Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Kuna mmoja anadindisha akibeba watoto wa kike miaka 3-5
Kama ulimsoma vizuri alisema ukiwa umebeba mtoto wa kike usipo focus kwenye ishu ngumu kifikra unaweza kuwashangaza watu alikua anaongea kiume! Huwezi kumuelewa kama sio mwanaume! Unajua ni jinsi gani tuna jizuiya huko barabarani usiabike ukidindisha!
Mwanaume unaweza kujikuta imesimama katika mazingira yoyote bila ya sababu yoyote sembuse uwe umeegemewa na kuapata kaujoto hivi usipo poteza fikra huchelewi kuaibika ! Hii ni kwa wanaume lakini.
 
Hamna watu wabinafsi kama baadhi ya hao singo maza.

Nshasikia kesi nyingi za mama kukana hana mtoto ilhali mwane kamuacha kwa dada au mama yake huko.

Kiufupi ni kua wengi huwa wanajutia kuzaa na kuona mtoto kama mkosi wa yeye kutoolewa.

Hiyo kutomsikiliza ni vile mama anakua hana ule upendo 100% kwa mtoto wake..
 
Kama ulimsoma vizuri alisema ukiwa umebeba mtoto wa kike usipo focus kwenye ishu ngumu kifikra unaweza kuwashangaza watu alikua anaongea kiume! Huwezi kumuelewa kama sio mwanaume! Unajua ni jinsi gani tuna jizuiya huko barabarani usiabike ukidindisha!
Mwanaume unaweza kujikuta imesimama katika mazingira yoyote bila ya sababu yoyote sembuse uwe umeegemewa na kuapata kaujoto hivi usipo poteza fikra huchelewi kuaibika ! Hii ni kwa wanaume lakini.
Kwa hii ndo asili yenu ya kudisa kwa kajoto ka mtoto wa miaka 3-5 basi wanaume wote ni mafedhuli acha tuendelee kupeana spana
 
Hamna watu wabinafsi kama baadhi ya hao singo maza.

Nshasikia kesi nyingi za mama kukana hana mtoto ilhali mwane kamuacha kwa dada au mama yake huko.

Kiufupi ni kua wengi huwa wanajutia kuzaa na kuona mtoto kama mkosi wa yeye kutoolewa.

Hiyo kutomsikiliza ni vile mama anakua hana ule upendo 100% kwa mtoto wake..
Hii huwa ni mostly case, mabinti wanacomplain mama zao hawawasikilizi, wanawatreat harshy, wanaongea na kuwa na madanga mbele yao kitu ambacho wao hawapendi...... Kuna watu including dads may take advantage, wamama tujitafakari
 
Basi endelea kuchimbua utazipata post nilizosifia,

mna matukio mengi ya kutisha wema ni wachache, tukianza na matukio ya ubakaji na ulawiti, Je hamna wanaume wanaobaka binti zao wa kuwazaa? Au wa kaka zao na dada zao? Itakuwa Huyasikiagi, haya humu je hamna wanaojisifiaga kula mama na mtoto?? Kuna mmoja anadindisha akibeba watoto wa kike miaka 3-5, list ni ndefu mafedhuli wapo wengi sana tena humu ni kwa asilimia kubwa sana
Kama huna mahusiano na yeyote kati ya mama na mtoto, basi sio tatizo.
 
Hii huwa ni mostly case, mabinti wanacomplain mama zao hawawasikilizi, wanawatreat harshy, wanaongea na kuwa na madanga mbele yao kitu ambacho wao hawapendi...... Kuna watu including dads may take advantage, wamama tujitafakari
Changamoto kubwa ni ubinafsi wa hao kina mama, kujali hisia zao zao zaidi ya zile za watoto wao.

Ukiwaona wanawapost mitandaoni utadhani wanawapenda sana ila deep down wakiambiwa wachague ndoa na watoto wao, bila kupepesa macho watachagua ndoa.

Huku mitaani watoto wengi wa hao singo maza wako bitter sana, sababu humo kwa kichwa zimejaa hasira muda wote.
 
Kwa hii ndo asili yenu ya kudisa kwa kajoto ka mtoto wa miaka 3-5 basi wanaume wote ni mafedhuli acha tuendelee kupeana spana
Nimesema hivi mwanaume anaweza kudinda sehemu yoyote, muda wowote na pasipo sababu, ni maumbile tu wala sio matakwa yetu.
Sasa ikutokee hivyo bahati mbaya , kwenye hadhara ya watu mfano kwenye daladala, na ukiwa umebeba mtoto kwa namna hio!
Umewahi kufikiria dhahama atakayo kutana nayo huyo mtu.

Spana zako zipo kama kunakitu wamekunyia unashindwa kuwa samehe.
 
Na wewe watafutie mabinti zako baba wa kambo ushuhudie.... Raha ya Ngoma kuingia kucheza Mwenyewe.
 
Nimesema hivi mwanaume anaweza kudinda sehemu yoyote, muda wowote na pasipo sababu, ni maumbile tu wala sio matakwa yetu.
Sasa ikutokee hivyo bahati mbaya , kwenye hadhara ya watu mfano kwenye daladala, na ukiwa umebeba mtoto kwa namna hio!
Umewahi kufikiria dhahama atakayo kutana nayo huyo mtu.

Spana zako zipo kama kunakitu wamekunyia unashindwa kuwa samehe.
Usijifanye mtabiri wa maisha yangu binafsi! Wanaume wasio mafedhuli walimshangaa sana kama wewe huoni ajabu basi ndo walewale mmojawapo wa mafedhuli
 
kama wewe huoni ajabu basi ndo walewale mmojawapo wa mafedhuli
Nimesema tena ni ajabu na kitendo cha aibu mno , sitetei ila nasema inaweza kukutokea bahati mbaya katika hali hio!
Aliye leta mada ile hakuwa ana proud kitendo hicho ila alikua anatahadharisha.
Anyway tunaweza kusema kwa ujumla wetu sisi wanaume ni wabaya sana na wafedhuli sana isipo kuwa wachache wema.
Endeeleni kufunda 🙏
 
Back
Top Bottom