Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Tatizo la hawa watu, hasa huyu na yule mwenzake Steven Ntamusana, unapowabana kama ulivyofanya hapa husikii tena wakijibu au kukiri upungufu wa hoja zao.

Hii hapa umemsliba ngumu kabisa, lakini atajifanya hakuiona kabisa.
 
CCM huwezi kuikuta ikihamashisha Udini na ndio sababu ndani ya CCM mtu wa dini yoyote ile na kabila lolote lile anaweza kuwa Kiongozi na kuteuliwa kugombea nafasi yoyote ile.
kama hujui, ubovu wa CCM umeanzia hapa.
Uongozi ndani ya chama hicho haufuati uwezo alionao mtu, bali sifa za kijinga kama "huyu ni mwenzetu". Wanufaika wa upuuzi huo ndio hawa hawa akina Samia, wasiokuwa na sifa yoyote ya uongozi.

Halafu watu wa aina yako ndio mnakuja hapa kujigamba juu ya upuuzi huo!

CCM imetufikisha hapa sasa kama taifa; kila sehemu ni uozo kwa sababu ni mfumo huo huo mbovu unaotumika.
 
Wewe umeweka ushahidi wowote zaidi ya kulinganisha pande mbili ambayo hauna
Mashiko , kusema chuki binafsi Hilo neno tumeshalizoea hamna chuki binafsi vitu vionekane na vinavyoonekana ni utumbo mtupu nasemaje 2025 mkitoboa ni either Kwa kuhonga au kuiba kura period"
 
Jitu la ovyo limetumwa na kanisa baada ya kupewa vyeti vya elimu ya mchongo .
 
Uchaguzi ujao utakuwa mwepesi sana kwa CCM katika Historia tangia mfumo wa vyama vingi uanze
 
Lucas naona wewe ndie unasumbuliwa na udini na sio Slaa.
Unaweza kuelezea mahali ambapo ameelekeza chuki ya kidini?
Nimesoma ulichoandika hakuna lolote zaidi ya blah-blah!
 
NAONA WW NDO UNACHUKI BINAFSI
 
Yuwekee mifano ya yale aliyoongea Dr. Slaa dhidi ya mama Abdul yakawa ni ya uzushi siyo kupiga porojo za kichawa tu.
 
Hata unapokuwa chizi kama ulivyo wewe, ukweli ukisemwa ni lazima ukuchome moyo.
Hivi bado mnayo matumaini ya kuendelea kuwahadaa waTanzania?
Watanzania wana imani kubwa sana na Rais Samia na serikali ya CCM. Wanakemea na kupinga sana mtu yeyote yule anayehamasisha na kupandikiza chuki na ubaguzi kwa watanzania
 
Watanzania wana imani kubwa sana na Rais Samia na serikali ya CCM. Wanakemea na kupinga sana mtu yeyote yule anayehamasisha na kupandikiza chuki na ubaguzi kwa watanzania
Hao waTanzania unaotembea nao mfukoni mwako sina haja nao. Kaa nao huko huko.
 

Tatizo hamtaki Maza akosolewe .... Kila akikosolewa mnakimbilia UDINI. Anauza Bandari, Misitu, Mbuga na Madini. Watu wakisema ni UDINI .... Hell, NO....!!
 
Tatizo hamtaki Maza akosolewe .... Kila akikosolewa mnakimbilia UDINI. Anauza Bandari, Misitu, Mbuga na Madini. Watu wakisema ni UDINI .... Hell, NO....!!
Acha uropokaji wako hapa.ungekuwa na akili ungeweka ushahidi wa hayo unayoyazungumza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…