Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwa hili hata mi nakuunga mkono, piga chini marioo.. mwanaume anatakiwa kuwa mpambanaji na hata unapom support iwe unaona kabisa raman zake zinaeleweka na progress inaonekanammezid kua vimarioo mnataka kulelewa,,tunakubali kuwalea mnatupga na vtu vizito.
😅😅Mbung'o weeee
msipende kutulaumu bure aseeee,,,mtu unasema ngoj nimshike mkono mwenzangu,, kumbe hio unayomshika mkono anaenda kuhonga mbele 😆😆 woooiiiKwa hili hata mi nakuunga mkono, piga chini marioo.. mwanaume anatakiwa kuwa mpambanaji na hata unapom support iwe unaona kabisa raman zake zinaeleweka na progress inaonekana
😅😅
This is very very bad.msipende kutulaumu bure aseeee,,,mtu unasema ngoj nimshike mkono mwenzangu,, kumbe hio unayomshika mkono anaenda kuhonga mbele 😆😆 woooiii
Soooo,,sio wote ni prostituteThis is very very bad.
Shenzmabao mengne bora wazee wenu wangepiga nyeto au mama zenu wangemeza p2 mkafie uko
Nakubali. Japo wa hiv mko wachache sanaSoooo,,sio wote ni prostitute
accepted but same too,,, SAVAGEShenz
sema ndo tunaangukia kwa malofa balaa🤣Nakubali. Japo wa hiv mko wachache sana
sio huku tanzania wanamke wa ccm walivyo vyura kiziwiTaiwo amesema kitendo Cha kuoa kabla ya kupata pesa na umaarufu kimemsaidia sana katika maisha yake 👏🏿👏🏿
Kipindi ambacho naoa Kila mtu alimshauri mke wangu asiolewe na mm maana nilikuwa Sina pesa za kutosha kufanya jambo zuri Kwa ajili yake 😭😭lakini binti wa watu aliziba masikio na kusema naamini ipo siku tutapata hizo pesa ambazo watu wanaona hatuna 🥺
Nilipopata Fursa ya kucheza mpira alikuwa ananisukuma kuwahi mazoezi Kila siku 👏🏿👏🏿
Na Sasa tunaishi maisha ya furaha nimepata pesa nimemnunulia Kila kitu alichokuwa anakitamani na hata Sasa naendelea kumnunulia ili azidi kufurahi 💕💕alinipenda wakati sikuwa na kitu ,akakubali kuolewa na mm wakati sikuwa na kitu ,Sasa nimezipata Fursa kwake kuzitumia ❤️❤️
Wale walionidharau ,walisema mm ni maskini siku hizi wanapiga simu wanaomba msaada kwangu 🤪 wasichana walionikataa Sasa hivi wanalilia na kusema wako tayari kutoa miili Yao Kwa ajili yangu 🤣
Nawaaambia tu kaeni mbali am happily married man 👏🏿👏🏿👏🏿
WeeView attachment 3025519
Uongo kiswahili uzuri Hivyo vitu tunavijua vizuri kuwa Nyota njema huonekana asubuhi sio jioni hao nyota mbaya asubuhi na kuwa nyota njema jioni wachache sana kama huyo TaiwoKabisa tamaa za muda mfupi zinawacost
Learn to be a submissive wife, ukileta ubishi utaliwa kichwa.accepted but same too,,, SAVAGE
Good man sio mkurupukaji wa maneno na matusi as u are, unataka kusema wanaume wote mko perfect?Learn to be a submissive wife, ukileta ubishi utaliwa kichwa.
Wee usiniambiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tayari
this is sadsema ndo tunaangukia kwa malofa balaa🤣
Good man sio mkurupukaji wa maneno na matusi as u are, unataka kusema wanaume wote mko perfect?
Kidumu chama cha Demokrasia na Maendeleo.Good man sio mkurupukaji wa maneno na matusi as u are, unataka kusema wanaume wote mko perfect?
Pole sana kama unaangukia kwa Malofa. Naweka booking basi Mimi ni intellectual. Nicheki PMsema ndo tunaangukia kwa malofa balaa🤣
Uwe Campaign Manager wangu nichukue hilo jimbothis is sad
[emoji75][emoji75]akwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.