini serikali haimdhibiti ili asiendelee na utapeli wake!
Serikali haitapeliwi bali individuals ndiyo wanalizwa na Mkondya. Kujua kama Mkondya ni Tapeli inahitaji uwe na akili. Watanzania wengi ni wajinga nahawezi kuchambua mambo
 
Wahaya aka Nshomile akili nyingi ila maarifa 10%! Ngoja niwape mbinu ambazo wenzenu Moshi wanazidi kutajirika kwa kupeleka Mahindi, Kahawa, Tanzanite nk hapo jirani Kenya.
Kuishi mpakani ni fursa ya kipekee, Lukunyu, Mashanga(Bugabo) ni nchi jirani hiyo hakuna janja janja ya akina Bashe! au nimwambie na njia ya kufika hapo bila kukamatwa? Njoo inbox!
CCM elabakozile bintungwa, nimwija kufa ne'enaku kamutashazile agalabayamba!
Kitu usichoelewa mkoa wa kagera unalindwa mno kuliko mikoa yeyote Tanzania kwa kuwa inapakana na nchi hatari. Kila sehemu kuna jeshi na askari. Hivyo magendo ngumu bwashee
 
Back
Top Bottom