Ndio uzuri wa Jamiiforums, usirl unatupa confidence ya kuweza kuomba ushauri bila aibu.
Wakuu, kwa sasa umaridadi wangu kunako uwanja wa sita kwa sita kipindi cha Kwanza nacheza fresh ila kikiisha naweka mpira kwapani maana ni ngumu kurudi kipindi cha pili.
Mechi ya Kwanza naipania Sana lakini nikipiga danadana kwa nusu saa shughuli kwisha, na hapa naenda nusu saa maana ntapiga staili za kunihitaji nipige zoezi... Nikijoroga nilale chali ninyonywe au nikatikiwe hapo sichukui dakika 5
Chakula changu
Asubuhi chapati mbili na supu,
mchana ugali, samaki na mtindi
Usiku wali, maharage, nyama na mtindi
Matunda nakula
Umri bado sijavuka 40
Sina kitambi
Sina kisukari, presha, n.k.
Kiuchumi si haba,
Sinywi pombe na nimeacha sigara huu ni mwezi wa nane tangu nimeacha
Mosi
Saikolojia ndio tatizo kubwa na kwenye issue hii
Kwa jinsi ulivyo andika tayari umekwisha litengeneza tatizo kichwani mwako
Relax upo sawa mkuu
Pili
Majukumu yakiwa mengi huwa inasababisha hali hiyo
Jitahidi kupata muda wa kupumzika na kuburudisha nafsi yako, sio lazima uzagamue kila siku
Tatu
Pilau na kujichukulia sheria mkononi
Kuangalia sana pilau na kujichulia sheria mkononi kunasababisha hali hiyo pia
Nne
Umri nao uzingatiwe kadiri unavyokua mwili wote huwa unapunguza uwezo wake ikiwemo hiyo nyanja
Kama una 35 huwezi kuperform kama mwenye 18-25
Tano
Hakikisha unakunywa maji angalau lita mbili kwa siku kidogo kidogo kuanzia asbh hadi usiku
Punguza ulaji wa nyama(supu) mafuta (rosti) sukari (chai)
Asbh gonga mayai au viazi vitamu chai ya tangawizi na asali
Mchana mboga samaki na mbogamboga kwa wingi
Usiku wali kidogo maharagwe mwngii na parachichi au ndizi
Na juice fresh(sio ya dukani)
Mwisho
Mazoezi ni muhimu sana sana sana
Hakikisha kila siku asbh unatoka jasho walau kwa dk 10
Kichura chura, ruka kamba, kimbia zunguka nyuma au sebule, push up nk nk