Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mamlaka za hali ya hewa zimeendelea kutaka wananchi wachukue tahadhari dhidi ya kimbunga JOBO ambacho kwa sasa kipo umbali usiozidi km 400 kutoka mwambao wa Bahari ya Hindi.
Kamisheni ya Maafa Zanzibar imetoa tahadhari kwa wavuvi na wamiliki wa vyombo vya usafiri baharini kutokana na uwepo wa kimbunga hicho.
Kamisheni ya Maafa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) wanaendelea kufuatilia kimbunga na wataendelea kutoa taarifa.
Kamisheni ya Maafa Zanzibar imetoa tahadhari kwa wavuvi na wamiliki wa vyombo vya usafiri baharini kutokana na uwepo wa kimbunga hicho.
Kamisheni ya Maafa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) wanaendelea kufuatilia kimbunga na wataendelea kutoa taarifa.