Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwa nini mnapenda kutisha watu.Nina hakika kabisa kwamba mnatumiwa kuleta taharuki kwenye Jamii na watu waovu.Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.
Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.
Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.
Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.
Haya kila mwana JF achukue tahadhari.
Nimesikia kimekuja 'Makusudically' kabisa "Kuwatwaa' wale wote waliokuwa Wakifurahia Kifo cha Mwendazake ( ila siyo Generalist Mimi ) hivi Watakoma ( Mtakoma ) na mkiweza 'tubuni' upesi kwa Mwenyezi Mungu.Vifo wakati wa Tufani ni Kufa kwa Maji, Kufa kwa kukanyaga waya za Umeme, Kufa kwa kuangukiwa na Miti, Kufa kwa kungukiwa na Kuta za majengo.
Kimekuja kusafisha yale maovu ya Mwendazake ili Mama aanze upya zile damu pia zinaoshwa.Nimesikia kimekuja 'Makusudically' kabisa "Kuwatwaa' wale wote waliokuwa Wakifurahia Kifo cha Mwendazake ( ila siyo Generalist Mimi ) hivi Watakoma ( Mtakoma ) na mkiweza 'tubuni' upesi kwa Mwenyezi Mungu.
Tuliokulia Mikoa ya Pwani uliposema tu neno 'Jicho' tumeshtuka kidogo kwani ni Wadau wazuri wa 'Jicho' hilo.Kwa wale wapenzi wa jicho,hivi Jobu limeshatengeza Jicho au bado ni Tropical Storm
Sijui kwa nini mnapenda kutisha watu.Nina hakika kabisa kwamba mnatumiwa kuleta taharuki kwenye Jamii na watu waovu.
Kimbunga Jobo sio strong kama ulivyo present,infact kinaendelea kupungua nguvu,na nadhani mpaka kitakapo fika kwenye pwani ya Mafia na Lindi kinaweza kuwa na speed y kilometre 20 kwa saa.Hata hivyo ni muhimu wananchi wakaendelea kuchukua tahadhari.
Taarifa kamili ya TMA iko kwenye link ifuatayo.
Mkuu lakini kimbunga ndani ya masaa 24 ni mengi sana huwa vinabadilika na kuwa Monsters ila hatuombeiSijui kwa nini mnapenda kutisha
amekaa kishoga shoga sana huyo achana naeMkuu lakini kimbunga ndani ya masaa 24 ni mengi sana huwa vinabadilika na kuwa Monsters ila hatuombei
So called wataalamu wamekaa wanaangalia CCN kama raia wa kawaida hakuna kitu hapo bana.Walaumu TMA na si Mimi sawa? Swine!!!
Ukumbike kuwa nyumba nyingi unazoziona kule zikiathirika zimejengwa kwa Mbao...Mimi ningekuwa Daslam hasa eneo la bondeni ningeenda hata Morogoro kesho mpaka kimbunga kipite. kimbunga ni hatari sana.Kama nyumba zilizojengwa kwa viwango bora huko USA, Japan havihimili kimbunga Je hapa Tanzania itakuwaje?
Sawa mkuu,ila lugha mleta mada aliyotumia ni ya kutishia sana.Ukisikiliza lugha ya TMA unagundua kwamba hali sio tete kihivyo.Unajua mkuu,si vizuri kutisha watu.Tujaribu kua realistic as we possibly can.Mkuu lakini kimbunga ndani ya masaa 24 ni mengi sana huwa vinabadilika na kuwa Monsters ila hatuombei
Kwa sasa kinaelekea Mbalizi kipo mlima Iwambi.Nasikia kimefika soweto 😂
Picha hizi ni uncalled for,za nini?Hivi huoni kwamba unawaletea watu hofu?Ninyi mnatumiwa na Shetani.Hofu ni mbaya sana,inaleta Diabetes,HBP,Depression,Ulcers,Cancer and many other ailments.Please please stop it.View attachment 1761867
UkiZoom kwenye hiyo Picha utaona madhara ya Tufani kwenye maeneo ya Pwani Tufani hiyo ilikuwa inaitwa Haiyaan ilipiga Philipines na kuuwa watu Maelfu
View attachment 1761868
Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.
Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.
Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.
Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.
Haya kila mwana JF achukue tahadhari.
Kutahadharisha tu ni kama kusema kuwa angalieni picha za HIV inavyomkondesha na hatimae kumuua mgonjwa.Picha hizi ni uncalled for,za nini?Hivi huoni kwamba unawaletea watu hofu?Ninyi mnatumiwa na Shetani.Hofu ni mbaya sana,inaleta Diabetes,HBP,Depression,Ulcers,Cancer and many other ailments.Please please stop it.