Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Shoga nilitakaga kusutwa kupitia hizi screenshot.
Sema nilipiga samasoti moja hatari sana.

Sa hv hakuna cha ME wala KE....wote wanafiki tu.
Mnatumiana Pm kumbe inatembea kama upele mwilini.
Nimekoma
Ndiyo maana tunatuma za mambo, vipi, kwema umeshindaje, umekula nini? unaemdeleaje.

umevaa nini...hizi hazina madhara.
 
Wanaume tumeombwa mateso.
Mateso mwayataka nyie wenyewe.
Mje Pm mkiwa na sababu maalum.
Hatutaki salamu zenu zilizo ndefu kama mkojo wa mlevi.

Mwanaume rijali anakuja anakuuliza nataka nikutumie pesa ya lunch maana naona unachat sana jukwaani..nenda kale.
Mtu kama huyo hata ukimpa namba angalau wafarijika.
Asa wale wengine sasa.....loooollll!!!!!
Salamu kama tuko nursery school
 
usiwe mvivu shunie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…