Mateo Kovasic
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 420
- 334
Mgt software, hii id ilipotea ghafla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majani yana kazi gani mkuu, maana kama ni vanilla pods ni kama hizi yaani kama maharage mabichi na sio majani yakehuo ni mmea majani yake ndio uuzwa kilo 1 kama ulivio soma hapo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkondya ni tapeli, anaishi kwa nguvu ya mdomo wake. Kama vanilla ina Bei nzuri kihivyo kwa nini atangaze? Kumbuka methali ya "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza"Hii vanilla anayotangaza Mkondya na hiyo ya Kagera ni ile ile au ni vitu viwili tofauti? Maana tofauti ya bei ni kubwa mno!
Sasa kwa nini serikali haimdhibiti ili asiendelee na utapeli wake!Mkondya ni tapeli, anaishi kwa nguvu ya mdomo wake. Kama vanilla ina Bei nzuri kihivyo kwa nini atangaze? Kumbuka methali ya "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza"
Serikali haitapeliwi bali individuals ndiyo wanalizwa na Mkondya. Kujua kama Mkondya ni Tapeli inahitaji uwe na akili. Watanzania wengi ni wajinga nahawezi kuchambua mamboSasa kwa nini serikali haimdhibiti ili asiendelee na utapeli wake!
Kitu usichoelewa mkoa wa kagera unalindwa mno kuliko mikoa yeyote Tanzania kwa kuwa inapakana na nchi hatari. Kila sehemu kuna jeshi na askari. Hivyo magendo ngumu bwasheeWahaya aka Nshomile akili nyingi ila maarifa 10%! Ngoja niwape mbinu ambazo wenzenu Moshi wanazidi kutajirika kwa kupeleka Mahindi, Kahawa, Tanzanite nk hapo jirani Kenya.
Kuishi mpakani ni fursa ya kipekee, Lukunyu, Mashanga(Bugabo) ni nchi jirani hiyo hakuna janja janja ya akina Bashe! au nimwambie na njia ya kufika hapo bila kukamatwa? Njoo inbox!
CCM elabakozile bintungwa, nimwija kufa ne'enaku kamutashazile agalabayamba!
Muda gani ilipotea? Mimi nipo miaka100Mgt software, hii id ilipotea ghafla
Haijapotea bwana nipo kama kawa kazi zinanibana. Nipo napambana na Kigogo2014 anasumbua sana baada ya kuunga juhudi.Mgt software, hii id ilipotea ghafla
Hili jamaa sijui ni zwazwa la wapi?Hacha ukabira nyau ww,ww angalia dhumuni la kuandika Uzi wake humu,anyooshe maandishi kwani yeye anafanya kazi BAKITA?
Okite taking mageziEkifela oliiwe , kilebe olutwe ne ebitama .
Ekyokukukola kujuma abantu bakulu tulyaa nekiki ? Nakukuazambula olui nkwata ebitama ebyo