- Thread starter
- #21
Ingekuwa huko siku ile umekosea kukalimani, ungekuwa mawinguni saivi Kwa msaada wa risasi, 😂😂😂jamaa ni zaidi ya dikteta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa huko siku ile umekosea kukalimani, ungekuwa mawinguni saivi Kwa msaada wa risasi, 😂😂😂jamaa ni zaidi ya dikteta
Hawa jamaa hata ku-copy na kupaste hawawez?hao wakorea ni wapuuzi kabisa,sasa kwa nini wameua familia nzima ya huyo machinga
Kwa hiyo wanaamini nini huko?Hahaa utarekodia wapi huko, yaani ukionekana na biblia au Quran unanyongwa ikawe hiyo kitu
Uandamane kwa kim jong un, mtoto wa kim jong il na mjukuu wa kim jong sam?Duh,na mijananchi ya huko imekaa tu hata haindamani kupinga,yaani uhai uondokw kwa kosa la hivyo kweli,huyo dogo ni zaidi ya sheitwan aisee
Asante kwa taarifa nzuri, hiki kilikuja na meliHawa jamaa hata ku-copy na kupaste hawawez?
![]()
Kim Jong-un orders man shot dead in front of family for selling foreign movies
A MAN in North Korea has been shot by the firing squad in front of 500 people for illegally selling music and films. The engineer, whose surname was Lee, was executed as his family were forced to w…www.thesun.co.uk
Islamic extremism sio UbepariLakini ubepari unaofanyika Afganistani, Libya, Iraq na maeneo mengine hauuoni.
Wana dini yao huko, wenye umelewa zaidi wanaweza kutujuzaKwa hiyo wanaamini nini huko?
Usafiri uende wapi ili urejee na tamaduni za kigeni ukirudi ni shabaHivi hata kusafiri nje ya nchi unaruhusiwa kweli kwa staili hiyo??? Watu wanaishi kama wako kuzimu.
Kwa Magu tu mlishindwa kuandamanaDuh,na mijananchi ya huko imekaa tu hata haindamani kupinga,yaani uhai uondokw kwa kosa la hivyo kweli,huyo dogo ni zaidi ya sheitwan aisee
Ila yeye alipelekwa kusoma uingereza na Marekani wakati baba yake ni raisUsafiri uende wapi ili urejee na tamaduni za kigeni ukirudi ni shaba
May 30, 2021 by Global Publishers
![]()
![]()
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuwawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini.
Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani mbele ya watu 500, ikiwa ni fundisho kwa watu wengine wanaouza filamu kutoka nje.
Kiongozi wa taifa hilo Kim Jon Un alipiga marufuku kuangalia filamu za nje kwa kuhofia nchi kuingia kwenye utamaduni wa nchi za magharibi.
Taarifa zinaseama watu zaidi ya 20 wamekamatwa kwa kosa hilo la kuuza filamu na Muziki na wanatarajiwa kuhumiwa kwani wameunja sheria za nchi hiyo.
Aidha unaweza kufungwa miaka saba jela kwa kosa kutotoa taarifa za mtu anayeuza filamu na Cd za Muziki kwa polisi.hiyo
Hii na nyinginezo ni muendelezo tu huyu jamaa yuko vizuri uchumu uko juu hauitaji msaada wa mabeberu wanaumiza vichwa tu jamaa yuko vizuri na kimmaliza imeshindikana security yake iko vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waigizaji watataga...hao wameangalia tu cd tena za kawaida za kimagharibi lakin wamekula chuma...leo waigize kbs wao wenyewe!!!...Hivi hamnaga x za ki North Korea?
Kwa mjibu wa Sheria za nchi hiyo hata mfungwa akitoroka jela wanaowajibika NI familia yake kuanzia baba, mama, Kaka, dada, mjomba, shangazi, Bibi, Babu nkJamanii na Familia yake wakauliwa aisee kumbe bora Tanzania huko kwingine ni kugumu zaidi kuishi
Nchi ni yake na baba zake.....May 30, 2021 by Global Publishers
![]()
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuwawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini.
Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani mbele ya watu 500, ikiwa ni fundisho kwa watu wengine wanaouza filamu kutoka nje.
Kiongozi wa taifa hilo Kim Jon Un alipiga marufuku kuangalia filamu za nje kwa kuhofia nchi kuingia kwenye utamaduni wa nchi za magharibi.
Taarifa zinaseama watu zaidi ya 20 wamekamatwa kwa kosa hilo la kuuza filamu na Muziki na wanatarajiwa kuhumiwa kwani wameunja sheria za nchi hiyo.
Aidha unaweza kufungwa miaka saba jela kwa kosa kutotoa taarifa za mtu anayeuza filamu na Cd za Muziki kwa polisi.
Wakigusa wanachezea risasi tu.Duh. Uko UN na Human Rights Watch hawagusi kabisa au?
Wengi wao wanaupenda kinafki mfumo huo.....Duh,na mijananchi ya huko imekaa tu hata haindamani kupinga,yaani uhai uondokw kwa kosa la hivyo kweli,huyo dogo ni zaidi ya sheitwan aisee