Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.

Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.

Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.

Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.

Haya kila mwana JF achukue tahadhari.
 
Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.

Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.

Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.

Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.

Haya kila mwana JF achukue tahadhari.
Kimbungq kinatokea baharini madagascar kuja pwani wewe unasema kipo mbeya...
😀😀😀
 
.
IMG-20210423-WA0003.jpg
 
Cha muhimu kesho wakazi wa Dar es Salaamu na Zanzibar kila mmoja aweke nyumbani chakula cha kutosha angalao wiki moja na mkaa/ gesi ya kupikia chakula hicho. Mambo ya futari na daku yanaweza kuahirishwa janga likitokea ninadhani. Au dini ya Kiislamu inaelekeza nini litokeapo janga kama hili wakati wa mfungo wa ramadhani?
 
Kimbungq kinatokea baharini madagascar kuja pwani wewe unasema kipo mbeya...
😀😀😀
Tanzania tupo position ambayo hata vimbunga vikali vinavyotokea baharini vikipiga madhara yanakuwa wastani.

Madagascar kimbunga kikitokea wao hawajafichwa na sehemu yoyote madhara hiwa makubwa.
 
Bahari ya Hindi zinapiga Tropical Revolving Strom ambayo ni hatari kwa meli lakini watu wa Marine meteorology huchukua tahadhari baada ya kupna dalili na wapi centre ya kimbunga ipo.
 
Pumbavu!! Mtaalam huyo Ndugu Samuel Mbuya kasema kuwa hiyo Mvua ya Mbeya leo ni athari ya Kimbunga hicho Jobu kwakuwa kimetengeneza Mgandamizo mkubwa kutokea katika Misitu ya Kongo ( Congo )
Kilometa 60 kwa saa nayo tishio?
 
Back
Top Bottom