cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hizo za operation umeleta mwenyewe hapa pia kwanini nisiweze nasoma online na kufanya practical it's very possible kabisa.Jibu hoja acha attacking za hovyo.Unauwezo wa kufanya upasuaji kwa kusoma online hata kama ni Genius?Umesoma DNA na Genetics in general tukikuletea sample ututafutie population zenye RI and R2 ambazo haziruhusiwi kupewa dawa fulani fulani unaweza?
[emoji2][emoji2] Mbona pa genius pamekuuma na wewe siujiite tu [emoji2][emoji2][emoji2] una hasira kunywa maji mengi