Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kwa hiyo kama alikuwa hakosoi kipindi cha magu basi aendelee kukausha au sio?

Hivi nyie maccm akili zenu huwa mna muachia mwenyekiti au mbona hamna mwenye ahueni pamoja na huyo mwenyekiti wenu.
Ni lucas tu ndiyo anashangaa Padre kuwa na chuki na rais muislam wa tanzania
 
Wewe darasa la 7 ulifaulu?

Samia ni Dr wa nini?

Hii hapa CV ya Dr Slaa kasome uone ni Dr wa kitu gani.

Rais Wetu ni Msomi kwelikweli wa kiwango cha juu sana .Tofauti na kwenye hiyo CV ya Dkt slaa kuliko jaa certificate tu na vi short kozi vya hapa na pale.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.

Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake kusema ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.

lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.

Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.

Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?

Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.

Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.

Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.

Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.

Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ww jamaa huwa ni mpumbavu sana kuna siku utakuja kulijua hilo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.

Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake kusema ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.

lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.

Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.

Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?

Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.

Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.

Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.

Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.

Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yule Mzee ana laana ya usaliti kwa kanisa takatifu, ndoa takatifu, chadema, CCM na serikali,.

Infact mzee slaa anateseka sana na athari na madhara ya
roho ya tamaa na ubinafsi ambavyo vinamfanya atangetange sana bila kuelewa anazungumza nini au anaelekea,

ndio maana anapuuzwa na kila chama cha siasa nchini 🐒
 
Yule Mzee ana laana ya usaliti kwa kanisa takatifu, ndoa takatifu, chadema, CCM na serikali,.

Infact mzee slaa anateseka sana na athari na madhara ya
roho ya tamaa na ubinafsi ambavyo vinamfanya atangetange sana bila kuelewa anazungumza nini au anaelekea,

ndio maana anapuuzwa na kila chama cha siasa nchini 🐒
Dkt slaa inatakiwa atubu .maana haiwezekani kila mahali anapoweka miguu anaishia pabaya.
 
Rais Wetu ni Msomi kwelikweli wa kiwango cha juu sana .Tofauti na kwenye hiyo CV ya Dkt slaa kuliko jaa certificate tu na vi short kozi vya hapa na pale.
Samia ni Dr msomi katika nyanja ipo?

Weka hapa chapisho lolote la kitaaluma alilowahi kuandika Samia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.

Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake . ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.

lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.

Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.

Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?

Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.

Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.

Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.

Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.

Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


Heshimu Uhuru wa mawazo wa mtu mwingine

Kama Sisi tunavyoheshimu Uhuru wa mawazo yako
 
Ulimfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli? Unaweza kuweka hapa video yoyote ile ya dkt slaa akikosoa jambo lolote lile?

Hata wewe si ulikuwa unamtukana Mbowe? Ila Leo umekuwa kampen meneja wake

So that's is politics
 
Back
Top Bottom