Tani 400 ???Nilishamtafuta saba. Uenda naye ni tapeli sisi tunazalisha tani 400 lakini hakuna soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tani 400 ???Nilishamtafuta saba. Uenda naye ni tapeli sisi tunazalisha tani 400 lakini hakuna soko
Hizi Bei ni kwa , 1kg ya vanilla mbichi.Kavurugwa, anyooshe maelezo, hio bei ni kwa kilo moja au gramu moja,
Kuna yule tapeli alietangaza ananunua milion moja kwa kilo sijui hazihitaji hizo,
Kama Kuna soko la Tsh 600,000/kg1, kwanini isikaushwe?Huyu jamaa anawapiga sana wazanzibar na anapewa hela na serikali. Lakini hakuna bei hizo. Vanila iliyokaushwa huuzwa laki sita tu na lazima ipitie vipimo vya ubora.
Hahahaaa milioni moja kwa kiloMtafuteni yule jamaa wa vanilla vilage Njombe, anununua million moja kwa kilo,
Nimenukuu matangazo yake ITV,
Sio Kweli.Tatizo Kagera huwa wanaimani kubwa sana(hadi kupitiliza) juu ya viongozi wa CCM.Hili limewaganda sana vichwani mpaka hawaoni dhuluma.
Saa nyingine nashindwa kuwaonea huruma!
Kimsingi ubinafsi umekomaa Tz...Kwa mtazamo wangu nlichokiona
Hapo kuna style ya kuwachosha jamaa wa vanilla ili watu fulani
Wainunue alafu wao ndy wakauze bei juu.....
Hi8 kitu ipo sana tanzania,nchi kuna watu hawapendi kuona watu wanapata hela
Ova
Kuna mtu anatangaza vanilla huko Njombe anasema kilo moja wanauza Tsh 800,000. Na anataka watu waende wakalime huko kwa kukodi mashamba. Je vanilla ya Njombe Ina nini cha zaidi hadi iuzwe ghali hivyo?Kwako Rais Wetu Mpenda.
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.
Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.
Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.
Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.
Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.
Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.
Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.
Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.
Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.
Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.
Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Uzi huu hapa unaoungelea hiyo bei ya Tsh 1 Million kwa kilo:Hii Vanila ndio nilisikia mahala kilo moja Tsh milioni moja!
Au nilikuwa naota huku natembea juani!
Inawezekana...Tani 400 ???
Uganda ipi wanayonunua vanilla kilo milion 1?? Huna akiliusijibu ilimradi tu.Kama haiingilii soko mbona inazuia kuuza Uganda?
Andiko lako limejaa uongo mwingi eidha kwa makusudi au kwa kutokujua. Natamani ningekujibu hapa ukaona ulivyoandika upupu mwingi.Kwako Rais Wetu Mpenda.
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.
Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.
Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.
Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.
Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.
Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.
Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.
Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.
Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.
Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.
Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Iliwahi kuuzwa hadi 150,000 kabla wengi hawajavamia kulima!
Hadi ifikie huo ubora wa mil 1 unafikiri ni rahisi? Au unahisi kila vanilla inanunuliwa hivyo?
Bei nnayoijua hata mm kwa hapa 600,000 sema kna wakat ilipanda mpaka 800,000
Muheza napo si kuna watu wanapanda hii
Ova
Bei nnayoijua hata mm kwa hapa 600,000 sema kna wakat ilipanda mpaka 800,000
Muheza napo si kuna watu wanapanda hii
Ova
Unapenda kusikia uongo?? Ingekua na hiyo thamani hao wakulima wangekua mamilioneaBora wewe unaielewa thamani yake Halafu kuna mdau anasema eti hadi ifike ubora wa milioni unafikiri ni rahisi?
Yaani anafikiri sijui ni kama Ng’ombe [emoji23]
Kabla ya vanila kuwa zao kuu tulikuwa tunakausha tunauza Uganda. Serikali ilikuwa haijui zao hili. Baada ya kuijua sasa maumivu vitisho vikaanza. Mayawa nao wakaitumia serikali kunyonya wananchi kwa kuzuia vanilla isiuzwe Uganda.usijibu ilimradi tu.Kama haiingilii soko mbona inazuia kuuza Uganda?