Kimei alaani mauaji ya kijana Octavian, ataka haki itendeke na kuwatuliza wananchi

Kwanini tutumie askali wakiba awana uwezo wa kumuoji mtu tunaona barabarani jinsi wana vowaonea wafanya biashara na kuwapiga na kuvunja meza zao wakati kama mtu atii amlii anatakiwa akamatwe jera miedhi 6 au faini shiling 50 awa sisi watatu uwa sana shelia zao zipo mkononi
 
Moyo wangu umeumia sana kupoteza nguvu kazi, yaani kweli mtu anauawa kwa sababu ya kukata majani jamani, ni maumivu sana chombo tunachokiamini kwa ulunzi kudanganya au kutetea mauaji eti amejinyonga yaani katika mambo sitaki kusikia ni kuona mtoto wangu anakuwa askari, bora awe mjeshi kwa kweli
 
Sema wachaga Wana roho mbaya sana hasa wakiwa na madaraka au wakiwa wanataka madaraka
 
Sitetei hili lakini alikuwa anakata ndani ya hifadhi kitu ambacho walishapigwa marufuku kisheria, according tu habari ni katika purukushani za ukamataji sidhan kama askari alidhamiria
 
Askari wa akiba hawapewi silaha, wanaobeba ni wa hifadhi
 
CCM siyo janga bali wananchi ndiyo janga. Imaging huyu mbunge anasema alishasikia malalamiko ya kupigwa na wanawake kubakwa lakini hakuchukuwa hatua. Na hili la huyu marehemu amepiga kelele kwa sababu anajua uchaguzi unakaribia. Kila kona ya nchi watu wanalia ila wanshindwa kuungana na kuwaondoa hawa makatili kwenye uongozi.
 
Hiyo kesi ya kubakwa kwa wanachi ilifanyiwa uchunguzi, na result zilikuwa ni false, hakukuwahi kupatikana askari wa huko anaefanya vitendo hivyo . Ila zilikuwa ni speculations za wamama waliokuwa wakidakwa ndani ya hifadhi , in retaliations wakaja na hizo slogan, ndio maana unaona hizo kesi huzisikii tena.

Ila kwenye matukio mengine hapo lazoma wawajibike

All in all wananchi wenyewe hawana umoja, hawawez pressure serikali kufanya reforms, wame sambaratishwa. kwa siasa na nguvu
 
Waliosema kujinyonga wasiachwe na basi tafadhali.
 
Hakuna Kinapa bila Serikali Ukumbuke Hilo
Mnapita njia ndefu Sana.
Hao viongozi wanaoreact Ni Drama tu
Mkizika move imefika mwisho
 
Majani yemyewe mwisho wa siku lazima yaote tena na kua kichaka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…