Sio mabasha tu ndugu yangu. Wasagaji hawaguswi hata Kama wanajulikana. Wanaonewa mashoga tu. Tunachosahau Ni kwamba, ili MTU awe shoga, lazima Kuna Basha. Angetokea MTU akamtaka mzee mmoja msagaji ningefurahi wanna.Na aliye muingilia yuko wapiiii???
Mie nashangaa sana mabasha wanaachwaa.
Huyu bado na mkewe??[emoji101]Lakini unaonaga wanazosema kuwa upande wa wakristo ndo yapo
Watamtoa mgoloMboga inapelekwa kwa walaji... uko wanamla bila mafuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mabasha tu ndugu yangu. Wasagaji hawaguswi hata Kama wanajulikana. Wanaonewa mashoga tu. Tunachosahau Ni kwamba, ili MTU awe shoga, lazima Kuna Basha. Angetokea MTU akamtaka mzee mmoja msagaji ningefurahi wanna.
Erythrocyte pande za huko Temekke, Tabata, Ubungo, Mwenge, Kawe hakuna wasagaji unao wajua ?
Unataka wakutetee?Kuna kitu hakipo sawa hapa.
Kwanini hizi hukumu zinatolewa ila sisikii mataifa ya nje yakitoa kauli?
Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!Basha kasalimika?
Kela wanapata mke mpya
Basi watu wasingeziwekaFootage itatumika kama ushahidi ikiwa mahakama ilikupa ruhusa ya kurekodi.
Hii ni kwa uelewa wangu.
Wakamatwe na kupelekwa kituo chochote cha polisi.Hawa akina delicious, sijui aggrey nao wanachukuliwa hatua gani maana wanatamba tu huku mitaani.
Kwanzaa mie huwa naona hawafungwi, ila wanawa hadaa wananchi tyuuh kuepusha taharuki, case gan inatolewa hukumu ndani ya dkk 3,Mbona yule Amber Ruti aliyerusha picha zake mitandaoni akifanyiwa kinyume na maadili hakamatwi na kupewa miaka 30?
Huyu aliyefungwa hakuna ushahidi wa picha Wala hakuna aliyejitokeza na kutoa ushahidi kwamba alimkwida?
Dogo akikata rufaa anatoka asubuhi tu. Yeye aombe yoyote aliyemuingilia aje atoe ushahidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!
Nani taka pilau?!; nani taka kate?!;...mahabusu wenzie woote kimya!
Akauliza tena Nani taka kundu?? Wote wakainua mikono lete, lete....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ukusanye hao polisi wako waje kunikamataa, una fail wapiii?Bado cocastic
Maelezo yako yanakataa laana kwa Me pekee ila yanabariki Ke kuingiliwa kinyume na maumbile.Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.
Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Haya mambo yanahitaji akili na sio mihemko,Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!
Nani taka pilau?!; nani taka kate?!;...mahabusu wenzie woote kimya!
Akauliza tena Nani taka kundu?? Wote wakainua mikono lete, lete....
Kujionesha kwa kipiii?? Muwe mnafafanua mnaleta taharuki kwa watu wasio husika.Wasagaji siku hizi wamepoa kweli, toka sakata la milembe na shonza wamejificha au kukimbia, mashoga wanajionyesha Sana mitaani.
Sasa kama mganga ndio kasemannifanye hivyo ili nipate utaji wa kuendesha v8 nafanyajeKumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.
Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Atamtaja yupi maana inaonesha walikuwa wengi.Na waliomfanya wako huru au sio haha haha au