Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Mpango kama upi? Bot ikiamua kushusha riba kwenye Bank za biashara ( intrest on Bank rate ) kwahali yasasa tuta pata inflation au mfumko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilling ya Tz dhidi ya dollar, tusubiri natural growth of the economy, angalau miaka miwili, ndoturapata hali ya uchumi wa kweli......kwa sasa uzalishaji uko chini sanaa pesa ikiwa nyingi in circulation lazm bei intapanda tu, naona policy ya serikali iko sawa
asante ndugu mchumi. Sasa rais aliahid kupandisha viwango vya mishahara , je kwa mtizamo mfumko wa bei utakuaje ? Na nn mapendekezo yako kuhusu nyongeza hiyo. Kwamba aongeze au isubiliwe miaka mingine hadi tuikamate the so called natural growth of economy ?
 
Hizi ni fitna tu waku dhibitisha hamna, propaganda kwenye uchumi haisaidie, mtu katoa hela kwenye mzunguko kwa kuvamia bureau de change, account za watu, kununua na kujenga viwanja vya ndege visio kua na quick economic returns, gapo ndo mtegemea Mama ndani ya miezi 9 arudishe pesa kwenye mzunguko haraka, lzm ichukue mda angalau miaka miwili kuruhusu natural economic growth.....lasivyo hali itakua mbaya zaidi.
Hatukuona Bakhresa akifunga biashara hata alipoambia alikwepa kodi na kudaiwa bil 10, alilipa na akaendelea na biashara, Mengi hakufunga biashara, MO aliendelea, Manji na GSM chini ya mwamvuli wao ule wakakimbia, TIN zilipounganisha biashara zote zimilikiwazo na mtu mmoja kwa majina tofauti ili kukwepa kodi, wakafunga zile zisizo halisi.

Mtumishi mwenye mshahara wa tzs 800,000 anakatwa kodi kubwa kuliko mfanyabiashara anayeingiza faida ya tzs 800,000 kwa wiki 1 kwakuwa mfanyabiashara ana mianya ya kukwepa kodi. Uliwahi sikia mtumishi akaacha kazi kwakuwa kodi ni kubwa?

Kama $2.29bn alizokopa zimeingia mtaani kweli kujenga madarasa, vituo vya afya na ZNZ, tozo za kila mwezi zilizotangazwa mara moja zinaingia kwenye madarasa pia, unahitaji miaka 3 ya nini kuona impact yake?

Au ndo kupunguza paye ambapo ni kama ongezeko la kati ya tzs 8,000 mpaka 50,000 kwa mshahara na kisha kuanzisha tozo za zaidi ya 100,000?

Na huo utaalamu wenu, tofauti yetu sisi na wake weupe ni nini basi kama tuna prof wa uchumi, wana prof wa uchumi, wao wanasogea, sisi tunabaki kumlaumu JPM? Kabla yake, uchumi ulikuaje? Mlifanya nini?
 
asante ndugu mchumi. Sasa rais aliahid kupandisha viwango vya mishahara , je kwa mtizamo mfumko wa bei utakuaje ? Na nn mapendekezo yako kuhusu nyongeza hiyo. Kwamba aongeze au isubiliwe miaka mingine hadi tuikamate the so called natural growth of economy ?
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi ni useless kama inflation au mfumko wa bei haujadhibitiwa, value ya Tz shilling intaendelea kushuka dhidi ya $.....ndomaana unaona Raisi hajagusia kuongeza mishahara paka pale economy itakavo recover to normality kwa kupata real economic growth sio economic development ya mwendazake, alitupumbaza sana alilazimasha economic development wakati disposable income ya Wtz iko chini, ndo madhara hayo tunao pata sasa hivi wasio jua uchumi wanamlaumi Raisi wa miezi tisa kwenye utawala, wakati hili bomu alilitegenezwa na jpm.
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Jinga sana, akili yako matope tu! Mimi ningekuwa Rais wa nchi hii watu wa aina yako mngekuwa chakula cha mamba na si vinginevyo...
 
Hatukuona Bakhresa akifunga biashara hata alipoambia alikwepa kodi na kudaiwa bil 10, alilipa na akaendelea na biashara, Mengi hakufunga biashara, MO aliendelea, Manji na GSM chini ya mwamvuli wao ule wakakimbia, TIN zilipounganisha biashara zote zimilikiwazo na mtu mmoja kwa majina tofauti ili kukwepa kodi, wakafunga zile zisizo halisi.

