Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Tani 2? Yaani kilo 2000 duuh! [emoji87]
 
Hao mapaka wanakuwaga na roho ngumu sana

Ova
Wanatuona sisi makoro tumezungukwa na kila kitu harafu bado masikini yupo mpakistani mmoja alipelekewa range Rover ya kisasa ya wizi hapo Pretoria miaka kadhaa iliyopita wezi wakiwa wanamsubiri awape pesa hakurudi tena alitoka mazima mpaka DRC kongo akaiuza akapata mtaji akaja kulipa mwaka ila ana yard kubwa ya gari za Japan Congo nilicheka sana nilipoambiwa...
 
duh wote huo si kuuana na kupunguza nguvu kazi za taifa. Jela maisha inawahusu
 
Kwenye madawa binamu tuwe wakweli magufuli alipaweza sana,

Sasa hiv wameshaanza kujitutumia hata magu hajaoza. Ipo sku watanzania tutakaa tutalia na kusaga meno tukitaman magu afufuke ila haiwezekani, hii ni trailer tu

Wanasema magu aliku dictator lakin Naona udikteta wake ulikua na manufaa sana nchi ilikua na ustaarabu na adabu
 
Wadau huu mzigo mkubwa mnoooooo mnooooooooo
Nashangaa kwanini wameusafirisha ki local kiasi hicho yaani tani 2 za heroine au cocaine usafirishe kindezi hivyo?

Hao jamaa wanaujasiri na roho ngumu sana aisee yaani wamerisk maisha yao dadeq zao hao wapakistan!

Anyway tani mbili ni dharau kwa nchi yetu hao pimbi hao!
😂😂😂
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
We nawe husomeki paragraph ya kwanza zaidi ya tani 2, paragraph ya pili zaidi ya tani Moja! Au ndio KIKI NI KIKIKI KIKIKI za kisiasa!
 
Back
Top Bottom