Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
SawaWanatoa Iran kwa Maayatolah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWanatoa Iran kwa Maayatolah
[emoji28],Safi ,aise hata hvyo hl somo nilipga ka D kangu ,nikaachqnq nalo,nikaona isiwe tabu Bora nikachqnganye ma chemical.treitous- traitor
pernate-penalty
Sasa kiswahili nacho kutype mtihani?.[emoji28],Safi ,aise hata hvyo hl somo nilipga ka D kangu ,nikaachqnq nalo,nikaona isiwe tabu Bora nikachqnganye ma chemical.
Wanasombwa wote kwenda kutumikia adhabu na wakimaliza ndugu yao atakapo patikana hupewa adhabu ya kifofamilia yake imeuliwa ?
huyu Lee Familia yake imeuliwa kama Global Pubisher wanavyosema ?Wanasombwa wote kwenda kutumikia adhabu na wakimaliza ndugu yao atakapo patikana hupewa adhabu ya kifo
Hawa jamaa hata ku-copy na kupaste hawawez?
![]()
Kim Jong-un orders man shot dead in front of family for selling foreign movies
A MAN in North Korea has been shot by the firing squad in front of 500 people for illegally selling music and films. The engineer, whose surname was Lee, was executed as his family were forced to w…www.thesun.co.uk
Ni kweli ila kwa hili linafikirisha sana,yaani kuuza hizo muvi ndio uhai wa mtu uondoke kweli,kuna nchi zina viongozi wenye laana sana aiseeUnaweza andamana kwenye nchi ambayo haijali na kuheshimu haki za Binadamu?
Unajua kilichowakuta wachina kwenye uwanja wa Tiananmen Square Wachina walipojaribu kuandamana?
Unajua kilichofangika kwa wagonjwa wa covid 19 huko China?
Huu mfumo unakandamiza sana haki za binadam za kuishi kwa kisingizio cha uzalendo na mavitu mengineyo,ni shida sana aiseeWengi wao wanaupenda kinafki mfumo huo.....
Wengi wao ni mateka wa mfumo huo.....
UKOMUNISTI NI UNYAMA.....
Aisee kule hata huko hell nadhani kuna uafadhali kidogoKwa Magu tu mlishindwa kuandamana
Kwa Kim mnapajua mnapasikia?
Sio nchi ile
Ni living hell
Ipo siku hata kama itachelewa kitanukishwa tu huko,sio kwa udhalimu huo aiseeUandamane kwa kim jong un, mtoto wa kim jong il na mjukuu wa kim jong sam?
Wewe kuangalia za kwao sio nongwa....hata hivyo hao kina Jumong unaowaangalia wao ni wa South KoreaSasa mbona za kwao tunaangalia au wakina jumong sio wa korea kasikazini,
Imeandikwa tii mamlakajamaa ni zaidi ya dikteta
Shida mno komredi.....Huu mfumo unakandamiza sana haki za binadam za kuishi kwa kisingizio cha uzalendo na mavitu mengineyo,ni shida sana aisee