Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wale wapuuzi watabishaUkomunisti ni unyama kama Huu wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wapuuzi watabishaUkomunisti ni unyama kama Huu wa ccm
familia yake imeuliwa ?Kwa mjibu wa Sheria za nchi hiyo hata mfungwa akitoroka jela wanaowajibika NI familia yake kuanzia baba, mama, Kaka, dada, mjomba, shangazi, Bibi, Babu nk
Watafanya nn sasa,hiyo nchi na wengine dizaini ya wachina neno utu au ubinadamu ni hamna ,jamii hazijastaarabika badoDuh. Uko UN na Human Rights Watch hawagusi kabisa au?
AiseeKwa mjibu wa Sheria za nchi hiyo hata mfungwa akitoroka jela wanaowajibika NI familia yake kuanzia baba, mama, Kaka, dada, mjomba, shangazi, Bibi, Babu nk
Unaweza andamana kwenye nchi ambayo haijali na kuheshimu haki za Binadamu?Duh,na mijananchi ya huko imekaa tu hata haindamani kupinga,yaani uhai uondokw kwa kosa la hivyo kweli,huyo dogo ni zaidi ya sheitwan aisee
Ubepari gani huko? Si watu wanajilipua na kuua wengine bila sababu za msingiLakini ubepari unaofanyika Afganistani, Libya, Iraq na maeneo mengine hauuoni.
Huyo Dogo ana ukatili wa kutisha kiasi hicho!May 30, 2021 by Global Publishers
![]()
![]()
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuwawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini.
Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani mbele ya watu 500, ikiwa ni fundisho kwa watu wengine wanaouza filamu kutoka nje.
Kiongozi wa taifa hilo Kim Jon Un alipiga marufuku kuangalia filamu za nje kwa kuhofia nchi kuingia kwenye utamaduni wa nchi za magharibi.
Taarifa zinaseama watu zaidi ya 20 wamekamatwa kwa kosa hilo la kuuza filamu na Muziki na wanatarajiwa kuhumiwa kwani wameunja sheria za nchi hiyo.
Aidha unaweza kufungwa miaka saba jela kwa kosa kutotoa taarifa za mtu anayeuza filamu na Cd za Muziki kwa polisi.
Ha ha aha Ni hell in The universeKwa Magu tu mlishindwa kuandamana
Kwa Kim mnapajua mnapasikia?
Sio nchi ile
Ni living hell
Apatikane Ben na Azory kabla ya kwenda kwa KimHuyo Dogo ana ukatili wa kutisha kiasi hicho!
Kwa nini awafanyie unyama kiasi hicho wakorea wenzake??
Hivi anadhani yeye ataishi milele hapa duniani??
Yaan nashkuru nlijiongeza mapema huenda ninge fuata mm kuawa au kufungwa[emoji23][emoji23]Wajina wako huyo, naona wewe ulitolokea Tanzania kidogo upate uhuru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa. Kwa kuwa wao ndio wanatengeza mabomu na silaha nyingine wanzozitumia!Islamic extremism sio Ubepari
Hata Sisi tuige mfano tuache kuleta story za nchi za Nje!? Zinamathara kama Korea Kaskazini wameanza kila mtu ataanza kulindwa story zake hata YouTube iwe ni ya nchi husika yaani YouTube Tanzania..."Kwenye neno Tamani"May 30, 2021 by Global Publishers
![]()
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuwawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini.
Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani mbele ya watu 500, ikiwa ni fundisho kwa watu wengine wanaouza filamu kutoka nje.
Kiongozi wa taifa hilo Kim Jon Un alipiga marufuku kuangalia filamu za nje kwa kuhofia nchi kuingia kwenye utamaduni wa nchi za magharibi.
Taarifa zinaseama watu zaidi ya 20 wamekamatwa kwa kosa hilo la kuuza filamu na Muziki na wanatarajiwa kuhumiwa kwani wameunja sheria za nchi hiyo.
Aidha unaweza kufungwa miaka saba jela kwa kosa kutotoa taarifa za mtu anayeuza filamu na Cd za Muziki kwa polisi.
Vilipuzi na mibunduki mikali mikali wanayoyatumia wanatengeneza wao?Ubepari gani huko? Si watu wanajilipua na kuua wengine bila sababu za msingi
Wanatoa Iran kwa MaayatolahSawa. Kwa kuwa wao ndio wanatengeza mabomu na silaha nyingine wanzozitumia!
treitous- traitorKwa Korea kaskazini,bado inaenzi sheria za babu yao jumong,ukikaidi tamko la mkuu wa nchi,wewe unahesabiwa ni treitous,hivyo unapewa death pernate kwa kosa la treason.iko hivyo kwa Korea kaskazini Hadi leo bado viongozi wao wanaidumisha hii sheria.