Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Uko low sana kwenye huu mzozo,kwa taarifa yako Russia anapigana na ulaya nzima+Amerika ni zaidi ya nchi 40,

Ukraine ni uwanja wa mapambano tu, nothing else
Vip Russia. Iran Syria North Korea au hujui nae kuna nchi nyingi tu nyuma yake
 
Nyuma ya Ukraine kuna mataifa 30 dhidi ya Mrussia wakiongozwa na Marekani. Na kila baada ya muda tunaona wakitoa vifurushi vya misaada ya kijeshi kwa Ukraine
Wiki ilopita urusi walipiga underground tunnel moja kulikuwa na top officials wa NATO huko chini wote waligeuzwa ndafu, sasa jiulize walienda kufanya nini ukraine
 
Tunazunghmzia DIRECT yaani itokee Marekani kaingia na jeshi lake ardhi ya Urusi au China
 
Kama ni vita vingepiganwa miaka ya Cold War lakini haikutokea kilichoiangusha Soviet Union ni kuporomoka kwa uchumi na mbinu za kijasusi za NATO.

Marekani na Urusi haitatokea zikapigana direct hata siku moja hizo ni story tu za vijiweni
Hazitapigana sababu Russia hawezi vamia Marekani ila Marekani ana uwezo huo
 
Unafuatilia mambo mkuu? Yaani Urusi apige makombora kwenye mitambo anayoishikilia na kuisimamia mwenyewe?!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Umevuta majani gani? We mtu anazidi kuongeza maeneo anayomiliki kwenye nchi yako halafu unamuona how come tuu?!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Nyie mnafuatilia habari wapi? Haujasikia hata jana katibu wa baraza la usalama la Ukraine Oleksiy Danilov analalamika wanapata presha kubwa sana kutoka viongozi mbalimbali wa Ulaya na dunia ya kuanzisha mazungumzo ya amani na Urusi tena "on Russian terms"?!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hata hivi karibuni raisi wa Ufaransa Macron alizungumzia jambo hilohilo
 
It's has been more than a year! Hamna kitu pale, wamefikia mahali wananunua silaha toka Iran na South Africa.
 
Mwanaume yuko Kaskazini anapambana na Mataifa 30 tena yenye nguvu na vikwazo juu. Mpeni respect Russia asee.

Hivi US angevaa uhusika wa Russia angetoboa hata mwezi tu??
 
Hii vita itamalizwa kwa Russia kufanya mashambulizi makali na ambayo hayajawahi kutokea.

Mashambulizi hayo ya Russia yatasababisha vifo vya askari wengi wa pande zote lakini ni Ukraine ndo wataopotea zaidi.

Vita hii yaonekana itakuwa imeisha mwanzoni mwa Julai au mwanzoni mwa mwezi August 2023.

Itabidi itumike "Wild Card" kwa Poland ambayo itategemea watachukulia vipi ushindi wa Russia, hivyo Poland itaamua kuitangaza Ukraine (Upande wa Magharibi ikiwemo Kyiv) kuwa sehemu yake.

Mimi kwa mawazo yangu ni kwamba kama Ukraine ingekuwa ni nchi kamili bila kutokea USSR na haina support yoyote ya NATO na hila za US ningekuwa niko pamoja nae.

Lakini kwa kuwa ameamua kutumika kwa ajili ya kuidhoofisha Russia na kutishia usalama wa Russia, hapo siiungi mkono Ukraine.

Uharibifu, vifo vya vijana wengi, wake kwa waume na watoto vyote vimebaki akutofaidisha upande wowote.

Hivyo suala ni Russia na Ukraine kuketi na kuchora ramani mpya na kila nchi ikae na ilivyo sasa.

Russia haiwezi kuiachia Crimea ambayo ni US ndo wanoitaka ili wajenge kituo cha kijeshi hapo kwenye Bahari Nyeusi, na Russia haiko tayari kuona hiyo ikitokea.

Pia Russia haiwezi kuachia kituo cha nyuklia cha Zaporizhzhia ambacho kama Ukraine yabaki nacho itakuwa ni tishio kwa usalama wa Russia.
 
Mkuu kwa jinsi wamagharibi walivo na .n..y..e..g.. mshindo, kama mrusi ni dhaifu basi kwa sasa mda mrefu wangeshakiwasha na kuondoka,ila mzee hii ngoma nzito mana juzi wenyewe wamekili kuzidi kuitenga urusi ni kujiumiza wenyewe,
Ukweli ndio huo

Dhaifu wote walivamiwa wakapigwa.

Kwanini dhaifu huyu anaogopwa kuvamiwa.

Mimi natamani sana hii vita iishe iwe kupigwa Russia au kupigwa Ukraine

Au kupatanishwa muhimu tu nataka iishe.
 
Uzi umejaa hisia tu.mleta Uzi una mapenzi ya upande wa west ila umejificha kichaka Cha karanga....
 
Kumbuka hiyo ni SMO na sio war!Putin anasema hajaanza anything serious hapo Ukraine!
Hizo nyingine ulizoleta hapa ni ngonjera tu!
Hao hao analyst wa west walituzuga kuwa Urusi hana uwezo wa kuendesha SMO miezi 3,hao hao walisema Russia kaishiwa silaha miezi ya mwanzo ya SMO!Imekuja kubainika ni tofauti,so hizo porojo ni propaganda tu kuidiscourage Russia!
 
Wanaimalizaje indirectly wakati uchumi wao ndio uko hoi bin taaban?Libya alikuwa member wa NATO?Mbona waliingia mazima?
Yaani west wako tayari kuona maelfu ya watu wa Ukraine wakifa kila siku Ili kummaliza Russia indirectly?Kwanini wasiimalize vita mapema kunusuru vifo vingi vinavyotokea kila siku?
Russia sio Zimbabwe,US na NATO wanalijua Hilo ila wewe pro NATO wa Tandahimba unajua tofauti!
 
Hahahaaaaaa,Nyie jamaa mnajikuna na kucheka wenyewe!
 
Kitendo Cha kushindwa kuipiga Ukraine ndani ya masaa24 walioahidi wenyewe wenye akili tushajua nguvu Yao ipoje
Walikuahidi wapi?Unaweza kuweka source ya habari Yako?Wenzako tumeshawaomba Toka mwaka Jana watupe source lakini wameshindwa na imebaki ni porojo tu za hapa na pale!Hizi propaganda mfu hazibadili chochote uwanja wa mapambano!
 
Ni mpuuzi pekee atafikiri wababe hawa wakae sehemu moja kisha utoke salama. US, UK, German, France, Italy. Hasa hasa US na UK. Huko kuna watu bright kweli kweli hasa ktk Inteligence. Hapo weka mbali washirika wao wa mbali kama Israel, Japan n.k hizo Race za Asia nazo ni vichwa kweli kweli.

Tukumbuke pia US mpaka Warusi wapo, Wachina n.k. Watu wanachukulia simple uwezo wa US ktk nyanja nzima ya Tec na Vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…