Kimoja chali, naombeni msaada wenu kwa mliowahi kupata tatizo hili na mkalitatua

Ishi hivyo ndugu haya mengine ni ubatili na kujilisha upepo cha msingi mwezi wako naye akojoe basi
 
Unachemsha majani au mizizi
 
Hahahaha...
Kwamba ukimilikiwa na Ke kausha damu, ukigonga kimoja tu chali
 
Anza kukimbia kila siku jioni, pia tumia asali na karanga mbichi.

Ukiweza pia kula Viazi vitamu vya kuchemsha, tende kunywa maji mengi.

Usimwogope mwanamke pia
[emoji419][emoji419][emoji419]
1) asali na karanga mbichi
2) Tende zile za kupima kwa kilo

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Unataka kupiga vingi ili WEWE uridhike au ili umridhishe mwanamke? Kama unajaribu kumridhisha mwanamke ndugu yangu unatwanga maji kwenye kinu, hicho kimoja cha nusu saa kinatosha kabisa wala usihangaike
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unachemsha majani au mizizi
Well... Kata mti wenye urefu wa nusu foot, then ukatakata vipnde vdgovdgo wastani wa nchi mbili. Kisha unachemsha maji yenye wastani wa nusu na robo lita, then utakunywa maji nusu lita kwa maana hyo robo ita evaporate wakat una chemsha na itabaki nusu lita utakunywa kutwa mara mbl morning to evening. N dawa kiboko kwa uume uliolegea, na tatzo la kukojoa mapema, hutumika kama natural viagra pia hungeza sex stamina kwa 100%.[emoji1621]View attachment 2741275
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…