Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Huo ni mtazomo wako wa kichawa na pia kutokana na uduni wa akili,yaani Samia atumie mabilioni ya kodi zetu kumfadhili Sultan Mbowe halafu watu wake kimya tu.
Huo ushahidi wa hayo Mabilioni upo wapi ewe Mropokaji? Kazi yako ukurupukaji tu na Uropokaji kama mlevi wa gongo
 
Sahihi kabisa, kipindi cha Mwendazake hakuwahi kuwa na chuki kiasi hichi..picha lilianza kwenye sakata la DP world nadhani iligusa maslai ya kanisa mzee hakupendwezwa!
 
Kwa hiyo kama alikuwa hakosoi kipindi cha magu basi aendelee kukausha au sio?

Hivi nyie maccm akili zenu huwa mna muachia mwenyekiti au mbona hamna mwenye ahueni pamoja na huyo mwenyekiti wenu.
Unaweza kuweka ushahidi wa uzushi na uongo anaozungumza?
 
Slaa hapendi Rais asiyekuwa wa Dini yake
 
Dkt slaa ni daktari wa nini?
Wewe darasa la 7 ulifaulu?

Samia ni Dr wa nini?

Hii hapa CV ya Dr Slaa kasome uone ni Dr wa kitu gani.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…