Simpleboylife
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 634
- 1,247
Acha iendelee kunyesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao asilimia 24% ndio pamoja na viwanda vinavyotengeneza bidhaa muhimu za ujenzi ambazo zinalalamikwa kupanda sana bei.Tz izima ni 24% ndo wanao tumia umeme wa grid ya taifa, uchumi wetu kwa 70% ni kilimo tu, ni 17% ndo wanao ishi mijini, kama mwendazake angejua uchumi na kupenda Tz hizo 2T alizo nunulia ndege angeziwekeza kwenye sekita ya kilimo bei ya vitu insingekua imefumka kama sasa
Mfumuko wa bei unasababishwa na serikali iliyopo ama kutatuliwa na serikali iliyopo.Tz izima ni 24% ndo wanao tumia umeme wa grid ya taifa, uchumi wetu kwa 70% ni kilimo tu, ni 17% ndo wanao ishi mijini, kama mwendazake angejua uchumi na kupenda Tz hizo 2T alizo nunulia ndege angeziwekeza kwenye sekita ya kilimo bei ya vitu insingekua imefumka kama sasa
Kwingine kote uko sahihi kasori sababu ya kwanza. Regulatory authorities hasa zinapoingilia bei ndizo zimekuwa chanzo kikubwa cha kuchangia kuharibu uchumi. Kuna madhara nakubwa sana kwa EWURA, TCRA n.k kujiingiza katika upangaji wa bei za bidhaa na huduma.Mfumuko wa bei unasababishwa na serikali iliyopo ama kutatuliwa na serikali iliyopo.
Magufuli ,if any , "alisababisha uchumi kusinyaa" nasiyo inflation yani mfumko wa bei.
Mfumuko wa bei unasababishwa hasa na vitu hivi:
1. Serikali kushindwa ku control na ku regulate soko na ndiyo maana serikali ina regulatory authorities kila sehemu.
2. Production cost imeongozeka sana hadi kumfikia mlaji na msababishaji hapa ni serikali pia, mfano wameongeza kodi, wameongeza tozo, umeme unakatokakatika, ulipaji wa wafanyakazi mshahara umeongezeka nk.
3. Demand imekuwa kubwa kuliko production hii ndo huamualiwa na soko huria.
Ila ukiangalia kwa Tanzania inflation ni sababu ya namba moja na mbili. Serikali legelege isiyojali.
Nini serikali inachoweza kufanya na ku control inflation.
1. Serikali ina subsidies ktk imported goods ambazo ni basics kama mbolea na mafuta na gas nk.
2. Serikali inapunguza ama kufuta kabisa kodi na tozo zinazosababisha artificial inflation.
3. Serikali kuhakikisha umeme haukatiki ili kupunguza productions cost.
Zingine utaongezea.
Mkuu nakubaliana naweweKwingine kote uko sahihi kasori sababu ya kwanza. Regulatory authorities hasa zinapoingilia bei ndizo zimekuwa chanzo kikubwa cha kuchangia kuharibu uchumi. Kuna madhara nakubwa sana kwa EWURA, TCRA n.k kujiingiza katika upangaji wa bei za bidhaa na huduma.
Regulatory authorities zinatakiwa ziwe kwa ajili ya kuhakikisha ushindani fair wa kibiashara unakuwepo,utunzaji mazingira, afya za walaji zinazingatiwa na mambo mengine ya aina hiyo, sio kupanga bei au kutoa miongozo ya bei, uchumi wa soko huria hauendeshwi hivyo.
Wewe na mtoa mada ni wapuuzi wa mwisho.Kiukweli hali ni mbaya
Naunga mkono hoja2. Serikali inapunguza ama kufuta kabisa kodi na tozo zinazosababisha artificial inflation.
Je zinauzika? Kama zinauzika ujue hakuna shida hapo.Mtwara kilo ya nyama 12,000 kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV jana usiku!
Hakuna aliyepandisha kwa kujiskia ,ni Dunia nzima inapitia Hali hiyo.Tzn hapa tuna nafuu.Hali huku mtaani kila mtu anaisoma namba, sielewi kwann wamepandisha bei ivo...
