imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Changanya na zako mkuuNi kupiga hivo hivo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changanya na zako mkuuNi kupiga hivo hivo mbona
Huku shwari kwa sasa ila ntakujuza maaana nafatilia kwa umakini
Mwenyewe ka-google tu, hana utaalam wowote.Kwa Mujibu wa Mtaalam Ndugu Samuel Mbuya ( na siyo Mswahili na Mbishi ) Wewe kasema hiki cha sasa kitakuwa na Athari Kubwa mno kutokana na anavyokiona katika Mitambo yao na hakijawahi kutokea nchini Tanzania tokea Miaka 70 iliyopita.
Muwe mnasikiliza Redio au Kutizama Runinga au hata kuwa Wafuatiliaji wa Habari za dunia kuliko Kubobea katika Umbea wenu, Majungu na Upuuzi. Unaleta Mazoea na upo Kinadharia zaidi wakati Wenzako wako Kitaalam na Kiubobezi.
Na hata muda huu huu Mama Kijazi wa TMA nae ameonya na kusema tuchukue tahadhari kwani kitakuwa cha Hatari na Kitaleta madhara makubwa mno. Generalist naamini sana Wataalam ( hasa hasa Wanasayansi ) hawa na siyo Mswahili Mmoja Wewe.
Itakua ni wewe mwenyewe, make unajiita sana mtaalam.Sikujua kuwa kumbe hata Wewe ni 'Empty Set' kiasi hiki. Kitaalam ( hasa Kijiografia ) kwa Mujibu wake Ndugu Samuel Mbuya wa TMA kasema kwamba hata kama Kimbunga kitakuwa Pwani ya nchi ila huwa kinapeleka madhara maeneo mengine ya nchi na Mikoa ambayo huwa ni 'Mhanga' mara nyingi huwa ni ya Mbeya, Rukwa na Iringa.
Na hii ni kutokana na Mgandamizo mkubwa kutokea Usawa wa Bahari kuelekea katika Misitu ya Kongo ( Congo ) ambayo Kijiografia pia huwa ni chanzo cha kutokea kwa Mvua Kubwa katika nchi jirani nae.
Siku hizi Mbeya kuna bahari.🤑🤑🤑Kimbungq kinatokea baharini madagascar kuja pwani wewe unasema kipo mbeya...
😀😀😀
Mwaka gani kilitokea?Kwa jinsi huyu Mtaalam wa TMA Ndugu Samuel Mbuya anavyoongea inaonyesha huenda Mkoa wa Dar es Salaam hiyo Jumapili ukawa na Maafa makubwa.
Na kilichonishtua na hata 'Kuniogopesha' zaidi ni kwamba Mtaalam huyo alisema Tanzania kwa zaidi ya Miaka 70 iliyopita haijawaji Kukumbwa na Kimbunga kama hiki Jobu na kila Mara akisisitiza Watu Kuchukua tahadhari.
Msimpe sifa azizostahili.huyo hata hakujenga airport Dodoma,kajenga Chato.Kwa Mujibu wa Mtaalam Ndugu Samuel Mbuya ( na siyo Mswahili na Mbishi ) Wewe kasema hiki cha sasa kitakuwa na Athari Kubwa mno kutokana na anavyokiona katika Mitambo yao na hakijawahi kutokea nchini Tanzania tokea Miaka 70 iliyopita.
Muwe mnasikiliza Redio au Kutizama Runinga au hata kuwa Wafuatiliaji wa Habari za dunia kuliko Kubobea katika Umbea wenu, Majungu na Upuuzi. Unaleta Mazoea na upo Kinadharia zaidi wakati Wenzako wako Kitaalam na Kiubobezi.
Na hata muda huu huu Mama Kijazi wa TMA nae ameonya na kusema tuchukue tahadhari kwani kitakuwa cha Hatari na Kitaleta madhara makubwa mno. Generalist naamini sana Wataalam ( hasa hasa Wanasayansi ) hawa na
Hapo ndipo napoona Mwendazake alikuwa na maono akahamishia ofisi zote Dodoma
Mkuu usitutishe, cha kwetu hakitakua na kasi iyo, japo tunapaswa kuchukua tahadhari.View attachment 1761867
UkiZoom kwenye hiyo Picha utaona madhara ya Tufani kwenye maeneo ya Pwani Tufani hiyo ilikuwa inaitwa Haiyaan ilipiga Philipines na kuuwa watu Maelfu
View attachment 1761868
Mimi ningekuwa Daslam hasa eneo la bondeni ningeenda hata Morogoro kesho mpaka kimbunga kipite. kimbunga ni hatari sana.Kama nyumba zilizojengwa kwa viwango bora huko USA, Japan havihimili kimbunga Je hapa Tanzania itakuwaje?
Wakulungwa tupo na wala hatujali majanga mangapi yamepita na bado tupo!Kwa ujinga na uoga huo ndio maana huwezi kuishi jiji la wajanja
Nasikia habari za kimbunga JOBO ni FIKSI TU, endeleeni kula bia bila hofu.Mwenyewe ka-google tu, hana utaalam wowote.
Mkuu vyombo vya habari huwa vinaongeza presha Sana. Mimi sipo kinadharia naongelea kwa uzoefu wa baharini. Hivyo vimbunga baharini vipo Sana na kwa upande wa Pacific ndio balaa.Kwa Mujibu wa Mtaalam Ndugu Samuel Mbuya ( na siyo Mswahili na Mbishi ) Wewe kasema hiki cha sasa kitakuwa na Athari Kubwa mno kutokana na anavyokiona katika Mitambo yao na hakijawahi kutokea nchini Tanzania tokea Miaka 70 iliyopita.
Muwe mnasikiliza Redio au Kutizama Runinga au hata kuwa Wafuatiliaji wa Habari za dunia kuliko Kubobea katika Umbea wenu, Majungu na Upuuzi. Unaleta Mazoea na upo Kinadharia zaidi wakati Wenzako wako Kitaalam na Kiubobezi.
Na hata muda huu huu Mama Kijazi wa TMA nae ameonya na kusema tuchukue tahadhari kwani kitakuwa cha Hatari na Kitaleta madhara makubwa mno. Generalist naamini sana Wataalam ( hasa hasa Wanasayansi ) hawa na siyo Mswahili Mmoja Wewe.
US nyumba zao huwa ni za mbao, sijajua kwa Japan ila naamini nao pia itakuwa kwa sababu ni sehemu prone kwa matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara...Mimi ningekuwa Daslam hasa eneo la bondeni ningeenda hata Morogoro kesho mpaka kimbunga kipite. kimbunga ni hatari sana.Kama nyumba zilizojengwa kwa viwango bora huko USA, Japan havihimili kimbunga Je hapa Tanzania itakuwaje?
Hawa watu kumbe mambo yao mnayapenda? ila wakiwaambia ukweli mnawaita mabeberu🤣
Anatoka bungeni kuja kutafuta nini huko🤣🤣🤣Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.
Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.
Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.
Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.
Haya kila mwana JF achukue tahadhari.