Mtumishi mwenye mshahara wa tzs 800,000 anakatwa kodi kubwa kuliko mfanyabiashara anayeingiza faida ya tzs 800,000 kwa wiki 1 kwakuwa mfanyabiashara ana mianya ya kukwepa kodi. Uliwahi sikia mtumishi akaacha kazi kwakuwa kodi ni kubwa?

Kama $2.29bn alizokopa zimeingia mtaani kweli kujenga madarasa, vituo vya afya na ZNZ, tozo za kila mwezi zilizotangazwa mara moja zinaingia kwenye madarasa pia, unahitaji miaka 3 ya nini kuona impact yake?

Au ndo kupunguza paye ambapo ni kama ongezeko la kati ya tzs 8,000 mpaka 50,000 kwa mshahara na kisha kuanzisha tozo za zaidi ya 100,000?

Na huo utaalamu wenu, tofauti yetu sisi na wake weupe ni nini basi kama tuna prof wa uchumi, wana prof wa uchumi, wao wanasogea, sisi tunabaki kumlaumu JPM? Kabla yake, uchumi ulikuaje? Mlifanya nini?
Wafanya biashara wa kubwa kama bhakresa au GSM, sio lahisi kufrisika, ni gharama kubwa kwa wao kufunga kuliko ku operate kwa minimum loss,.......tena serikali inakusanya direct na indirect taxes nyingi kwao watu kuliko mtumishi anae lipwa 800,000 paye yake ni 14% baada ya kukata basic ya 300k.......ila huyu GSM analipa excise duty property tax income tax Paye tena bidhaa zake zinalipishwa Vat wafanya kazi wake wote wanakatwa Paye gari zake zinalipiwa ushuru na kodi za mafuta. Muekezaji moja kama Bakhresa ni zaidi ya watanzania 1m wakawaida, tungekua na Bakhresa kama 100, nchi yetu ingekua katika kiwango kingine, sasa mwendazake alikua anapambana nao ili wafirisike uko anakopa kimya kimya ndo maana tuko kwenye hi economic stack.
 
Nani azalishe katika modern capitalist economy, serikali kazi yake ni kutunga sera na kukusanya kodi sio kufanya biashara, ni private sector na tasisi mbalimbali kufanya hiyo kazi ya uzalishaji, kama mwendazake alitimua matajiri na Kuwaiti shetani unafikiri nani angekurupuka kuwekeza mtaji wake?........uchumi wetu bado uko kwenye hungerover ya mwenda zake imani ndoimeanza kurudi taratibu bei itashuka automatically uzalishaji ukiongezeka ili tupate equilibrium price.
Hivi tajiri gani aliyetimuliwa aliesababisha kilo ya nyama kufikia 12 elfu?

Naona sasa hata waume zenu wakishindwa kusimamisha wawapnd mtamsingizia mwenda zake.
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Kama wafanyabiashara wanajiamulia bei za vitu bas ina maana Tz hatuna wizara ya fedha wala vyombo vya fedha kama vile T.R.A na benk kuu...ndugu mwandish je huoni kama huu ulio andika ni upotoshaji
 
Wafanya biashara wa kubwa kama bharesa au GSM, sio lahisi kurisika, ni gharama kubwa kwa wao kufunga kuliko ku operate kwa minimum loss,.......tena serikali inakusanya direct na indirect tax nyingi kwao watu kuliko mtumishi anae lipya 800,000 paye yake ni 14% baada ya kukata basic ya 300k.......ila huyu GSM analopa excise duty property tax income tax Paye tena bidha zake zinalipishwa Vat wafanta kazi wake wote wanakatwa Paye gari zake zinalipiwa ushuru na kodi za mafuta. Muekezaji moja kama Bakhresa ni zaidi ya watanzania 1m wakawaida, tungekua na Bakhresa kama 100, nchi yetu ingekua katika kiwango kingine, sasa mwendazake alikua anapambana nao ili wafirisike uko anakopa kimya kimya ndo maana tuko kwenye hi economic stack.
Hivyo vyote ni sehemu ya gharama ya biashara na usiniambia kwamba hujui gharama zote hizo zinaingizwa kwenye bei ya end product kwa mteja! Si yeye anayeingia mfukoni kulipia hivyo, mlaji wa mwisho ndio analipa! Na zaidi yeye anayo Tax return, vipi kuhusu end user?

Anapambana nao ili wafirisike? Kama una billions of tzs kwenye account, ukashindwa kuzitolea maelezo jinsi ulivyozipata, kisha ukapewa hesabu za jinsi unavyodhaniwa kuingiza kipato chako kulingana na records zako ulizoandikisha na mtiririko wako wa ulipaji kodi, na kuambia, hizi usizojua umezipataje SIO zako, tunazichukua au tunaenda mbele ya sheria, ukachagua zichukuliwe ili ubakiwe na UHURU wako, utamlaumu mtu kuwa KAKUFIRISI?

