Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Kinachoendelea Tanzania kuhusu mfumuko wa bei ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya wananchi na usalama wa nchi

Katika planning kuna short medium and long period planning, mama iko kwenye 10yr short period planning ya mwendazake, hawezi ku influence bajeti paka miaka 3 ya jpm iishe, ndo tuone short period planing zake, katika uchumi kwasasa Mama mnamuonea bure.

Swali dogo unaandika kitabu hahahaha
 
Soma kitu kinaitwa price controls, just for simplicity is that: price controls are government mandated minimum or maximum for goods and services.
Kwenye uchumi wa soko huria hakupaswi kuwa na price controls.
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Viazi ndio kubwa tulikuwa tunanunua 10,000-12,000 last two weeks pale mabibo sokoni (Mahakama ya ndizi) Leo ni 17-18,000 bila chenga.

Hangaya anazurura kuvaa ngozi ya chui na kujisifia chuo jike .
 
Kwenye uchumi wa soko huria hakupaswi kuwa na price controls.
Duniani kote kuna price controls mkuu otherwise hizo authorities zifutwe zinafanya fair kwanani sasa? Fair ni kwajili ya stake holders wote involved yani watoa huduma na walaji.
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Mtu achukie matajiri waache kufanya biashara, atengeneze supply shortage halafu price ziwe stable.

Aje kiongozi mwingine apende matajiri production iongozeke halafu kuwe na price inflation.

Increase in supply reduces prices not vice versa. Hiyo nadharia yako sijui umeikotea wapi.

Maza anaharibu uchumi besides kipindi cha Magufuli nchi aijawahi kuwa na bidhaa adimu hadi kuathiri bei za soko.

Na ujambazi unaokithiri mtasema Magufuli aliwabana sana wahalifu wacha wapumue kidogo, wakichoka kupora watapunguza kuibia watu.Hiyo dhana muipeleke pia kwa kasi ya mateja inayorudi wauza nganda pia wakitosheka wataacha, Magufuli aliwabana sana.
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Unataka kusema Gharama ya kutuma na kutoa pesa ilivyopanda, imepanda kwasababu ya Demand and supply na sio serikali kuweka tozo?
 
Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu

Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi

Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.

Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.

Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.

Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?

Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.

Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi

Naomba kuwasilisha
Huna chochote cha kufanya..wananch kama misukule tu..tunafanywa chochote tuu..simple as that...umeme umekatika toka week ianze...unakata unarud...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani kote kuna price controls mkuu otherwise hizo authorities zifutwe zinafanya fair kwanani sasa? Fair ni kwajili ya stake holders involved yani watoa huduma na walaji.
Sio kweli kwamba duniani kote kuna price controls. Regulatory authorities zinahakikisha fair competition kati ya wafanyabiashara, fair competition ni eneo pana sana lakini mfano mmojawapo ni wafanyabiashara wote wanaotakiwa kuwa na mashine za kulipa kodi wanakuwa nazo mfano mwingine ni kwa TCRA kwenye radio, TV kama uliomba leseni ya kurusha maudhui ya muziki tu TCRA lazima wahakikishe unazingatie hilo na sio kurukia kurusha habari za mpira, siasa au nyingine zilizo nje ya leseni yako.

Pia ni ukweli baadhi ya regulatory authorities kama UWEURA zinapaswa kufutwa na nyingi zinapaswa kuunganishwa
 
Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Na huu umeme je unaokata kila dk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hamna kitu kama hicho uchumi wa watu milioni 60 na GDP ya $50bn hauwezi kuvurugwa na watu wawili tu ambao hawana hata $1bn........hizo chuki binfsi mwendazake aliendesha uchumi wetu kianyeji sana informally,.......sasa uchumi ndo unaanza kurudi kwenye trend halisi, baada ya miaka mitatu utaona hali halisi ya uchumi wetu.
Hapana mkuu, kama ungejikita kwenye kwenye kuchambua uhalisia kisha ukatuwekea hizo facts za elimu, sisi tungenufaika na kuelewa ILA kwakuwa umeamua ku-side, point zako zinakuwa na uwalakini.

Mfano dogo, mama kafungua nchi kishamba kabisa, Shinyanga, Kahama na maeneo yafananayo huko, kwasasa wamejaa Kenyans, Rwandans, Comorians etc wananunua mchele kwa kutumia TZS moja kwa moja kwa mkulima kwa kiwango kikubwa, wafanyabiashara wazawa walikuwa wananunua kwa tzs 1,100 kwa kilo, wageni wananunua tzs 1,800 kwa kilo, mkulima atachagua kumuuzia nani? Vipi sasa wananchi wa Dsm wanaosubiria, waliozoea kununua kilo kwa hiyo 1,800? Nchi inapataje faida au fedha za kigeni hapa na especially dollars? KES ni stronger, tunafahamu kama hiyo tzs 1,800 inaweza kununua kilo ya mchele Kenya? Kenya hawawezi ku-package mchele wetu na kuurudisha kwa bei kubwa zaidi?

