Shoga nilitakaga kusutwa kupitia hizi screenshot.
Sema nilipiga samasoti moja hatari sana.
Sa hv hakuna cha ME wala KE....wote wanafiki tu.
Mnatumiana Pm kumbe inatembea kama upele mwilini.
Nimekoma
Ndiyo maana tunatuma za mambo, vipi, kwema umeshindaje, umekula nini? unaemdeleaje.Shoga nilitakaga kusutwa kupitia hizi screenshot.
Sema nilipiga samasoti moja hatari sana.
Sa hv hakuna cha ME wala KE....wote wanafiki tu.
Mnatumiana Pm kumbe inatembea kama upele mwilini.
Nimekoma
Naomba picha ya mwili wako Sura sio muhimu sana kwangu
Kwanini mkuu?Wewe najua haukutani na hizi bugudha isintit?
Comrade, kwa hili naomba nianze na mimi binafsi.... ukinitazama kwa umakini, utagundua kwamba nimeporeza upendo ule hata wa kuchangia mada kwa hoja, na zaidi nimebakiza kuunga mkono hoja tumsaada wenu unahitajika kwenye hili comrade.
Mateso mwayataka nyie wenyewe.Wanaume tumeombwa mateso.
Hapa kuna mtu anaenda kupigwa hela huko pm😂😂😂Tukamalizie ng'we pm.
Sema Pm kunakuwa kutamu kama jamaa unayechat nae anaingia kik ya kukupa pesa.
MuuzaMaterials twende babe wangu
Weee unakubalije sasa.Pole sana yaan umefumwa na ushahidi kabisa hahaha kwahiyo ukajikana Mzigua90 njo umuone ndg yako huku
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Hivi mnaposema "Mwanamke anataka attention yako" huwa mna maanisha nini ?Haya maswali ndio yananikimbiza hivi unaniuliza nimekula nawezaje ishi bila kula au nikikwambia sijala utanitumia hela ya kula
we unakichwa tu kwani huna kiwiliwiliMwili wangu ni huo kwa avatar huyo ndio mm
Nakutumia Pm nataka nini sasa?Raha ya pm uanze wewe kuituma....ukianza wewe unashangaa haijibiwi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] nimecheka kwa sautiEeenh anaomba picha akujue tu yaan yupo pm kwa ajili ya kuomba picha aone ulivyo na hizi sura za baba zetu akatutangaze
Kweli comrade siku hizi unaunga mikono hoja tu.Comrade, kwa hili naomba nianze na mimi binafsi.... ukinitazama kwa umakini, utagundua kwamba nimeporeza upendo ule hata wa kuchangia mada kwa hoja, na zaidi nimebakiza kuunga mkono hoja tu