Yesu ni Mungu Kwa Mariam,Mzazi awezi kuwa Mungu wa pili wala wa tatu ...mungu ni mmoja tu amri ya kwanza kabisa kati ya amri kumi imesema wazi na yesu mwenyewe aliulizwa swali.kuwa ni ipi amri iliyo kuu na ya kwanza ...kasomeni alicho jibu jesu wenu mwenyewe kuhusu mungu kuwa ni mmoja ....wakristo wa makanisani ni wapumbavu sana mnapotosha waziwazi mafundiyo ya biblia yenu wenyewe...mariamu awezi kuwa ni mungu kwa yesu
Apendaye baba na mama kuliko Mimi hanistahili,
Hiyo haimaanishi kuwapa Heshima.
Mfano watumishi wa Mungu ni wazazi kiroho sasa kuwapenda na kuwashimu ni vyema.
Labda shem alipita mgongoni, mtoto tumboni akakopi sura kama kinyonga.Kuna mtu ameitambulisha familia yake majuzi humu, ukiwatazama watoto copyright na shemeji
Kama huyo mke ni design hiiLabda shem alipita mgongoni, mtoto tumboni akakopi sura kama kinyonga.
Sasa kutafuta au Kuzaliwa kiroho na tapeli ni kosa lako pia.hao wazazi wa kiroho ni kuwa makini nao sana! wengi ni matapeli tu. kuzaa kiroho ni jambo kubwa sio paaa paaaaa
Ni Jina la ofisi kuu kuliko zote Mbinguni na duniani.Mungu ni nini?
Basi watu wote duniani ni miungu maana aliye kuzaa wewe ni mungu wako na wewe ni mungu kwa utakaye mzaa very stupid no sense shit ...sasa miungu watatupwa jehanamu faida ya huo uungu ni gani ?Yesu ni Mungu Kwa Mariam,
Alimuheagimu tu kimwili.
Mungu ni MMOJA.
Mzazi ni muungu wa Dunia Kwa nafasi aliyopewa kuzaa.
Wewe pia ni muungu, hujasoma maandiko BIBLIA inasema Ninyi miungu?
Musa aliitwa muungu Kwa haruni na haruni akawa Nabii.
Salaam, shalom!!
Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,
Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.
Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa wazazi wenu Bado wako hai.
Hawa watumishi wa siku hizi wanapotosha sana, mmoja akasema, katika gari yake, aliye na nafasi ya kukaa KITI Cha mbele ni mke wake pekee, kama hayupo KITI hicho kitabaki wazi akimaanisha Upendo Kwa mkewe na nafasi anayompa.
Tufuate mfumo alioweka Mungu Ili tuwe salama.
NB: Mamlaka ya wazazi ni nje ya chumba Chumba Cha wanandoa, ni ya kiushauri na kiheshima tu kama miungu wetu duniani baada ya Mungu.
Karibuni π
Uungu wa mwanadamu ni Ile Roho yake.Basi watu wote duniani ni miungu maana aliye kuzaa wewe ni mungu wako na wewe ni mungu kwa utakaye mzaa very stupid no sense shit ...sasa miungu watatupwa jehanamu faida ya huo uungu ni gani ?
Waheshimu baba na mama Yako, siku zako zikawe nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako.Haya mambo umeyatoa wapi? Tunaomba rejeo.
Hayo mafundisho ya kipumbavu umeyatoa wapi πππββββmaana hakuna mungu zaidi ya mungu mmoja na kitu cha pili chenye utukufu ni utakatifu na cha tatu ni thawabu hivyo ndiyo vitu vinavyo mpatia mtu daraja la juu au la chini kati ya madaraja mema siyo mambo ya kudinyana na kupeana mimba yani kahaba afanye ufuksa ili apate mimba kisha apewe uungu na Mungu kwa sababu ya kuzaa... your very stupidUungu wa mwanadamu ni Ile Roho yake.
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.
Ndipo ulipo uungu wa mwanadamu. Mungu anabaki kuwa mmoja.
Heshima na mamalaka viko sawa? Umeongelea mamlaka unanipa rejeo la heshima!!Waheshimu baba na mama Yako, siku zako zikawe nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako.
Ni Amri ya Mungu ni erejea hiyo.
Maoni Yako ya kiwango hafifu na yaheshimiwe.Hayo mafundisho ya kipumbavu umeyatoa wapi πππββββmaana hakuna mungu zaidi ya mungu mmoja na kitu cha pili chenye utukufu ni utakatifu na cha tatu ni thawabu hivyo ndiyo vitu vinavyo mpatia mtu daraja la juu au la chini kati ya madaraja mema siyo mambo ya kudinyana na kupeana mimba yani kahaba afanye ufuksa ili apate mimba kisha apewe uungu na Mungu kwa sababu ya kuzaa... your very stupid
Wanawake akili zenu huwa ndogo sana sishangai ..ndiyo maana kila anaye jihita mtume kwenu ni mtume kweli akili hamna kabisa vichwaniMaoni Yako ya kiwango hafifu na yaheshimiwe.
Leo unanitukana ndugu,Wanawake akili zenu huwa ndogo sana sishangai ..ndiyo maana kila anaye jihita mtume kwenu ni mtume kweli akili hamna kabisa vichwani
Ushauri wa kimamlaka waujua?Heshima na mamalaka viko sawa? Umeongelea mamlaka unanipa rejeo la heshima!!
Hakuna haja ya kuzunguka, nieleze huo ushauri wa kimamlaka upoje na unahusiana nini na heshima.Ushauri wa kimamlaka waujua?
ππππLeo unanitukana ndugu,
Nitake radhi.
Ndio,ππππ