Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Ahahaha.. Hivi ndivyo vitu wanawake Wanapenda Mkali.. usijifanye kuzungumza nao vitu serious kila wakati!, John Alexander katika kitabu chake cha How to Become an Alpha Male, Ameelezea Vizuri sana!
One step ahead.
 
Hahahahh
Nguo anainunulie mwingine, kuvaa aje aniulize yeye.
Akitaka naye aingie gharama.

Ndo wale wanaume wanaokwambia, ukija kwangu leo, vaa ile nguo ya njano...mschewwww!!!
Wanajua ilikotoka?
Wanaume tumeombwa mateso.
 
Mimi nikianza pm huwa naanza kwa herufi zozote.

hdhejejhe
bxbdhehe
ueyehdbd
bdbdbd

Sasa naona nitakimbizwa.
Ipo siku yako tu.
Salamu mpaka unaona usingizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…