Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Tanzania tupo position ambayo hata vimbunga vikali vinavyotokea baharini vikipiga madhara yanakuwa wastani.

Madagascar kimbunga kikitokea wao hawajafichwa na sehemu yoyote madhara hiwa makubwa.
Kwa Mujibu wa Mtaalam Ndugu Samuel Mbuya ( na siyo Mswahili na Mbishi ) Wewe kasema hiki cha sasa kitakuwa na Athari Kubwa mno kutokana na anavyokiona katika Mitambo yao na hakijawahi kutokea nchini Tanzania tokea Miaka 70 iliyopita.

Muwe mnasikiliza Redio au Kutizama Runinga au hata kuwa Wafuatiliaji wa Habari za dunia kuliko Kubobea katika Umbea wenu, Majungu na Upuuzi. Unaleta Mazoea na upo Kinadharia zaidi wakati Wenzako wako Kitaalam na Kiubobezi.

Na hata muda huu huu Mama Kijazi wa TMA nae ameonya na kusema tuchukue tahadhari kwani kitakuwa cha Hatari na Kitaleta madhara makubwa mno. Generalist naamini sana Wataalam ( hasa hasa Wanasayansi ) hawa na siyo Mswahili Mmoja Wewe.
 
Pumbavu!! Mtaalam huyo Ndugu Samuel Mbuya kasema kuwa hiyo Mvua ya Mbeya leo ni athari ya Kimbunga hicho Jobu kwakuwa kimetengeneza Mgandamizo mkubwa kutokea katika Misitu ya Kongo ( Congo )
Kwa hiyo Dar tumerukwa!? Wataalamu wako wanaotabiri baada ya tukio!?
 
Muhimu ni kuchukua tahadhari..hiyo alert ya ubalozi wa marekani hapo juu imebainisha tahadhari muhimu za kuchukua.
 
Kwa hiyo Dar tumerukwa!? Wataalamu wako wanaotabiri baada ya tukio!?
Sikujua kuwa kumbe hata Wewe ni 'Empty Set' kiasi hiki. Kitaalam ( hasa Kijiografia ) kwa Mujibu wake Ndugu Samuel Mbuya wa TMA kasema kwamba hata kama Kimbunga kitakuwa Pwani ya nchi ila huwa kinapeleka madhara maeneo mengine ya nchi na Mikoa ambayo huwa ni 'Mhanga' mara nyingi huwa ni ya Mbeya, Rukwa na Iringa.

Na hii ni kutokana na Mgandamizo mkubwa kutokea Usawa wa Bahari kuelekea katika Misitu ya Kongo ( Congo ) ambayo Kijiografia pia huwa ni chanzo cha kutokea kwa Mvua Kubwa katika nchi jirani nae.
 
Kilometa 60 kwa saa nayo tishio?
Nimesema ( nimeandika ) kipo sasa Umbali wa Kilometa 236 kutokea Pwani ya Mafia ( kwa Mujibu wake Mtaalam huyo wa TMA Ndugu Samuel Mbuya ) je, ni wapi nimeandika ( nimesema ) kipo Umbali wa Kilometa 60 ambazo umenizushia Wewe hapa? Pumbavu!!
 
Mimi ningekuwa Daslam hasa eneo la bondeni ningeenda hata Morogoro kesho mpaka kimbunga kipite. kimbunga ni hatari sana.Kama nyumba zilizojengwa kwa viwango bora huko USA, Japan havihimili kimbunga Je hapa Tanzania itakuwaje?
Kutakuwa na maafa makubwa Sana dar es salaam iwe isiwe lazima maafa yatokee. Mvua itayotokea baada ya kimbunga ndo italeta maafa na tuombe mungu kisiwe na speed ya above 100km/hr
 
Kwa Mujibu wa Mtaalam Ndugu Samuel Mbuya ( na siyo Mswahili na Mbishi ) Wewe kasema hiki cha sasa kitakuwa na Athari Kubwa mno kutokana na anavyokiona katika Mitambo yao na hakijawahi kutokea nchini Tanzania tokea Miaka 70 iliyopita.

Muwe mnasikiliza Redio au Kutizama Runinga au hata kuwa Wafuatiliaji wa Habari za dunia kuliko Kubobea katika Umbea wenu, Majungu na Upuuzi. Unaleta Mazoea na upo Kinadharia zaidi wakati Wenzako wako Kitaalam na Kiubobezi.

Na hata muda huu huu Mama Kijazi wa TMA nae ameonya na kusema tuchukue tahadhari kwani kitakuwa cha Hatari na Kitaleta madhara makubwa mno. Generalist naamini sana Wataalam ( hasa hasa Wanasayansi ) hawa na siyo Mswahili Mmoja Wewe.
Generalist una akili tatizo tu unashabikia CCM
 
Kutakuwa na maafa makubwa Sana dar es salaam iwe isiwe lazima maafa yatokee. Mvua itayotokea baada ya kimbunga ndo italeta maafa na tuombe mungu kisiwe na speed ya above 100km/hr
Kwa jinsi huyu Mtaalam wa TMA Ndugu Samuel Mbuya anavyoongea inaonyesha huenda Mkoa wa Dar es Salaam hiyo Jumapili ukawa na Maafa makubwa.

Na kilichonishtua na hata 'Kuniogopesha' zaidi ni kwamba Mtaalam huyo alisema Tanzania kwa zaidi ya Miaka 70 iliyopita haijawaji Kukumbwa na Kimbunga kama hiki Jobu na kila Mara akisisitiza Watu Kuchukua tahadhari.
 
Sisi wenyewe wa Dar hata habari hatuna. Tuko bar bado sherehe inaendelea hasa kipindi hichi wanywaji tuko WACHACHE.
surgea.gif

Storm Surge ni Hatari haswa kwa watu wanaoishi pembezoni mwa Bahari ya Hindi
 
Sisi wenyewe wa Dar hata habari hatuna. Tuko bar bado sherehe inaendelea hasa kipindi hichi wanywaji tuko WACHACHE.
Jumapili utakapokuwa 'Ukielea' katika Maji ya Mto Msimbazi na 'Boksa' yako iliyochakaa kama Basi la Simba SC kupelekwa 'Salenda Bridge' ndipo utaelewa, kuwa makini na hata Kuukumbuka Uzi huu Pimbi Mmoja Wewe!!
 
Back
Top Bottom