Kina Dada mnajua madhara na matokeo ya kupata watoto katika umri mkubwa kwa mara ya kwanza?

Kina Dada mnajua madhara na matokeo ya kupata watoto katika umri mkubwa kwa mara ya kwanza?

Kwani kusoma jambo lazima uingie darasani hata online unasoma vizuri tu, Mimi binafsi vingi nimesomea online na YouTube kuliko huko vyuonj kuanzia hata DNA mbona Iko form three, Dunia ya Sasa usisubirie vya darasani tu kujiona unajua.
Kama umesoma mwenyewe online bila practical huna justification ya kukosoa Embryology.Ndiyo maana hakuna udaktari wa online.Kuna baadhi ya units kwenye field hazihitaji virtual learning.Ikiwa imesoma hivyo na ukahisi umeelewa ni Hallucination tu.Rudi darasani ndo uje kukejeli anomalies na variation in Human Embryology.
 
  • Thanks
Reactions: MRI
Kwahiyo unataka wazae tu hata kama hawajaolewa? Mkiwalisha muwakimbie baadaye muanze kuwasimanga kuwa singo mamaz hawafai? Acha wazae na hiyo miaka 38 kikubwa azae na mume wake Sarah alizaa na miaka 90 huko mtoto hakuwa na shida yoyote sembuse was 38?
🤗❤️
 
"Nina elewa wengi husema wanasubiri wakati sahihi wa MUNGU"

Ujinga mwingine wa watu

Wakati wa Mungu uko determined na uwezo wako wa kutii na kujikabidhi kwenye neno la Mungu, and never defined by years...

Most of the time, wanaomngoja Mungu, actually Mungu ndo anawangoja wajikabidhi kwake......

Ninaamini ni mpango wa Mungu watu waolewe kwa wakati, kama hawana majukumu serious na wafurahi ndoa...

Mwanamke yeyote anayetafuta hela sana kwa bidii kama kipaumbele chake, hayupo, Kabisa, katika mpango wa Mungu. Acha

Acha kujitungia kwa mawazo yako kama hawataki wapi pamesemwa kwamba ni dhambi acha kuleta taharuki kwa watu kwa mitazamo yako ya uchochoroni.


Hao wasichana wengine ndo tegemezi kweny familia zao watasaidia vip wazazi wao wasipofanya kazi?

Wazae hovyo kama bata bila ya kuwa na hofu ya Mungu unaona ni sawa kabisa..

Kila mtu ana wakati wake sahihi acha kuongopea watu.!!

kujitungia acha watafute maisha kuzaa sio lazima
 
Kama umesoma mwenyewe online bila practical huna justification ya kukosoa Embryology.Ndiyo maana hakuna udaktari wa online.Kuna baadhi ya units kwenye field hazihitaji virtual learning.Ikiwa imesoma hivyo na ukahisi umeelewa ni Hallucination tu.Rudi darasani ndo uje kukejeli anomalies na variation in Human Embryology.
Acha ubishi wewe unayeamini eti vile hujaingia darasani do not limit ur knlewdge wewe eti vile nimesoma online basi sijui, [emoji2][emoji2][emoji2] madaktari uchwara mna shida kweli yani sikuhizi mbona hata meetings zinafanyikia online jiongezee maarifa
 
nipo nyuma kweli kweli, 2023 bado zipo zama za kuandika my take au saikolojia yangu haipo sawa
 
Acha kujitungia kwa mawazo yako kama hawataki wapi pamesemwa kwamba ni dhambi acha kuleta taharuki kwa watu kwa mitazamo yako ya uchochoroni.


Hao wasichana wengine ndo tegemezi kweny familia zao watasaidia vip wazazi wao wasipofanya kazi?

Wazae hovyo kama bata bila ya kuwa na hofu ya Mungu unaona ni sawa kabisa..

Kila mtu ana wakati wake sahihi acha kuongopea watu.!!

Akili huna, hakuna mtu kakataza mtu as ifanye kazi
 
Acha ubishi wewe unayeamini eti vile hujaingia darasani do not limit ur knlewdge wewe eti vile nimesoma online basi sijui, [emoji2][emoji2][emoji2] madaktari uchwara mna shida kweli yani sikuhizi mbona hata meetings zinafanyikia online jiongezee maarifa
Ni wonder unajiita Genius.Nenda kajifunze online kufanya upasuaji wowote halafu ukamfanyie mtoto wako upasuaji .Kama kweli Elimu siku hizi inapatikana online kirahisi kama unavyofikiria.Yaani imesoma online DNA halafu leo unauwezo wa kufanya practical ya R1 na RY ?Online ni basic tu .
 
Ni wonder unajiita Genius.Nenda kajifunze online kufanya upasuaji wowote halafu ukamfanyie mtoto wako upasuaji .Kama kweli Elimu siku hizi inapatikana online kirahisi kama unavyofikiria.Yaani imesoma online DNA halafu leo unauwezo wa kufanya practical ya R1 na RY ?Online ni basic tu .
Wewe nabishana na mjinga hapa usinichoshe kabisa uelewa wako uko limited sana. I'm genius in my own definition so relax Dr uchwara unayeumia wanawake wasipozaa kuwa na kyuma yako uwahi kuzaa basi
 
Wewe nabishana na mjinga hapa usinichoshe kabisa uelewa wako uko limited sana. I'm genius in my own definition so relax Dr uchwara unayeumia wanawake wasipozaa kuwa na kyuma yako uwahi kuzaa basi
Jibu hoja acha attacking za hovyo.Unauwezo wa kufanya upasuaji kwa kusoma online hata kama ni Genius?Umesoma DNA na Genetics in general tukikuletea sample ututafutie population zenye RI and R2 ambazo haziruhusiwi kupewa dawa fulani fulani unaweza?
 
Kuna watu nawajua fika ni watoto wa uzeeni wote wa familia moja walikuwa 9 ila ni vichwa hatari wamesoma kibaha, korogwe, loleza, songea girls, weruweru, ilboru inategemana labda na mtu na familia na kuna watoto wa ujanani nawajua kibao ambao ni vilaza wa kufa.
 
Back
Top Bottom