Kwani Chadema ndiyo wameleta mfumko wa bei?Ndugu zangu watz wenzangu nadhan mtakuwa nami juu ya kinachoendelea kwa sasa katika nchi yetu
Wafanyabiashara saiz wanajiamulia bei gan watupige na kila siku wanapandisha bei hasa wakijisikia kitu ambacho ni hatar sn kwa usalama wa nchi
Kibaya zaid pamoja na bei za vitu kupanda kila siku yan ni kama hatuna viongoz yan ni kama nchi inajiendesha yenyewe.....Rais yupo,wazir mkuu yupo,mawazir wapo lkn masikin ya Mungu hakuna hata mmoja mmoja anaeumia na kuumizwa kwa wananchi hawa watz ndio kwanza kila mtu yuko bize kuangalia anavunaje sehem aliyopo.
Hali hio sasa imetoka kwenye chakula imeenda had kwenye mawasiliano ya simu yan saiz wanajibadilishia tu vifurushi kila wanapojisikia. yaani kwa kweli hali ni mbaya sn tena sn na masikin ya Mungu watz hawa hatujui hata haki zetu tunasubir wakina CHADEMA au NCCR ndio watusemee bila wao kufanya hivo kila mtu yuko kimya hadi vile vyama vyetu vya kiraia ambavyo sijui viko wapi siku hizi.
Hebu imagine unakwenda sokon lkn unakuta kila mtu anauza vitu kwa bei yake na wala hata hawana wasiwas wao wanasema wanafidia kipind kigum cha mwendazake.
Hiv kweli Tanzania tumefikia huku kweli jaman,mbona inasikitisha sn jaman. Huyu mwananchi wa kawaida kabisa anaishije kwa hali hii?
Nadhan sasa umefika wakati wa wanachi wa Tanzania kuleta umoja wetu na kureact bila kujali utofaut wa vyama vyetu,dini zetu wala ukanda wetu na kuacha kutegema vyama vya siasa kutusemea katika matatizo yetu.
Serikal imeshindwa mapema sn katika hili la mfumuko wa bei hivo ni wakati wetu sisi wananchi kuondoa tofauti na kuwa kitu kimoja katika hali hii mbaya kabisa katika ustawi wa taifa na maendeleo ya wananchi
Naomba kuwasilisha
Regulatory authorities haziwezi kujua na kuamua bei reasonable kamwe. Bei reasonable ni ile mnunuzi anayoamua kulipa mwenywe akiwa na taarifa sahihi bila kulazimishwa. Serikali ikiweka mazingira mazuri yanayovutia wafanyabiashara kuwa wengi bei zitashuka tu na kuwa reasonable.Mkuu nakubaliana nawewe
Lakini soko huria si kwamba mnaachiwa mjipangie bei tu mnavyotaka. Maana ya regulatory authorities siyo kuhakikisha tu fair competition among the vendors or competitors bali pia service provided is fair game kati ya mlaji na mtoaji huduma yani price offered is reasonable as per price list.
Samahani kwa kuchanganya vilugha ndani.
Ukiacha sababu za kisiasa ,Hali hii inachangiwa na mwenendo wa uchumi wa Dunia kiujumla.Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa
Soma kitu kinaitwa price controls, just for simplicity is that: price controls are government mandated minimum or maximum for goods and services.Regulatory authorities haziwezi kujua na kuamua bei reasonable kamwe. Bei reasonable ni ile mnunuzi anayoamua kulipa mwenywe akiwa na taarifa sahihi bila kulazimishwa. Serikali ikiweka mazingira mazuri yanayovutia wafanyabiashara kuwa wengi bei zitashuka tu na kuwa reasonable.
Mafuta ya kula ni Tsh 5000/ litaNyama sio basic kwenye uchumi wa Tanzania wengi hawaitumie ata ingeshuka kwa 5000 kwa kg kwahiyo sio kigezo cha kupimia uchumi wetu
Jukumu la mfugaji hilo sasa.Kwa nini wanasubiria hadi wafe? Hao wanaokufa si wauzwe kwa bei ndogo
Unajielewa kweli wewe!Katika uchumi bei ya vitu inakua determine na forces of demand and supply, sio serikali au wafanya biashara bei zikipanda jua tu uzalishaji wa vitu umeshuka au idadi ya watumiaji imeogezeka, Raisi ambaye amekaa miazi 9 madarakani hasihusishe na bei ya vitu kwasasa, mwendazake ndo alievuruga sector binafsi na kutimua wawekezaji binfsi. Tutakuja kupata unafu baada ya miaka kama 3. Ndotutaanza kumlaumu Raisi sio kwa kwasasa