Mtu mmoja asiye hata na $1bn, unamzungumzia nani labda na kwa uhakika gani? Shimbo alisemekana kumiliki Tzs 3trillion alizozificha SA, Nelson Mandela akitoa siri hiyo, ni wakati wa Liase affairs.

Leo mtu mmoja kwa maslahi ya tumbo lake, anaweza kupandisha bei ya mafuta, mfumuko wa bei hautatokea/haujatokea tayari?

Mtu mmoja aliua usafiri wa rei ili malori yake yafanye kazi, kwa bei yake, bei zitabakia pale pale mtaani? Ni mtu mmoja tu, hahitaji mabilioni, mamlaka tu ya kipumbavu na anaweza kutikisa kila kitu, so kama hizo formula zinasema haiwezekano, nadhani si kwa TZ.
 
Mpango kama upi? Bot ikiamua kushusha riba kwenye Bank za biashara ( intrest on Bank rate ) kwahali yasasa tuta pata inflation au mfumko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilling ya Tz dhidi ya dollar, tusubiri natural growth of the economy, angalau miaka miwili, ndoturapata hali ya uchumi wa kweli......kwa sasa uzalishaji uko chini sanaa pesa ikiwa nyingi in circulation lazm bei intapanda tu, naona policy ya serikali iko sawa
Hii ni sawa kuwaambia watu wasubiri ripoti siku 7 wakati livehood yao imeteketea na moto. Hamna mtu wa kusubiri miaka 2 au 3 ili mambo yakae sawa huo ujinga wanafanya wapumbavu kama nyie. Soon hii nchi itaanza ujambazi wa kutisha, mark my words na uchumi wako wa kiuchwara.
 
Hawawezi kusaidia kitu
Kwenye cement yupo jamaa yule mzee wa msoga ambaye kiwanda chake kilifungiwa kwasababu ya kukwepa kodi.

Kwenye magodoro yupo,
Kwenye mafuta ndo hakamatiki huko,
Kwenye vifaa vya ujenzi pia amewekeza
we unadhani ataongea nn au wataongea nn.

Tutaelewana kidogo kidogo.
 
Kwa miaka 6 watanzania waliishi kwa uongo na hofu, takwimu nyingi hazikuwa za kweli sababu tu ni kumfurahisha boss.
Kama hofu na uongo uliweza ku-prevail kwa miaka 6 na kusababisha mimi wa huku chini kutoshuhudia ukatikaji wa umeme wa kipumbavu namna hii katika kipindi kifupi cha miezi 9 tu, ukinipa nafasi, NITACHAGUA UONGO NA HOFU ili niendelee kupata umeme wa uhakika na uungiwaji wa bei rafiki.
 
Hapana mkuu, kama ungejikita kwenye kwenye kuchambua uhalisia kisha ukatuwekea hizo facts za elimu, sisi tungenufaika na kuelewa ILA kwakuwa umeamua ku-side, point zako zinakuwa na uwalakini.

Mfano dogo, mama kafungua nchi kishamba kabisa, Shinyanga, Kahama na maeneo yafananayo huko, kwasasa wamejaa Kenyans, Rwandans, Comorians etc wananunua mchele kwa kutumia TZS moja kwa moja kwa mkulima kwa kiwango kikubwa, wafanyabiashara wazawa walikuwa wananunua kwa tzs 1,100 kwa kilo, wageni wananunua tzs 1,800 kwa kilo, mkulima atachagua kumuuzia nani? Vipi sasa wananchi wa Dsm wanaosubiria, waliozoea kununua kilo kwa hiyo 1,800? Nchi inapataje faida au fedha za kigeni hapa na especially dollars? KES ni stronger, tunafahamu kama hiyo tzs 1,800 inaweza kununua kilo ya mchele Kenya? Kenya hawawezi ku-package mchele wetu na kuurudisha kwa bei kubwa zaidi?

Mtu mmoja asiye hata na $1bn, unamzungumzia nani labda na kwa uhakika gani? Shimbo alisemekana kumiliki Tzs 3trillion alizozificha SA, Nelson Mandela akitoa siri hiyo, ni wakati wa Liase affairs.

Leo mtu mmoja kwa maslahi ya tumbo lake, anaweza kupandisha bei ya mafuta, mfumuko wa bei hautatokea/haujatokea tayari?

Mtu mmoja aliua usafiri wa rei ili malori yake yafanye kazi, kwa bei yake, bei zitabakia pale pale mtaani? Ni mtu mmoja tu, hahitaji mabilioni, mamlaka tu ya kipumbavu na anaweza kutikisa kila kitu, so kama hizo formula zinasema haiwezekano, nadhani si kwa TZ.
Hizi ni fitna tu waku dhibitisha hamna, propaganda kwenye uchumi haisaidie, mtu katoa hela kwenye mzunguko kwa kuvamia bureau de change, account za watu, kununua na kujenga viwanja vya ndege visio kua na quick economic returns, gapo ndo mtegemea Mama ndani ya miezi 9 arudishe pesa kwenye mzunguko haraka, lzm ichukue mda angalau miaka miwili kuruhusu natural economic growth.....lasivyo hali itakua mbaya zaidi.
 
Back
Top Bottom