Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kiukweli hiyo mdau unaweza kumshangaa, lakini Khali ilivyo kwa kagera ningumu kupata ubora unao kizi viwango vya ubora.

Kwanini nasema hivyo.

Baada ya kujitokeza waranguzi kutoka nchi jirani , kuliibuka wimbi la wizi wa Vanilla mashambani.

Wezi hao hawajui kama imekomaa au haijakomaa wao wanacho jua ni kuiba TU wakati mwingine hung'oa hata miche, matunda watachambulia mbali.

Ili kukabiliana na hiyo Khali ulibuniwa mfumo wa mauzo kwa minada.

Minada inaendeshwa huko vijijini kwa wakulima.

Siku ya kuchuma inakua moja nasiku hiyohiyo wanauza.

Mfumo huu hautoi nafasi yakuchuma kwa kufuata matunda yaliyo iva tu, bali ni kuchuma yote ,kwa sababu ni siku ya kuuza.

Mkuu South America wanalima baadhi ya nchi na wanalinda kwa Bunduki mashamba yao
Hili zao lina hela sana ila pia linataka uangalizi mkubwa sana kuanzia kuandaa mpaka mavuno

Ndio maana lina thamani sana
 
Serikali haiwezi kuingilia soko. Poleni na pambaneni na hali zenu
Basi iruhusu watu wauze popote tuone, tunapenda cess tax lakini hatusaidii upatikanaji wa masoko ya uhakika, SHAME!!!
 
Wahaya mnakandamiza maneno hadi kwenye maandishi 🙌🙌🙌
Kwanini sisi wahaya tukianzisha kitu chochote watu mnabadirisha mada? Kwani tatizo lenu ni nini? Ule mkoa kwa taarifa yako kuna wapika data wa NBS eti ni mkoa wa mwisho kwa kipato? Jambo hilo sio kweli.
 
Mtafuteni yule jamaa wa vanilla vilage Njombe, anununua million moja kwa kilo,
Nimenukuu matangazo yake ITV,
Sasahivi tangazo lake halionyeshwi itv ila ni jambo la kushangaza na kujiuliza kilo moja ya zao kununuliwa milioni moja !
 
ITV walijidhalilisha sana kurusha lile tangazo la Vanilla Village kwa muda wote ule huku wakijua ni utapeli.
 
ITV inatakiwa wakamatwe kwa kushirikiana kutangaza utapeli.
Huyu jamaa kaenda kuwapiga wazanzibar lengo kuu ni kula fedha za Green House na kuondoka. Mimi huwa hataki kuitikia simu zangu. Niliwahi kumwambia anafanya uhuni kuwakaririsha watu kuwa inauzwa 1m wakati mwisho tz ni laki sita au tano kwa kilo kavu.
 
Ukisoma comments kwenye uzi huu, kama ulikuwa hujui, ndio utajua nchi hii ya samia ina idiots (ebifeela ndya-maazi) wa kutosha.
Ekifela oliiwe , kilebe olutwe ne ebitama .
Ekyokukukola kujuma abantu bakulu tulyaa nekiki ? Nakukuazambula olui nkwata ebitama ebyo
 
Huyu jamaa kaenda kuwapiga wazanzibar lengo kuu ni kula fedha za Green House na kuondoka. Mimi huwa hataki kuitikia simu zangu. Niliwahi kumwambia anafanya uhuni kuwakaririsha watu kuwa inauzwa 1m wakati mwisho tz ni laki sita au tano kwa kilo kavu.
Leo pia nimeona tangazo ITV ,Tambueni leo ni tar 19 jan 2023 ,still wanaendelea kuripromote tangazo eti vanila mil 1[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Leo pia nimeona tangazo ITV ,Tambueni leo ni tar 19 jan 2023 ,still wanaendelea kuripromote tangazo eti vanila mil 1[emoji26][emoji26][emoji26]
Hii vanilla anayotangaza Mkondya na hiyo ya Kagera ni ile ile au ni vitu viwili tofauti? Maana tofauti ya bei ni kubwa mno!
 
Ww mkulima rekebisha maandishi yako kwanza,
sisi tume muelewa kakusudia nini,ila limbukeni wa kuandika hawezi muelewa malengo yake zaidi utakaa kuchunguza wapi kapatia na wapi kakosea huo ni ushamba,hata wewe ukiwekiwa mtihani wa kiswahili mbona utaangukia pua

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana wakulima.
Msikate tamaa mkaacha kulima vanilla.

Igeni ujanja wa watu wa Kilimanjaro, walizuiwa kupeleka mahindi Kenya, lakini wakatumia njia za panya kwa nguvu zote mpaka serikali ikaamua kuhalalisha upelekaji wa mahindi huko.

Wakati mwingine inabidi HAKI yako uipore kwa aliyeishikilia!
polisi wa kagera hawafai unataka wawa pige chuma

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwako Rais Wetu Mpenda.

Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.

Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.

Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.

Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.

Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.

Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.

Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.

Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.

Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.

Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.

Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Huku njombe siwaoni walikuaga ad na ofisi zao😀😀 watu washapigwa
 
Kwako Rais Wetu Mpenda.

Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.

Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.

Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.

Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.

Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.

Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.

Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.

Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.

Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.

Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.

Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Kwani kuna aliyefunga mpaka wa nchi kuzuia kuuza vanila yenu nje ya nchi?
Ninavyoitizama biashara ya zao la vanala nashindwa kuitofautisha na ile kamari DESI.
Muda ni mwalimu mzuri,
Kwa wakati utaongea.
 
Back
Top Bottom