Andrea Chacha
Member
- Oct 24, 2019
- 30
- 17
Mkuu nashkuru sana kwa ushauriMkuu haya mambo yanasikitisha sana....
Nakushauri hold hiyo hela nusu mpaka ukague gari itakapofika. Muandikishiane kila kitu. Then baada ya ukaguzi ukiridhika na gari chukua. Usiporidhika wakupe chako....
Unajua nilkuwa naogopa security ya pesa kuagiza direct lakini ni bora hvy kuliko kutumia hawa agents wa ndani.ni wazinguaji mno na wengi wao ni waongoMkuu nashkuru sana kwa ushauri
Shughuli ni hapo kwny kurudisha pesa naona hawa jamaa watanisumbua sana na ctokubali kuchukua hiyo gari hata iwejeUnajua nilkuwa naogopa security ya pesa kuagiza direct lakini ni bora hvy kuliko kutumia hawa agents wa ndani.ni wazinguaji mno na wengi wao ni waongo
Unaangaliaje hizo kilometa mkuu?Shughuli ni hapo kwny kurudisha pesa naona hawa jamaa watanisumbua sana na ctokubali kuchukua hiyo gari hata iweje
Wamekufanyia janja janja sana, na kwa kuangalia tu umetoa pesa ndefu hapo, inauma sanaKaka ni kutokujua tuu....ni ya mwaka 2006 toyota kulger
Dah pole sana mkuu hao jamaa wamejipanga wapo kama wa4 pale kwa kakobe michezo yao kwenye magari ni michafu sana, wananunua gari zinakaribia km 300,000 kwa bei sawa na bure, halafu zinakuja bongo wanazipiga polish waxing na kushusha kilometa, wanachora chora zile chaki kwenye vioo ukienda unakubali gari imeshuka jana kwenye meli. Washtaki tuuFahari motors...wapo Mwenge na Dodoma
Ukipata chasis namba ikigoogle inakupeleka kwny website ambapo gari ilkuwa inauzwa so unaiona na details zake zoteUnaangaliaje hizo kilometa mkuu?
Sure kakaWamekufanyia janja janja sana, na kwa kuangalia tu umetoa pesa ndefu hapo, inauma sana
Nakubaliana naww 100%Unajua nilkuwa naogopa security ya pesa kuagiza direct lakini ni bora hvy kuliko kutumia hawa agents wa ndani.ni wazinguaji mno na wengi wao ni waongo
Ndo hao hao fahari motors?.....mm ctomaliza pesa kwa gari ambayo cjaipenda so tutasumbuana sana tuu na wala cna haraka na gariDah pole sana mkuu hao jamaa wamejipanga wapo kama wa4 pale kwa kakobe michezo yao kwenye magari ni michafu sana, wananunua gari zinakaribia km 300,000 kwa bei sawa na bure, halafu zinakuja bongo wanazipiga polish waxing na kushusha kilometa, wanachora chora zile chaki kwenye vioo ukienda unakubali gari imeshuka jana kwenye meli. Washtaki tuu
Gari lazima ununue toka Japan na wanakupa kitu kama hiki hapo chiniWanajamvi habari zenu...
Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...
Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan
Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,
Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
Mkuu wamekuvuruga sana mpaka unaji quote.Nakubaliana naww 100%
π π π ...Kaka 14Milion ni nyingi mno na hapo bado nyingne ya kumalizia gari ikifikaMkuu wamekuvuruga sana mpaka unaji quote.
Unajitapekije mwenyewe?
Dawa Ni kutonunua gari Tz inayouzwa na ngozi nyeusi (full stop).
Daah pole sana, wewe hata hamna cha kuwazia hapo hasara watakula wao wakileta ujuaji, sema kwako watakupotezea muda tu ndio hasara kubwa kwako, ila io gari inabidi uondoke nayo bila kuongeza hata mia wakigoma waue mahakamani ikiwezekana uitishe na press kabisa uwachafulie kampuni ushahidi si upo nje nje kabisa. [emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]...Kaka 14Milion ni nyingi mno na hapo bado nyingne ya kumalizia gari ikifika
Kabsa mkuu..Kila wakipost biashara yao naenda kuwaumbua kwny page yaoDaah pole sana, wewe hata hamna cha kuwazia hapo hasara watakula wao wakileta ujuaji, sema kwako watakupotezea muda tu ndio hasara kubwa kwako, ila io gari inabidi uondoke nayo bila kuongeza hata mia wakigoma waue mahakamani ikiwezekana uitishe na press kabisa uwachafulie kampuni ushahidi si upo nje nje kabisa. [emoji3][emoji3]