mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
- #101
Umenitoa machozi mwanangu kwikwikwi. Yaani Baba zako wanaumia wewe unasemabusomi? Si uje uanzishe kiwanda cha kuprocess vitu na uuze nje?Sisi wahaya ni wasomi, wewe muhaya wa wapi bado unalima?
Hapa niko Oxford University nina kikao na ma profesa wazungu