Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wamewaliza watu njombe wameacha kilioHii Vanila ndio nilisikia mahala kilo moja Tsh milioni moja!
Au nilikuwa naota huku natembea juani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamewaliza watu njombe wameacha kilioHii Vanila ndio nilisikia mahala kilo moja Tsh milioni moja!
Au nilikuwa naota huku natembea juani!
Bei nnayoijua hata mm kwa hapa 600,000 sema kna wakat ilipanda mpaka 800,000Kweli bei ya vanilla kwa soko la nje ni zaidi ya 1m kwa kg
Ila hapo hiyo Bei sijaelewa anakusudia nini
Lazima aweke kg za ziada afidie upungufu wa kg utakaotokea...Hadi ifikie huo ubora wa mil 1 unafikiri ni rahisi? Au unahisi kila vanilla inanunuliwa hivyo?
Sasa unafikiri serikali inaweza kuzuia watu wenye njaa..?Ila kama serikali ikokataza kuvusha nawashauri wavushe kwa nguvu maana wakubwa wizarani hawajui maumivu ya wakulima
Na ukitaka utoboe fanya magendoSasa unafikiri serikali inaweza kuzuia watu wenye njaa..?
Na ndio upumbav Huu ,zao ambalo linahitajika kama vanilla unauzaje Kwa bei ya mbuzi hiyo yakiboya hivyo ? Yaani vanilla uuze 30000? ,Umelogwa ? , Tatizo nchi hii serikali ina urasimu WA kijinga unaokandamiza wakulima mtu utakuta kazalisha hizo vanilla lakini akitaka kuvusha mpakani akauze hapo Uganda au Kenya ambapo wanunuzi wapo wengi na inauzwa Kwa bei kubwa anazuiwa ,trend ni hiyo hiyo hata Kwa mazao kama Kahawa NK , wakulima wanalima Kwa mateso makali ,miundombinu wezeshi Hamna ,pembejeo BEI juu lakini hata mipaka kufunguliwa ili mkulima auze Kwa bei nzuri huko nje HamnaJambo baya kwa serikali yangu ni bora ziharibike mashambani kuliko kuvusha Uganda eti... mi nashauri mchange nauli muunde kamati ndogo ya kumuona bashe it's seriously issue
Funga safari nenda Uganda au Kenya kusurvey na kutafuta wanunuzi WA uhakika then Rudi ongea na vishoka WA deals za magendo mipakani hasa hapo Mutukula wakusaidie jinsi ya kuvusha mzigo huo ,then kauze njeNilishamtafuta saba. Uenda naye ni tapeli sisi tunazalisha tani 400 lakini hakuna soko
Kwa mtazamo wangu nlichokionaNa ndio upumbav Huu ,zao ambalo linahitajika kama vanilla unauzaje Kwa beibya mbuzi hiyo yaajibkilobya vanilla uuze 30000? ,Umelogwa ? , Tatizo nchi hii serikali inaburasimu WA kijinga unaokandakiza wakulima mtu utakuta kazalisha hizo vanilla lakini akitaka kuvusha mpakani akauze hapo Uganda au Kenya ambapo wanunuzi wapo wengi na inauzwa Kwa bei kubwa anazuiwa ,trend ni hiyo hiyo hata Kwa mazao kama Kahawa NK , wakulima wanalima Kwa mateso makali ,miundombinu wezeshi Hamna ,pembejeo BEI juu lakini hata mipaka kufunguliwa ili mkulima auze Kwa bei nzuri huko nje Hamna
Aisee inauma , ukiangalia wakulima wanavyoteseka nchi hii [emoji35][emoji35][emoji35]Kwa mtazamo wangu nlichokiona
Hapo kuna style ya kuwachosha jamaa wa vanilla ili watu fulani
Wainunue alafu wao ndy wakauze bei juu.....
Hi8 kitu ipo sana tanzania,nchi kuna watu hawapendi kuona watu wanapata hela
Ova
Kwako Rais Wetu Mpenda.
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.
Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.
Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.
Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.
Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.
Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.
Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.
Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.
Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.
Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.
Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Mkulima kila kitu anajitegemea yeye, hapewi msaada hata robo, akiivisha apangiwe kampuni la kuuzia, kampuni likiwa halina fedha jibu Ni aidha mkulima akopwe au mazao yaozee shambani, tofauti na hapo afanye magengo, hii haijakaa sawa!Na ukitaka utoboe fanya magendo
Sema ndiyo uwe risk taker
Ova
NARUDIA TENA,NCHI HII KUNA MFUMO WA WATU WANAPENDA KUWANDAMIZA WENZAO ILI WAOAisee inauma , ukiangalia wakulima wanavyoteseka nchi hii [emoji35][emoji35][emoji35]
Iliwahi kuuzwa hadi 150,000 kabla wengi hawajavamia kulima!Shangaa na wewe
Kaanza na lawama hata sijui ni kijiti kimoja ndio elfu 32 ama
Ukishaona zao linawekewa sijui shirika, hesabuni maumivuMkulima kila kitu anajitegemea yeye, hapewi msaada hata robo, akiivisha apangiwe kampuni la kuuzia, kampuni likiwa halina fedha jibu Ni aidha mkulima akopwe au mazao yaozee shambani, tofauti na hapo afanye magengo, hii haijakaa sawa!
Hapa Rais wetu, Mama Samia ingilia kati suala hili, mkulima apeleke kuuza sehemu anayohis atapata maslahi mapana na sio kupangiana wapi pa kuuza na kwa bei gani!
Magendo ukirisk lazima utoboeFunga safari nenda Uganda au Kenya kusurvey na kutafuta wanunuzi WA uhakika then Rudi ongea na vishoka WA deals za magendo mipakani hasa hapo Mutukula wakusaidie jinsi ya kuvusha mzigo huo ,then kauze nje
Kuna mfumo hautaki watu wawe vzr kiuchumi,waendeleee kuitwa wanyongeNa ndio upumbav Huu ,zao ambalo linahitajika kama vanilla unauzaje Kwa bei ya mbuzi hiyo yakiboya hivyo ? Yaani vanilla uuze 30000? ,Umelogwa ? , Tatizo nchi hii serikali ina urasimu WA kijinga unaokandamiza wakulima mtu utakuta kazalisha hizo vanilla lakini akitaka kuvusha mpakani akauze hapo Uganda au Kenya ambapo wanunuzi wapo wengi na inauzwa Kwa bei kubwa anazuiwa ,trend ni hiyo hiyo hata Kwa mazao kama Kahawa NK , wakulima wanalima Kwa mateso makali ,miundombinu wezeshi Hamna ,pembejeo BEI juu lakini hata mipaka kufunguliwa ili mkulima auze Kwa bei nzuri huko nje Hamna
Ni kwa 1kg mbichi.Shangaa na wewe
Kaanza na lawama hata sijui ni kijiti kimoja ndio elfu 32 ama