Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Nimesema tena ni ajabu na kitendo cha aibu mno , sitetei ila nasema inaweza kukutokea bahati mbaya katika hali hio!
Aliye leta mada ile hakuwa ana proud kitendo hicho ila alikua anatahadharisha.
Anyway tunaweza kusema kwa ujumla wetu sisi wanaume ni wabaya sana na wafedhuli sana isipo kuwa wachache wema.
Endeeleni kufunda 🙏
Mi sio kungwi,
Mkiambiwa ukweli mnaanza kujifanya watabiri wa maisha ya watu, mtu mnasisimka kwa kupakata watoto ijekuwa mtoto wa kambo!! Tena aliye kwenye umri wa balehe? Kesi za ubakaji, ulawiti na ushoga unafanywa na nani kama sio nyie mafedhuli!

Sipo humu kutafuta followers, wala kuungwa mkono ukikerwa sana na comment zangu ignore ipo ni kubofya tu,
 
Mi sio kungwi,
Mkiambiwa ukweli mnaanza kujifanya watabiri wa maisha ya watu, mtu mnasisimka kwa kupakata watoto ijekuwa mtoto wa kambo!! Tena aliye kwenye umri wa balehe? Kesi za ubakaji, ulawiti na ushoga unafanywa na nani kama sio nyie mafedhuli!

Sipo humu kutafuta followers, wala kuungwa mkono ukikerwa sana na comment zangu ignore ipo ni kubofya tu,
Wala usifikie huko dada yangu, jumapili leo tuna sogeza masaa tu wala sio kwa ubaya 🙏
 
Mwanaume hawezi kuwa na matamanio na mama yake mzazi tu (ingawa kuna visa vichache vya washirikina ambapo mama na mtoto wananjunjana)...

Mwanamke linda mwanao wa kike...
Ujumbe wao ndio huu, waongee na watoto, wawasikilize na mwisho wawalinde......
 
Mi sio kungwi,
Mkiambiwa ukweli mnaanza kujifanya watabiri wa maisha ya watu, mtu mnasisimka kwa kupakata watoto ijekuwa mtoto wa kambo!! Tena aliye kwenye umri wa balehe? Kesi za ubakaji, ulawiti na ushoga unafanywa na nani kama sio nyie mafedhuli!

Sipo humu kutafuta followers, wala kuungwa mkono ukikerwa sana na comment zangu ignore ipo ni kubofya tu,
Duuuh hii hatari,yaani mwanaume udindishe kwa katoto ka miaka miwili au mitatu au mtoto wa kumpakata?
Hii itakua kuna shida sehemu.
 
Duuuh hii hatari,yaani mwanaume udindishe kwa katoto ka miaka miwili au mitatu au mtoto wa kumpakata?
Hii itakua kuna shida sehemu.
Shangaa na wewe eti anatetea ni asili yenu,
uzi uliletwa juzi humu na ID ya mkaka maarufu tu, sina uhakika kama upo au umefutwa
 
Hisia mbaya ni utumwa. Nilisha kaa na single mama ana mtoto wa kike, yule binti alikuwa kama mie ndio baba yake.. na wakati mwingine mtoto anakuja kulala na mie baba wa mchongo ili kupata joto la baba ambalo hakuwai lipata kwa baba yake Og
Shida mkigombana kufikia kuachana kwa ubaya wanakusingizia hata kubaka hawa viumbr tuwe nao makini pia, kuna kesi nyingi za namna hii
 
Pia, kuna wanawake pia kwenye hizi hizi scenario huwa ni wapo kwa kujiegesha uwasaidie kusukuma life la watoto wao ila baadae wanagandisha akili watoto kuwa huyu sio baba yako, wakati kwa maisha ya sasa baba sio kutia na kuzalia bali ni kulea pia.
 
Shangaa na wewe eti anatetea ni asili yenu,
uzi uliletwa juzi humu na ID ya mkaka maarufu tu, sina uhakika kama upo au umefutwa
Hapana bhana,mleta uzi huyo alikua na matatizo yake,siyo kawaida kutamani watoto,kwanza hata kuwaza kutamani,siyo rahisi na wala siyo asili yetu.Hilo suala lisiwe inclusive.
 
Hapana bhana,mleta uzi huyo alikua na matatizo yake,siyo kawaida kutamani watoto,kwanza hata kuwaza kutamani,siyo rahisi na wala siyo asili yetu.Hilo suala lisiwe inclusive.
Huyo niliyekuwa najibishana nae kasema ndo mlivyo mkipata kajoto kwa babu kipara anaamka, ndo nimemkatalia na kumwambia huo ni ufedhuli, akawa mtabiri nimeumizwa na wanaume na sijasamehe bla bla bla bla bla blaaaaaa........
 
Amani iwe kwenu wote.....

Kina mama ambao mna watoto especially wa kike kwa ups and down za maisha mkatengana na baba zao na mnaishi na baba wengine wa kambo, hivi hawa wababa huwa mnawachukuliaje uhusiano wao na mabinti zenu???

