Kina Dada mnajua madhara na matokeo ya kupata watoto katika umri mkubwa kwa mara ya kwanza?

Kina Dada mnajua madhara na matokeo ya kupata watoto katika umri mkubwa kwa mara ya kwanza?

Jibu hoja acha attacking za hovyo.Unauwezo wa kufanya upasuaji kwa kusoma online hata kama ni Genius?Umesoma DNA na Genetics in general tukikuletea sample ututafutie population zenye RI and R2 ambazo haziruhusiwi kupewa dawa fulani fulani unaweza?
Hizo za operation umeleta mwenyewe hapa pia kwanini nisiweze nasoma online na kufanya practical it's very possible kabisa.
[emoji2][emoji2] Mbona pa genius pamekuuma na wewe siujiite tu [emoji2][emoji2][emoji2] una hasira kunywa maji mengi
 
  • Thanks
Reactions: MRI
Kama umesoma mwenyewe online bila practical huna justification ya kukosoa Embryology.Ndiyo maana hakuna udaktari wa online.Kuna baadhi ya units kwenye field hazihitaji virtual learning.Ikiwa imesoma hivyo na ukahisi umeelewa ni Hallucination tu.Rudi darasani ndo uje kukejeli anomalies na variation in Human Embryology.
oooh
 
Acha ubishi wewe unayeamini eti vile hujaingia darasani do not limit ur knlewdge wewe eti vile nimesoma online basi sijui, [emoji2][emoji2][emoji2] madaktari uchwara mna shida kweli yani sikuhizi mbona hata meetings zinafanyikia online jiongezee maarifa
Madaktari uchwara tena. Siyo lazima uchukue ushauri huo. However the disease does not read the book
 
Kwani kina manka wenyewe wanasemaje?🤣🤣mchawi pesa vipanga wanatengenezwa siku hizi 🤔🤣🤣mie nimezaa mtoto wangu wa kwanza nikiwa 24,wa pili nikiwa na 29,nikakamilisha ratiba🙏
 
Madaktari uchwara tena. Siyo lazima uchukue ushauri huo. However the disease does not read the book
Pole Dr uchwara ulitaka umpe mimba Mzee kakataa umekuja kulia JF [emoji2][emoji2]
 
Wakizalishwa mapema wanikiona Cha mtema kuni,... waulize single mom! wakichelewa kuzaa kwakusubiri ndoa wanakiona cha moto tunawavuruga mjue
 
Mama na baba yangu.

Dingi wa bujonde mama ponjoro
 
Wewe ndio moja kati ya watu mnaohamasisha Tanzania kuzaliana kama kuku huku mielekeo ya maisha ikiwa kizungumkuti, ina maana gani kuzaa mapema ikiwa hata shughuli ya kukuingizia kipato? kama huna pesa na huna mwelekeo wa maisha kwa zama hizi nashauri bora kutokuzaa tu maana huko mbele hali ni tete mno kuliko mnavyoandika hapa jamiiforum..
 
Sijui Kama no kweli Ila kusini huku lindi na mtwara mabinti wanawahi kuanza hayo mambo kwa sababu ya ugumu wa maisha Hilo ndo nalojua
Ugumu wa maisha inaweza kuwa ni secondary factor ya kupata watoto mapema kwa kanda ya kusini, wengi ni culture thing as a primary factor.

Binti ana pata mtoto sababu mama yake na bibi yake walipata watoto umri au rika lake.
 
Kuna bidada yupo around 35 yrs (hatuna mahusiano) ni marafiki tu kimtindo,alioniomba tuzae matunzo yote juu yake, nikatoa nje, haukupita muda nikamuona ana kitumbo huku akininyari[emoji2][emoji2]..nikajua kuna mtu huko ashapachikwa zigo.
Na hapo hakuna baba wa maana kwa huyo mtoto aiseee. Yaani kimsingi baba hapo ni baba jina ila hakutakuwa na malezi ya kueleweka.
 
Back
Top Bottom