Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Dokta Slaa amesema kuna Tuhuma za Kisiwa Kizima cha Mafia kilichopo Tanganyika kuuzwa kwa Wageni halafu wewe Msafwa Lucas Mwashambwa unamtuhumu Dokta Slaa kuwa ni Mdini?!

Acha Uzezeta Ebo!😡
 
Dokta Slaa amesema kuna Tuhuma za Kisiwa Kizima cha Mafia kilichopo Tanganyika kuuzwa kwa Wageni halafu wewe Msafwa Lucas Mwashambwa unamtuhumu Dokta Slaa kuwa ni Mdini?!

Acha Uzezeta Ebo!😡
Ni mzushi tu. Kwanini hakutafuta ushahidi ili aje aweke? Naomba uniwekee video hata ya Dakika moja tu ya dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala uliopita.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwenye suala la udini siyo dr slaa tu wengi wao ni hvyo ukiingia tu utawala wa kiislamu madarakani utasikia porojo nyingi mi namshukuru sana mwalim Nyerere hiki kitu alikiona kingeleta shida watanzania tuache udini
 
Kwenye suala la udini siyo dr slaa tu wengi wao ni hvyo ukiingia tu utawala wa kiislamu madarakani utasikia porojo nyingi mi namshukuru sana mwalim Nyerere hiki kitu alikiona kingeleta shida watanzania tuache udini
Kwa hakika tunapaswa kuacha masuala ya Udini na chuki binafsi na aina yoyote ile ya ubaguzi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mambo yepi aliyoyazusha yanayoonesha udini?
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
Ni mzushi tu. Kwanini hakutafuta ushahidi ili aje aweke? Naomba uniwekee video hata ya Dakika moja tu ya dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala uliopita.
Alihongwa Ubalozi kama wewe unavyohongagwa Buku Saba za Kitoweo
 
Kumbuka na mchango wake Kwa serikali, kumbuka alivyochange Gia angani Kwa manufaa yenu
CCM imekuwa ikishinda chaguzi zote kwa ubora wa sera zako na siyo kwasababu ya Gia za dkt Slaa. Hata Slaa Mwenyewe tulimshinda katika sanduku la kura alipogombea Urais.
 
CCM imekuwa ikishinda chaguzi zote kwa ubora wa sera zako na siyo kwasababu ya Gia za dkt Slaa. Hata Slaa Mwenyewe tulimshinda katika sanduku la kura alipogombea Urais.

Kama hujui mambo basi tulia Tu,
Uliza ma komredi wakwambie kitu gani kilifanyanyika mpaka lipumba na Slaa waliacha vyeo vyao na Hilo tukio lilisaidia nini chama cha ccm kushinda
 
Kuna seminari mbili junior na senior labda ungesma senior lazima kila padre apitie huko lakini siyo lazima junior na junior ndo vichwa sana. Senior asilimia kubwa ni vilaza ambao walikuwa low sana junior
Siyo kweli unayoyasema. Kama hukusoma junior seminary, ukataka kujounga senior seminary ukitokea sekondari za kawaida, utaratibu ni kwamba uwe umepata ufaulu wa daraja la kwanza au la pili (Division 1 or 2). Kwa sababu maalum zitakazoweza kuthibitila, wa division 3 iliyoegemea kwenye 2 anaweza kuchukuliwa. Nje ya hapo huwezi kukubaliwa. Unaweza kukubalika kwenye madaraja mengine matakatifu kama watawa wa kiume au wa kike lakini siyo kuwa padre.
 
Kweli wewe akili yako ni ndogo sana na huelewi chochote kile. Ninyi si ndio mlikuwa mstari wa mbele kusema uzushi wa kuwa bandari zote zimepewa na kutolewa kwa Dp World? Sasa je kama huna upofu wa akili na macho hujaona TPA wakitangaza tenda kwa mwekezaji yeyote yule anayetaka kuwekeza pale bandarini? Acheni uzushi na uwongo

Licas unahemka sana bila ya kuwa na tafakari.

IGA haisemi kuwa hakuna mwingine atakayruhusiwa kuwekeza kwenye bandari bali inasema kuwa Serikali ikitaka kumwingiza mwekezaji yeyote kwaajili ya bandari yoyote ni lazima kabla ya kufanya hivyo, Serikali impe taarifa kwanza DPW. Hii ina maana DPW ndiye anayeruhusu kuwa mleteni mwekezaji mwingine au acheni, atawekeza yeye. Wewe huoni kama hapo kuna shida?

Kama yeye amepewa awekeze kwenye bandari fulani, kwa nini sisi kama nchi huru mpaka tumwulize yeye ikiwa tumeamua kumtafuta mwekezaji mwingine kwaajili ya bandari nyingine? Kama huoni tatizo hapo, basi jisikitikie sana.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mzee Kazeeka sana yule
 
Back
Top Bottom