Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Hisia mbaya ni utumwa. Nilisha kaa na single mama ana mtoto wa kike, yule binti alikuwa kama mie ndio baba yake.. na wakati mwingine mtoto anakuja kulala na mie baba wa mchongo ili kupata joto la baba ambalo hakuwai lipata kwa baba yake Og
Imagine mtu amekaa sehemu huko mtoto wake anateseka yeye na mapumbu yake ameridhika. Why umuache mtoto wako damu yako , bao lako? [emoji848]
 
Nini maana ya kuwepo kwa baba na mana
Sasa baba niongee na biti pesa ya kununuwa pedi na chupi?

Huoni kama mama yupo commited zaidi kwa binti?

Baba anatakiwa apewe bajeti ya mtoto na mama ndio anajuwa mambo ya kike.

Naweza kumuita binti mbele ya mama yake nikampa pesa aliyorequest kupitia kwa mama yake.

Mimi kwanza sifurahishwi na hivi vitoto tunavyovipanda sasa hivi ni kwa sababu wazazi wao wameacha majukumu ya kuwahudumia.

Inapendeza vijana wavuane chupi kama passion tu mabinti wawapendd wavulana saizi yao lakini sivyo ilivyo, wavulana hawana pesa za kuwapa.
 
Nadhan s
Sasa baba niongee na biti pesa ya kununuwa pedi na chupi?

Huoni kama mama yupo commited zaidi kwa binti?

Baba anatakiwa apewe bajeti ya mtoto na mama ndio anajuwa mambo ya kike.

Naweza kumuita binti mbele ya mama yake nikampa pesa aliyorequest kupitia kwa mama yake.

Mimi kwanza sifurahishwi na hivi vitoto tunavyovipanda sasa hivi ni kwa sababu wazazi wao wameacha majukumu ya kuwahudumia.

Inapendeza vijana wavuane chupi kama passion tu mabinti wawapendd wavulana saizi yao lakini sivyo ilivyo, wavulana hawana pesa za kuwapa.
NAdhan tukubali tukatae siku hizi sio baba wa kambo tu hata baba mzazi anatembea na mtoto wake wa kumzaa all blames to mama,mtoto akipata mimba all blames to mama kila kitu mama ni wa kulaumiwa why always mama na mwanaume mshenz ni magenzi tu hataa mama awaje kwa mtoto wake
 
Kama kale katoto kaliko pakatwa na Babu wa TikTok mtoto ana mambo makubwa yule hawezi kuwa ana bikra yule Tena zote wahuni wamepita nako katoto katundu kama Nini sema kamemponza kisauji
 
Nadhan s

NAdhan tukubali tukatae siku hizi sio baba wa kambo tu hata baba mzazi anatembea na mtoto wake wa kumzaa all blames to mama,mtoto akipata mimba all blames to mama kila kitu mama ni wa kulaumiwa why always mama na mwanaume mshenz ni magenzi tu hataa mama awaje kwa mtoto wake
Baba mzazi yeyote anayeweza kukaa uchi na mwanaye huyo ana laana, na hakuna ushirikina wenye masharti hayo.
 
Back
Top Bottom