Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Ukileta wivu we mama yake nakufukuza namuoa mtoto wako
 
Nadhan s

NAdhan tukubali tukatae siku hizi sio baba wa kambo tu hata baba mzazi anatembea na mtoto wake wa kumzaa all blames to mama,mtoto akipata mimba all blames to mama kila kitu mama ni wa kulaumiwa why always mama na mwanaume mshenz ni magenzi tu hataa mama awaje kwa mtoto wake
Huu ulalamishi ulikuwa valid au halali miaka ya 1990's kurudi nyuma ila kwa sasa huu ulalamishi sio halali tena kwasababu kuna taarifa mpya ambazo zinaleta ukakasi.

1. Ukisema baba anatembea na mtoto wake wa kuzaa nitakukumbusha kuwa kuna mchezo wa kitoto sana na wa kishenzi wanawake huwa mnafanya wa kubambikia wanaume mimba ambazo si zao. Yaani mwanamke anakwenda nje kuliwa na mwanaume mwingine anae mtaka yeye na muda mwingine mnaliwa hata na binadamu zenu wa damu. Halafu ukijua tu unamimba unabambikia mwanaume wako ajue mtoto ni wake then mwanaume anatulia na kulea.

Sasa usichokijua, wanaume huwa tunanusa na kujua nyendo za hovyo na kushtuka mtoto anapokuwa si wetu huwa tunakubali tu ili kuepusha kudharaulika kuwa mke ameliwa nje na bado ninaishi nae, na pia kuepusha kuonekana ni dhaifu. So tunalea kishingo upande. Ila wanaume baadhi husubiria mtoto aanze kupevuka na kuanzia pale anaanza kumuandaa kisaikolojia kumla. Hata mtoto anajua huyu sio baba yangu na hivyo kwangu si haramu kunitafuna.

Haya tunayaona huku mtaani. Sasa akina nyie mkishajua mnapayuka kusema mtu kala mtoto wake wa kumzaa. Hivi wewe unajua namna ilivyo ngumu kwa mtu mtimilifu wa akili kumuingilia mtoto wake? Inasimama vipi sasa, yaani aasshindwe kuwaingilia kimwili watoto wa ndugu zake , mabinamu zake wa kike, dada zake, aje kumuingilia mtoto wake yaani aliyemtengeneza kwa mbegu zake, wewe hiyo inakuingia kichwani? [emoji848]

Kitu kingine jiulize kwann mama wa binti huwa anakubali yaishe haraka na huwa hataki kesi iende mbali wala kuvuma sana anamalizana na mume wake na wanaendelea na maisha wewe unaweza endelea ishi na mwanaume aliyemuingilia mtoto wenu ambaye ni mbegu yake? Jibu unalo, wanajua kosa lao kuwa yule mtoto si damu yake na umefika wakati wamelipia dhambi ya kusaliti ndoa yao na ni halali kwa mwanaume kumla yule mtoto sababu mwanamke alidanganya kuhusu uhalili wake.

2. Mtoto akipata mimba lazima mama ulaumiwe wewe kwasababu wewe ndie unaeishinda nae muda mwingi xo sehemu kubwa ya tabia zake ni reflection ya tabia zako za asili na ukiona mtoto ana mwenendo wa namna fulani mtazame mama yake. Wengine ni wadangaji wastaafu ila udangaji upo ndani yenu still. Unakuta mama akikaa na baba kujadili tabia au mwenendo wa tofauti wa binti mama anachangia hoja hadi povu linamtoka ila sasa ngoja baba aondoke aketi na binti. Dakika za kwanza atamsema, dakika zinazofuata atakuwa curious kujua binti yake kakutana na mwanaume wa aina gani. Sasa binti amuonyeshe mama yake maokoto aliyopata kwa mwanaume anayempelekesha kichwa kwa offer za mfululizo. Utaona bi mkubwa taa ya "udangaji mode" inawaka na ataanza kudadisi zaidi na kumpa mbinu za kujinufaisha zaidi.

Kimsingi mama kwa bintie anakuwa yeye ndie remote control na binti anacheza mziki ambao mama yake atasema. Mtazame Kajala na Paula. Huwezi elewa hadi ufuatilie.
 
Amani iwe kwenu wote.....

Kina mama ambao mna watoto especially wa kike kwa ups and down za maisha mkatengana na baba zao na mnaishi na baba wengine wa kambo, hivi hawa wababa huwa mnawachukuliaje uhusiano wao na mabinti zenu???

