Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Licas unahemka sana bila ya kuwa na tafakari.

IGA haisemi kuwa hakuna mwingine atakayruhusiwa kuwekeza kwenye bandari bali inasema kuwa Serikali ikitaka kumwingiza mwekezaji yeyote kwaajili ya bandari yoyote ni lazima kabla ya kufanya hivyo, Serikali impe taarifa kwanza DPW. Hii ina maana DPW ndiye anayeruhusu kuwa mleteni mwekezaji mwingine au acheni, atawekeza yeye. Wewe huoni kama hapo kuna shida?

Kama yeye amepewa awekeze kwenye bandari fulani, kwa nini sisi kama nchi huru mpaka tumwulize yeye ikiwa tumeamua kumtafuta mwekezaji mwingine kwaajili ya bandari nyingine? Kama huoni tatizo hapo, basi jisikitikie sana.
Tatizo la hawa watu, hasa huyu na yule mwenzake Steven Ntamusana, unapowabana kama ulivyofanya hapa husikii tena wakijibu au kukiri upungufu wa hoja zao.

Hii hapa umemsliba ngumu kabisa, lakini atajifanya hakuiona kabisa.
 
CCM huwezi kuikuta ikihamashisha Udini na ndio sababu ndani ya CCM mtu wa dini yoyote ile na kabila lolote lile anaweza kuwa Kiongozi na kuteuliwa kugombea nafasi yoyote ile.
kama hujui, ubovu wa CCM umeanzia hapa.
Uongozi ndani ya chama hicho haufuati uwezo alionao mtu, bali sifa za kijinga kama "huyu ni mwenzetu". Wanufaika wa upuuzi huo ndio hawa hawa akina Samia, wasiokuwa na sifa yoyote ya uongozi.

Halafu watu wa aina yako ndio mnakuja hapa kujigamba juu ya upuuzi huo!

CCM imetufikisha hapa sasa kama taifa; kila sehemu ni uozo kwa sababu ni mfumo huo huo mbovu unaotumika.
 
Tunahitaji mtu wa kukosoa mambo kwa hoja na ushahidi na siyo mtu anayeonekana kuongozwa na Udini pamoja na chuki binafsi. Dkt Slaa amekuwa mtu wa kusukumwa chuki binafsi na Udini.ndio maana hajawahi kuonekana akikosoa chochote kile katika utawala uliopita.
Wewe umeweka ushahidi wowote zaidi ya kulinganisha pande mbili ambayo hauna
Mashiko , kusema chuki binafsi Hilo neno tumeshalizoea hamna chuki binafsi vitu vionekane na vinavyoonekana ni utumbo mtupu nasemaje 2025 mkitoboa ni either Kwa kuhonga au kuiba kura period"
 
Jitu la ovyo limetumwa na kanisa baada ya kupewa vyeti vya elimu ya mchongo .
 
Wewe umeweka ushahidi wowote zaidi ya kulinganisha pande mbili ambayo hauna
Mashiko , kusema chuki binafsi Hilo neno tumeshalizoea hamna chuki binafsi vitu vionekane na vinavyoonekana ni utumbo mtupu nasemaje 2025 mkitoboa ni either Kwa kuhonga au kuiba kura period"
Uchaguzi ujao utakuwa mwepesi sana kwa CCM katika Historia tangia mfumo wa vyama vingi uanze
 
Lucas naona wewe ndie unasumbuliwa na udini na sio Slaa.
Unaweza kuelezea mahali ambapo ameelekeza chuki ya kidini?
Nimesoma ulichoandika hakuna lolote zaidi ya blah-blah!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
NAONA WW NDO UNACHUKI BINAFSI
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yuwekee mifano ya yale aliyoongea Dr. Slaa dhidi ya mama Abdul yakawa ni ya uzushi siyo kupiga porojo za kichawa tu.
 
Hata unapokuwa chizi kama ulivyo wewe, ukweli ukisemwa ni lazima ukuchome moyo.
Hivi bado mnayo matumaini ya kuendelea kuwahadaa waTanzania?
Watanzania wana imani kubwa sana na Rais Samia na serikali ya CCM. Wanakemea na kupinga sana mtu yeyote yule anayehamasisha na kupandikiza chuki na ubaguzi kwa watanzania
 
Watanzania wana imani kubwa sana na Rais Samia na serikali ya CCM. Wanakemea na kupinga sana mtu yeyote yule anayehamasisha na kupandikiza chuki na ubaguzi kwa watanzania
Hao waTanzania unaotembea nao mfukoni mwako sina haja nao. Kaa nao huko huko.
 
Mheshimiwa Rais hajawahi kuwa mdini wala kumbagua mtu kwa misingi ya aina yoyote ile. Lakini dkt Slaa amekuwa na chuki kubwa sana na utawala huu tangia uingie madarakani. Kinachomsumbua ni Udini na chuki binafsi tu ndio maana amekuwa akizusha vitu vya uongo na uchonganisha kwa lengo la kumchafua Mheshimiwa Rais

Tatizo hamtaki Maza akosolewe .... Kila akikosolewa mnakimbilia UDINI. Anauza Bandari, Misitu, Mbuga na Madini. Watu wakisema ni UDINI .... Hell, NO....!!
 
Tatizo hamtaki Maza akosolewe .... Kila akikosolewa mnakimbilia UDINI. Anauza Bandari, Misitu, Mbuga na Madini. Watu wakisema ni UDINI .... Hell, NO....!!
Acha uropokaji wako hapa.ungekuwa na akili ungeweka ushahidi wa hayo unayoyazungumza.
 
Back
Top Bottom