MANJI alirudi kipindi hiki cha Miss Utalii, mbona kaondoka tena?

Mnadai kwa sasa kuna utawala unaofuata sheria, na wale wote wafanyabiashara wameachiwa kwakuwa wameonewa, kisheria huyu mtu anaruhusiwa kufungua kesi dhidi ya serikali kudai kusafishwa na kulipwa alichopoteza na fidia juu, sijui ni wangapi wamefungua kesi hizo ili angalau tu kusema kweli kulikua na uonevu?

Tuko busy kurudisha Chunya, ardhi zilizorudishwa serikalini n.k kujaza wazenji bara na kupukutisha bara kwa zenji, wewe umekomaa na uchumi uliosoma vitabuni ambao hauna impact pengine hata kwa mazingira yaliyokuzunguka.
 
Numbers never lie.

Kwa miaka 6 watanzania waliishi kwa uongo na hofu, takwimu nyingi hazikuwa za kweli sababu tu ni kumfurahisha boss.

The moment of egg on face was inevitable .
Kwamba nondo ilikuwa inauzw elfu 28 tukawa tunafichwa?

Kwamba bidhaa zilipanda sana bei tukawa tunafichwa?

Hivi mnafikiri kila mtu ni mjinga na haoni kinachoemdelea?
 
Namfumko wa bei ya vitu na vyakula ulikuwepo kwamba hivihivi wananchi walinunua kwa kudanganywa na takwimu na umeme ulikatika hivihivi? Utetezi mwingine mhhhh
Haya mataahira yanafikirisha sana mkuu
 
Kwani sukari ilipanda kipindi gani na watu wakaambiwaje?

Si waliishia kuwaambia tuko vizuri tuna sukari ya kutosha?

Mafuta ya kupikia yalipanda enzi za nani na why serikali ilikanusha hakuna uhaba uliochangia bei kupanda?
Hiyo ilikuwa ni sukari, vipi sasa hivi mbona kila kitu bei juu
 
Katika planning kuna short medium and long period planning, mama iko kwenye 10yr short period planning ya mwendazake, hawezi ku influence bajeti paka miaka 3 ya jpm iishe, ndo tuone short period planing zake, katika uchumi kwasasa Mama mnamuonea bure.
Kwanini sasa uchumi wa jk haukusavaivu kipindi cha magu?
 
Mama akilala akiamka anawaza 2025..basi. Huyu anatakiwa asipate kura hata moja
 
Mama akilala akiamka anawaza 2025..basi. Huyu anatakiwa asipate kura hata moja
Kufika 2025 mama atakua amesha nyoosha uchumi wetu, mbona tu tamchagua kwa kupenda wenyewe, japo kura zetu sio determinant wa nani awe Raisi wa nchi hi.
 
Kufika 2025 mama atakua amesha nyoosha uchumi wetu, mbona tu tamchagua kwa kupenda wenyewe, japo kura zetu sio determinant wa nani awe Raisi wa nchi hi.
Usalama wampe kwa nguvu lakin sio sisi
 
Mtu achukie matajiri waache kufanya biashara, atengeneze supply shortage halafu price ziwe stable.

Aje kiongozi mwingine apende matajiri production iongozeke halafu kuwe na price inflation.

Increase in supply reduces prices not vice versa. Hiyo nadharia yako sijui umeikotea wapi.

Maza anaharibu uchumi besides kipindi cha Magufuli nchi aijawahi kuwa na bidhaa adimu hadi kuathiri bei za soko.

Na ujambazi unaokithiri mtasema Magufuli aliwabana sana wahalifu wacha wapumue kidogo, wakichoka kupora watapunguza kuibia watu.Hiyo dhana muipeleke pia kwa kasi ya mateja inayorudi wauza nganda pia wakitosheka wataacha, Magufuli aliwabana sana.
Mateja mbona walikuwepo, kuli kua na ombwe kubwa sana la taarifa kwa wananchi ndio maana vitu vingi cya hovyo mlikua hamsikii, sasa kwa kua mna pata taarifa sasa ndio maana mna ona kama ni taharuki
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Unataka kusema Tanzania hakuna wizara ya fedha wala benk kuu? yaani wafanyabiashara wanajipangia wenyewe bei.Embu fafanua vizuri term “kujiamulia”
 
Back
Top Bottom