Huwa mnawachukulia kama ambavyo baba mzazi anakua? Mnawakabidhi mabinti zenu 100% kwamba ni baba yake? Huwa hamna hofu kwamba hao sio biological father muda wowote watawageuka?? Anyway nna maswali mengi kichwani kwangu.....

Nimepata nafasi kadhaa za kuongea na watoto wa kike as mimi ni mlezi na mzazi kuna scenario zimekua zikijitokeza natamani kuchukua mic nipite nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa niwape Tangazo! Tangazo!

Scenario 1:

Huyu binti anaishi na mama na baba wa kambo na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo baba, ila mama anakua bize kuna siku harudi nyumbani (sikumbuki kazi ya mama) kuna siku mama alikua kazini hakurudi home, wanaishi chumba kimoja (sijui wananjunjana vipi saa ngapi na watoto hao 🤦). Usiku baba kahamia kati ya watoto kaanza kumpapasa huyu binti, japo hakumfanya kitu ila mtoto akashtuka na hakulala tena kesho yake akaja kusema baba kamshika. Mama kumuita kuongea nae akaside na baba ooh mme wangu anasali hawezi mxyuuu ovyoo. Possible alisema kumlindia heshima mme na kuficha aibu.

Scenario 2:
Binti anakaa na mama na baba wa kambo, ila kwa story mama aliwahi kuona uhusiano usio wa kawaida baina yao akaamua kuvunja uhusiano wakatengana. Kuongea na binti kuna vi element kwamba baba alikua anakula. Aliwahi kusema "waliachana kwa mambo yao ila kuna siku baba alikuja pale mtaani akamwambia mtu aniite nikaenda kuchukua hela na kurudi" na pia baba huwa anamvisit shuleni kumpa hela maswali kwanini aje usiku? Kwanini ampe hela? Kama nia njema kwanini hela asilete nyumbani???

Scenario 3:
Hii imenifanya nijiulize mengi. Huyu binti anajielewaaa yani ni mtoto ukiongea nae ni kama unaongea na mkubwa mwezio ndoto zake, mambo yake, vitu ambavyo mama anavifanya na yeye kama mtoto hapendi kwa kifupi anajitambua. Anaishi na mama na baba wa kambo. Ila kuna mambo yamekua yanaclick kichwani jinsi anavyohusiana na baba yake ingawa kwa jinsi alivyo mie sina shaka nae kwenye ujinga. Binti anacomplain mama ake mkali hamsikilizi hana muda nae etc etc sasa huyu baba amekua close nae kiasi kwamba mama asipokuwepo anapiga simu kwa kutumia simu ya baba anaongea kwa rahaaa comfortable kitu ambacho mama akiwepo hawezi. Kikubwa kuliko baba kamwambia afungue bank account kwa siriii awe anamuwekea hela (ina case kafariki) zitamsaidia mmmmh 🤔🤔🤔🤔 ni kulea tu kwa moyo?? Kweli??? Baba ana ukaribu sanaa na binti (nilihofu hata kuhoji zaidi kama kuna neno baba alishatamka) Nsamehewe kama nimewaza tofauti ila mie hainiingii.

Ujumbe wangu, kina mama kuweni karibu na watoto wenu muwasikilize wana mengi ya kuwaambia ila hamuwapi hiyo nafasi. Na hao wababa 🤔🤔 au basi..........
Shemela umechafukwa haswaaa..!!!
 
Amani iwe kwenu wote.....

Kina mama ambao mna watoto especially wa kike kwa ups and down za maisha mkatengana na baba zao na mnaishi na baba wengine wa kambo, hivi hawa wababa huwa mnawachukuliaje uhusiano wao na mabinti zenu???

Huwa mnawachukulia kama ambavyo baba mzazi anakua? Mnawakabidhi mabinti zenu 100% kwamba ni baba yake? Huwa hamna hofu kwamba hao sio biological father muda wowote watawageuka?? Anyway nna maswali mengi kichwani kwangu.....

Nimepata nafasi kadhaa za kuongea na watoto wa kike as mimi ni mlezi na mzazi kuna scenario zimekua zikijitokeza natamani kuchukua mic nipite nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa niwape Tangazo! Tangazo!

Scenario 1:

Huyu binti anaishi na mama na baba wa kambo na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo baba, ila mama anakua bize kuna siku harudi nyumbani (sikumbuki kazi ya mama) kuna siku mama alikua kazini hakurudi home, wanaishi chumba kimoja (sijui wananjunjana vipi saa ngapi na watoto hao 🤦). Usiku baba kahamia kati ya watoto kaanza kumpapasa huyu binti, japo hakumfanya kitu ila mtoto akashtuka na hakulala tena kesho yake akaja kusema baba kamshika. Mama kumuita kuongea nae akaside na baba ooh mme wangu anasali hawezi mxyuuu ovyoo. Possible alisema kumlindia heshima mme na kuficha aibu.

