Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Ahahaha.. Hivi ndivyo vitu wanawake Wanapenda Mkali.. usijifanye kuzungumza nao vitu serious kila wakati!, John Alexander katika kitabu chake cha How to Become an Alpha Male, Ameelezea Vizuri sana!
One step ahead.
 
Hahahahh
Nguo anainunulie mwingine, kuvaa aje aniulize yeye.
Akitaka naye aingie gharama.

Ndo wale wanaume wanaokwambia, ukija kwangu leo, vaa ile nguo ya njano...mschewwww!!!
Wanajua ilikotoka?
Wanaume tumeombwa mateso.
 
Back
Top Bottom