Huu upuuzi kawasimulie wajinga wenzio kwa mpalangeBaada ya Ruto kupinga ushoga kwa kujifichia kwenye kivuli cha mahakamani huku akiwa tayari ashalamba pesa za mashoga, naona wamemuinulia Odinga, kwa kumuonyesha saver ya mchakato mzima wa wizi wa kura, mashoga wapo nyuma ya Odinga kuhakikisha Ruto anatokha madarakani Ili Odinga achukue waruhushu ushoga Kenya. Odinga kula pesa zao ukishapata tu kiti jifichie kwenye mahakama kuukataa ushoga utaleta laana Kenya.
kwani mi kuna sehemu nimeandika kabila la Wajaruo ?Hakuna kabila duniani linaloitwa wajaruo.
Da'Mange alipoitisha maadamano akina Erythrocyte walijificha uvunguni😂Makamanda wa Ufipa St ni Waoga hawawezi kuandamana!
[emoji38][emoji38] Simba wiki nzimaSimba 7
Kwamba wapinzani wote wameshindwa kuwekeza kwenye media ambazo ni pro - upinzani ?; By the way things are going right now wala Mike haziitaji kuzimwa; penye udhia rupia imepenyezwa ni mwendo wa kusifia mwanzo mwisho....Ila wenzetu Kenya wapo mbali sana. Naangalia K24 mahojiano watu wanafunguka bila woga. Hii hapa Tanzania hata hii ya Samia huwezi kufunguka namna hiyo kwanza media zenyewe zitakuzimia mic
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mbona wewe uko kuchat jf na usiende kukiwasha? 🤣🤣Wewe Kama muoga kaa ndani, waache wenye udhubutu wafanye maandamano. Mambo yanatokea Kenya ila unawashwa wewe.
Kutwa mnawaza ushoga, mada haihusiani na ushoga wewe unaletaBaada ya Ruto kupinga ushoga kwa kujifichia kwenye kivuli cha mahakamani huku akiwa tayari ashalamba pesa za mashoga, naona wamemuinulia Odinga, kwa kumuonyesha saver ya mchakato mzima wa wizi wa kura, mashoga wapo nyuma ya Odinga kuhakikisha Ruto anatoka madarakani Ili Odinga achukue waruhushu ushoga Kenya. Odinga kula pesa zao ukishapata tu kiti jifichie kwenye mahakama kuukataa ushoga utaleta laana Kenya.
Umedandia gariKutwa mnawaza ushoga, mada haihusiani na ushoga wewe unaleta
Kwani katiba mpya inasemajeeee!Chadema tunaomba majibu inakuaje Rais wa kidemokrasia aliyesema hatatumia Polisi kukandamiza Wapinzani wake Sasa anawashikisha adabu akina Raila...
Bado wa Tz
Chadema wanacho sahau ni kitu kimoja tu, kwamba kuwa na katiba nzuri nijambo moja, lakini utamaduni wa kuheshimu katiba na sheria kwa ujumla (ambalo ni jambo la msingi sana kuliko kuwa na katiba au sheria nzuri) ni jambo lingine.Chadema tunaomba majibu inakuaje Rais wa kidemokrasia aliyesema hatatumia Polisi kukandamiza Wapinzani wake Sasa anawashikisha adabu akina Raila...
Na wasisahua qanaotakiwa kutekeleza matakwa ya Katiba ni watu na wanaweza wasitekeleze vile vile.Chadema wanacho sahau ni kitu kimoja tu, kwamba kuwa na katiba nzuri nijambo moja, lakini utamaduni wa kuheshimu katiba na sheria kwa ujumla (ambalo ni jambo la msingi sana kuliko kuwa na katiba au sheria nzuri) ni jambo lingine.