Scenario 2:
Binti anakaa na mama na baba wa kambo, ila kwa story mama aliwahi kuona uhusiano usio wa kawaida baina yao akaamua kuvunja uhusiano wakatengana. Kuongea na binti kuna vi element kwamba baba alikua anakula. Aliwahi kusema "waliachana kwa mambo yao ila kuna siku baba alikuja pale mtaani akamwambia mtu aniite nikaenda kuchukua hela na kurudi" na pia baba huwa anamvisit shuleni kumpa hela maswali kwanini aje usiku? Kwanini ampe hela? Kama nia njema kwanini hela asilete nyumbani???

Scenario 3:
Hii imenifanya nijiulize mengi. Huyu binti anajielewaaa yani ni mtoto ukiongea nae ni kama unaongea na mkubwa mwezio ndoto zake, mambo yake, vitu ambavyo mama anavifanya na yeye kama mtoto hapendi kwa kifupi anajitambua. Anaishi na mama na baba wa kambo. Ila kuna mambo yamekua yanaclick kichwani jinsi anavyohusiana na baba yake ingawa kwa jinsi alivyo mie sina shaka nae kwenye ujinga. Binti anacomplain mama ake mkali hamsikilizi hana muda nae etc etc sasa huyu baba amekua close nae kiasi kwamba mama asipokuwepo anapiga simu kwa kutumia simu ya baba anaongea kwa rahaaa comfortable kitu ambacho mama akiwepo hawezi. Kikubwa kuliko baba kamwambia afungue bank account kwa siriii awe anamuwekea hela (ina case kafariki) zitamsaidia mmmmh 🤔🤔🤔🤔 ni kulea tu kwa moyo?? Kweli??? Baba ana ukaribu sanaa na binti (nilihofu hata kuhoji zaidi kama kuna neno baba alishatamka) Nsamehewe kama nimewaza tofauti ila mie hainiingii.

Ujumbe wangu, kina mama kuweni karibu na watoto wenu muwasikilize wana mengi ya kuwaambia ila hamuwapi hiyo nafasi. Na hao wababa 🤔🤔 au basi..........
Ila wanawake mna wivu. Mpaka kwa watoto wenu? Sasa si muwapeleke kwa baba zao wazazi?
 
Mleta mada ni mpotoshaji na mzushi .Tanzania ni nchi ilio staharabika na watu wake
 
Ujumbe mzuri

Ila kabla ya kuolewa jaribu kuangalia unaolewa na nani kwanza.

Sio tu kutembea na mtoto wa mke wako pia kutembea na wanawake huku tayari umeoa that is wrong.



Mwanaume ana uwezo mkubwa wa kumu-handle mtoto wakike vizuri so hii ipo psychological the same Mama Ana uwezo wa kumu-handle mtoto akiume vizuri.


Nimeangalia malezi mengi ya mama na watoto wao wakike hayapo na muunganiko mzuri sasa hii inaweza kusababisha contradictions in parenting issues.
 
Ukisimama nchale ukikaa nchale.....

Tupo katika nyakati ambazo si salama kiuhalisia, ni muhimu kuangalia mambo katika angle zote.

Mie kaka yangu akija kwangu siruhusu hata watoto kuingia huko room aliko akae nao sebleni tu.

#usalamakwanza usijisikie vibaya kuimarisha ulinzi wa mtoto.
Uko sahihi nyakati za sasa si za kuamin mtu baki akae na watoto kihasarahasara hasa watoto wenyewe hawa wa kidigitali nakumbuka rafiki yangu mmoja aliwahi kusema watoto wa miaka hii wazuri sana maana kuna hybrid za kufa mtu na watoto wenye sura za kutisha tisha siku hizi hawapo sasa umkute kijana sijui binamu, n.k then eti unamuacha na mtoto wako mcuteee wakae room huko aisee utavuna mabua. Ndo maana ujenzi wa sasa wengine wanawajenge kabisa kachuma/kijumba cha nje ili kuondoa yale mambo ya babu. mjomba, binamu, rafiki kaja so analala na watoto.
 
Fedhuri hua haangaliii kua huyu ni mtoto wa kambo, wa dada yake au wa jirani.

Kuna kisa kilitokea wakati sisi tunamaliza la saba. Baba wa mmoja wa class mate(Wa kike) aliachana na mke wake akalazimisha kuishi na watoto wa kike 2 (mapacha) na wakiume mmoja mdogo.

