Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha.. Hivi ndivyo vitu wanawake Wanapenda Mkali.. usijifanye kuzungumza nao vitu serious kila wakati!, John Alexander katika kitabu chake cha How to Become an Alpha Male, Ameelezea Vizuri sana!u made my day😀😀
Hahahahhzingine;unafanya nn sasa hv,umevaa nn!ova wapenzi😡
NaUnGa mKoNo hOjA....[emoji30][emoji30][emoji30]Labda anaona aibu eti.
Mimi nikianza pm huwa naanza kwa herufi zozote.Basi aweke mada inayoendana na kichwa cha Pm
Kichwa cha Pm : we mtoto balaa
Maina Pm: mambo, shwari, mzima, nambie, upo, vip,
Asa mtu kama huyu wa nini.....
Kumalizina bando tu
ItapendezaUnataka screenshot mzee mama!
Shoga nilitakaga kusutwa kupitia hizi screenshot.Hii niliikuta kipindi nipo mgeni jf mambo ya kuscreenshot yalikuwa yamepamba moto
Naomba picha ya mwili wako Sura sio muhimu sana kwanguEeenh anaomba picha akujue tu yaan yupo pm kwa ajili ya kuomba picha aone ulivyo na hizi sura za baba zetu akatutangaze
Hii ni hatari sana kwa afya ya mahusiano na urafiki wetu tulio ujenga na kuutunza humu jf kwa miaka kadhaa.....Umeona eee
Siku hizi sijui tuseme no utoto au stress za maisha.
Mtu anakuja na screenshot ya mwaka 2013...
Asa ya nini.
Ipo siku yako tu.Mimi nikianza pm huwa naanza kwa herufi zozote.
hdhejejhe
bxbdhehe
ueyehdbd
bdbdbd
Sasa naona nitakimbizwa.