Huwa mnawachukulia kama ambavyo baba mzazi anakua? Mnawakabidhi mabinti zenu 100% kwamba ni baba yake? Huwa hamna hofu kwamba hao sio biological father muda wowote watawageuka?? Anyway nna maswali mengi kichwani kwangu.....

Nimepata nafasi kadhaa za kuongea na watoto wa kike as mimi ni mlezi na mzazi kuna scenario zimekua zikijitokeza natamani kuchukua mic nipite nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa niwape Tangazo! Tangazo!

Scenario 1:

Huyu binti anaishi na mama na baba wa kambo na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo baba, ila mama anakua bize kuna siku harudi nyumbani (sikumbuki kazi ya mama) kuna siku mama alikua kazini hakurudi home, wanaishi chumba kimoja (sijui wananjunjana vipi saa ngapi na watoto hao 🤦). Usiku baba kahamia kati ya watoto kaanza kumpapasa huyu binti, japo hakumfanya kitu ila mtoto akashtuka na hakulala tena kesho yake akaja kusema baba kamshika. Mama kumuita kuongea nae akaside na baba ooh mme wangu anasali hawezi mxyuuu ovyoo. Possible alisema kumlindia heshima mme na kuficha aibu.

Scenario 2:
Binti anakaa na mama na baba wa kambo, ila kwa story mama aliwahi kuona uhusiano usio wa kawaida baina yao akaamua kuvunja uhusiano wakatengana. Kuongea na binti kuna vi element kwamba baba alikua anakula. Aliwahi kusema "waliachana kwa mambo yao ila kuna siku baba alikuja pale mtaani akamwambia mtu aniite nikaenda kuchukua hela na kurudi" na pia baba huwa anamvisit shuleni kumpa hela maswali kwanini aje usiku? Kwanini ampe hela? Kama nia njema kwanini hela asilete nyumbani???

Scenario 3:
Hii imenifanya nijiulize mengi. Huyu binti anajielewaaa yani ni mtoto ukiongea nae ni kama unaongea na mkubwa mwezio ndoto zake, mambo yake, vitu ambavyo mama anavifanya na yeye kama mtoto hapendi kwa kifupi anajitambua. Anaishi na mama na baba wa kambo. Ila kuna mambo yamekua yanaclick kichwani jinsi anavyohusiana na baba yake ingawa kwa jinsi alivyo mie sina shaka nae kwenye ujinga. Binti anacomplain mama ake mkali hamsikilizi hana muda nae etc etc sasa huyu baba amekua close nae kiasi kwamba mama asipokuwepo anapiga simu kwa kutumia simu ya baba anaongea kwa rahaaa comfortable kitu ambacho mama akiwepo hawezi. Kikubwa kuliko baba kamwambia afungue bank account kwa siriii awe anamuwekea hela (ina case kafariki) zitamsaidia mmmmh 🤔🤔🤔🤔 ni kulea tu kwa moyo?? Kweli??? Baba ana ukaribu sanaa na binti (nilihofu hata kuhoji zaidi kama kuna neno baba alishatamka) Nsamehewe kama nimewaza tofauti ila mie hainiingii.

Ujumbe wangu, kina mama kuweni karibu na watoto wenu muwasikilize wana mengi ya kuwaambia ila hamuwapi hiyo nafasi. Nao wababa 🤔🤔 au basi..........
Ndio maana tunasema single maza ni laana, haya yote yanaepukika kama wanawake mkiacha tamaa na mapepe na kujitunza mpaka mtakapoolewa rasmi.. usiishie kuwaangalia wanaume tu vile vile jiangalieni na nyie wenyewe.. kabla ya kuzaa hakiikisha uyo mwanaume yupo tayari kubeba majukumu ya malezi, mmetambulishana kwenye familia zenu, mmekubaliana kuishi pamoja na kuzaa mtoto na hata baada ya kuzaa msilete ujinga wa kutaka kumghasi mwanaume na kumfanya mateka wako ukifikiri kwa sababu mmezaa mtoto hawezi kufanya maamuzi magumu.

Singo maza akiniletea shobo kama binti yake analipa me napita na wote wawili. Unakuta singo maza mwenyewe ndio kajala halafu binti paula nisipokula boga na ua lake si nitaonekana boya
 
Ndio maana tunasema single maza ni laana, haya yote yanaepukika kama wanawake mkiacha tamaa na mapepe na kujitunza mpaka mtakapoolewa rasmi.. usiishie kuwaangalia wanaume tu vile vile jiangalieni na nyie wenyewe.. kabla ya kuzaa hakiikisha uyo mwanaume yupo tayari kubeba majukumu ya malezi, mmetambulishana kwenye familia zenu, mmekubaliana kuishi pamoja na kuzaa mtoto na hata baada ya kuzaa msilete ujinga wa kutaka kumghasi mwanaume na kumfanya mateka wako ukifikiri kwa sababu mmezaa mtoto hawezi kufanya maamuzi magumu.

Singo maza akiniletea shobo kama mwanae analipa me napita na wote wawili
Wakimbia familia mpo wengi.....

Afu mkuu si nmekuambia nakupenda mbona haunijibu 😔
 
Back
Top Bottom