After a time, tukaja kuambiea kua yule kulwa yuko na mimba, na ni ya yule mzee.

Ikapigwa kesi pale, yule mzee akapigwq mvua zake 30.

So ni ntu na ubazazi wake tu.
 
Not that i dont trust my partner,
but its just watoto wangu wa kike wako more close to their biological father kuliko my partner.
Wa kiume naishi nae, yuko close na my partner kuliko his biological father.
 
Sawa, hongereni kwa mioyo ya upendo.....
Lakini kwanini kuwepo na mambo ya siri kati yako na mtoto?? Kama ni pesa kwanini usimpe mbele ya mama "mwanangu hii pesa ya hiki na hiki"
Hatuwezi kuwapatia pesa mbele za mama zao kwa kuhofia kunyang'anywa. Wanawake wa siku hizi hapana kitu utawaambia wakuelewe mbele ya pesa
 
Amani iwe kwenu wote.....

Kina mama ambao mna watoto especially wa kike kwa ups and down za maisha mkatengana na baba zao na mnaishi na baba wengine wa kambo, hivi hawa wababa huwa mnawachukuliaje uhusiano wao na mabinti zenu???

Huwa mnawachukulia kama ambavyo baba mzazi anakua? Mnawakabidhi mabinti zenu 100% kwamba ni baba yake? Huwa hamna hofu kwamba hao sio biological father muda wowote watawageuka?? Anyway nna maswali mengi kichwani kwangu.....

Nimepata nafasi kadhaa za kuongea na watoto wa kike as mimi ni mlezi na mzazi kuna scenario zimekua zikijitokeza natamani kuchukua mic nipite nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa niwape Tangazo! Tangazo!

Scenario 1:

Huyu binti anaishi na mama na baba wa kambo na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo baba, ila mama anakua bize kuna siku harudi nyumbani (sikumbuki kazi ya mama) kuna siku mama alikua kazini hakurudi home, wanaishi chumba kimoja (sijui wananjunjana vipi saa ngapi na watoto hao 🤦). Usiku baba kahamia kati ya watoto kaanza kumpapasa huyu binti, japo hakumfanya kitu ila mtoto akashtuka na hakulala tena kesho yake akaja kusema baba kamshika. Mama kumuita kuongea nae akaside na baba ooh mme wangu anasali hawezi mxyuuu ovyoo. Possible alisema kumlindia heshima mme na kuficha aibu.

Scenario 2:
Binti anakaa na mama na baba wa kambo, ila kwa story mama aliwahi kuona uhusiano usio wa kawaida baina yao akaamua kuvunja uhusiano wakatengana. Kuongea na binti kuna vi element kwamba baba alikua anakula. Aliwahi kusema "waliachana kwa mambo yao ila kuna siku baba alikuja pale mtaani akamwambia mtu aniite nikaenda kuchukua hela na kurudi" na pia baba huwa anamvisit shuleni kumpa hela maswali kwanini aje usiku? Kwanini ampe hela? Kama nia njema kwanini hela asilete nyumbani???

Scenario 3:
Hii imenifanya nijiulize mengi. Huyu binti anajielewaaa yani ni mtoto ukiongea nae ni kama unaongea na mkubwa mwezio ndoto zake, mambo yake, vitu ambavyo mama anavifanya na yeye kama mtoto hapendi kwa kifupi anajitambua. Anaishi na mama na baba wa kambo. Ila kuna mambo yamekua yanaclick kichwani jinsi anavyohusiana na baba yake ingawa kwa jinsi alivyo mie sina shaka nae kwenye ujinga. Binti anacomplain mama ake mkali hamsikilizi hana muda nae etc etc sasa huyu baba amekua close nae kiasi kwamba mama asipokuwepo anapiga simu kwa kutumia simu ya baba anaongea kwa rahaaa comfortable kitu ambacho mama akiwepo hawezi. Kikubwa kuliko baba kamwambia afungue bank account kwa siriii awe anamuwekea hela (ina case kafariki) zitamsaidia mmmmh 🤔🤔🤔🤔 ni kulea tu kwa moyo?? Kweli??? Baba ana ukaribu sanaa na binti (nilihofu hata kuhoji zaidi kama kuna neno baba alishatamka) Nsamehewe kama nimewaza tofauti ila mie hainiingii.

Ujumbe wangu, kina mama kuweni karibu na watoto wenu muwasikilize wana mengi ya kuwaambia ila hamuwapi hiyo nafasi. Na hao wababa 🤔🤔 au basi..........
Hahaha
 
Back
Top Bottom