Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Bado la KOBE......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni mdini snMfumuko wa bei ni kwa sababu Mama amefungua nchi-Zitto Kabwe!
Nzuri lipi mkuu? Mwendazake kaua sekita nyingi kwa kutaka sifa na umarufu wa kisiasa, hata vile vizuri alishindwa kuvifanyia business plan, kama ATC hamna anae isema ila inaingiza hasara kila siku.........mazuri yake ni ya kutafuta tu.
Mkuu hamna kitu kama hicho uchumi wa watu milioni 60 na GDP ya $50bn hauwezi kuvurugwa na watu wawili tu ambao hawana hata $1bn........hizo chuki binfsi mwendazake aliendesha uchumi wetu kianyeji sana informally,.......sasa uchumi ndo unaanza kurudi kwenye trend halisi, baada ya miaka mitatu utaona hali halisi ya uchumi wetu.Pamoja na definition uliyoitoa ambapo kimsingi ni yq vitabuni, umevuruga kwa kutoka nje ya vitabu ulivyonukuu kwa kuanza kulaumu bila kuweka facts.
Uhalisia ni tofauti na hayo mavitabu na especially kwa TZ hii inayoongozwa na brainless.
Mfumuko wa bei unaweza tengenezwa na kina Jan + Msoga team
Mkuu viongozi wetu ni wanafiki tu, wewe jiulize wakati January na Nape wanafukuzwa makamu wa mwendazake na waziri mkuu walikua wapi kumshauri kwamba mbona sasa hivi wamerudishwa na hao hao watu, siasa za Ldcs ni one man's rule......Samia, Majaliwa, Mpango, Florens Luoga... walikuwa wapi kipindi hicho?
Serikali iondoeabaadhi ya kodi au kupunguza kodi na tozo kwenye sekta za ujenzi, usafirishaji na miamala ya simu.Mpango kama upi? Bot ikiamua kushusha riba kwenye Bank za biashara ( intrest on Bank rate ) kwahali yasasa tuta pata inflation au mfumko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilling ya Tz dhidi ya dollar, tusubiri natural growth of the economy, angalau miaka miwili, ndoturapata hali ya uchumi wa kweli......kwa sasa uzalishaji uko chini sanaa pesa ikiwa nyingi in circulation lazm bei intapanda tu, naona policy ya serikali iko sawa
Unafahamu madhara ya umeme kukatika katika hovyo kwenye uchumi? Ni hasara isiyomithilika kwenye maisha binafsi ya watu na uchumi wa nchi kwa ujumla na inaweza kuwa chanzo kimojawapo kikubwa kushuka kwa uzalishaji na kusababisha bei za bidhaa kupanda kiholela.Mkuu hamna kitu kama hicho uchumi wa watu milioni 60 na GDP ya $50bn hauwezi kuvurugwa na watu wawili tu ambao hawana hata $1bn........hizo chuki binfsi mwendazake aliendesha uchumi wetu kianyeji sana informally,.......sasa uchumi ndo unaanza kurudi kwenye trend halisi, baada ya miaka mitatu utaona hali halisi ya uchumi wetu.
Namfumko wa bei ya vitu na vyakula ulikuwepo kwamba hivihivi wananchi walinunua kwa kudanganywa na takwimu na umeme ulikatika hivihivi? Utetezi mwingine mhhhhNumbers never lie.
Kwa miaka 6 watanzania waliishi kwa uongo na hofu, takwimu nyingi hazikuwa za kweli sababu tu ni kumfurahisha boss.
The moment of egg on face was inevitable .
Kwani sukari ilipanda kipindi gani na watu wakaambiwaje?Namfumko wa bei ya vitu na vyakula ulikuwepo kwamba hivihivi wananchi walinunua kwa kudanganywa na takwimu na umeme ulikatika hivihivi? Utetezi mwingine mhhhh
Numbers never lie.
Kwa miaka 6 watanzania waliishi kwa uongo na hofu, takwimu nyingi hazikuwa za kweli sababu tu ni kumfurahisha boss.
The moment of egg on face was inevitable .
This is madness,just to say the least.Kwani sukari ilipanda kipindi gani na watu wakaambiwaje?
Si waliishia kuwaambia tuko vizuri tuna sukari ya kutosha?
Mafuta ya kupikia yalipanda enzi za nani na why serikali ilikanusha hakuna uhaba?
Serikali ikiajiri watu wengine wakati huo imeondowa baadhi ya kodi mishahara itatoka wapi? Kumbuka kuna Non productive loans nyingi tulizo kopa kipindi cha mwendazake paka sasa hivi serikali inalejesha hizo ribah kubwa ku service hiyo mikopo ya jpm, jibu la uchumi wetu nikuongeza uwekezaji ili uzalishaji uongezeki serikali iweze kukusanya kodi za kutosha, ili iajiri watanzania wengi kwenye secto mbalimbaliSerikali iondoeabaadhi ya kodi au kupunguza kodi na tozo kwenye sekta za ujenzi, usafirishaji na miamala ya simu.
Serikali iajiri watu wengi zaidi kwenye sekta ya elimu ya na afya, waongeze mishahara kwa wafanyakazi wa kipato cha chini kama walimu na manesi
Hii ni baadhi ya mipango tu ila ipo mingi na kuna watu wameajiriwa na wanalipwa kwa kodi zetu mahususi kwa ajili ya kufikiri, kufanya tafiti na kuja na mipango ya uchumi, wafanye kazi yao.
Kumbe wakenya ndio waliokua wanasema "Vyuma vimekaza' awamu ya 5?Hahaha kwa hiyo kwa hiyo miaka sita vitu na huduma vilikuwa vimepanda sema tuliogopa kusema ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tz izima ni 24% ndo wanao tumia umeme wa grid ya taifa, uchumi wetu kwa 70% ni kilimo tu, ni 17% ndo wanao ishi mijini, kama mwendazake angejua uchumi na kupenda Tz hizo 2T alizo nunulia ndege angeziwekeza kwenye sekita ya kilimo bei ya vitu insingekua imefumka kama sasaUnafahamu madhara ya umeme kukatika katika hovyo kwenye uchumi? Ni hasara isiyomithilika kwenye maisha binafsi ya watu na uchumi wa nchi kwa ujumla na inaweza kuwa chanzo kimojawapo kikubwa kushuka kwa uzalishaji na kusababisha bei za bidhaa kupanda kiholela.
Uchaguzi 2025 huku akiongopa Kabudi&LukuviBibi ushungi yeye yupo busy na uchifu
Hapo atakuuaUchaguzi 2025 huku akiongopa Kabudi&Lukuvi
Katika planning kuna short medium and long period planning, mama iko kwenye 10yr short period planning ya mwendazake, hawezi ku influence bajeti paka miaka 3 ya jpm iishe, ndo tuone short period planing zake, katika uchumi kwasasa Mama mnamuonea bure.Hebu twambie kimetokea nini ikiwa bei za bidhaa na huduma zimepanda maradufu baada ya budget ya kwanza ya Mama!?Take in note (usisaha ongezeko la kodi na tozo kwenye huduma na bidhaa) hivi mnafikiri watanzania wote ni wajinga hawafatilii na awaoni?
Umelewa urefu wa kamba yako na umevimbiwa sio?Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa