SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na utatumika sana boya weweMimi situmiki wala kutumiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na utatumika sana boya weweMimi situmiki wala kutumiwa
Huna akili kabisa wewe unafikiri rushwa inatolewa risiti?Ushahidi upo wapi ewe mwenye akili ndogo?
Ni lucas tu ndiyo anashangaa Padre kuwa na chuki na rais muislam wa tanzaniaKwa hiyo kama alikuwa hakosoi kipindi cha magu basi aendelee kukausha au sio?
Hivi nyie maccm akili zenu huwa mna muachia mwenyekiti au mbona hamna mwenye ahueni pamoja na huyo mwenyekiti wenu.
Rais Wetu ni Msomi kwelikweli wa kiwango cha juu sana .Tofauti na kwenye hiyo CV ya Dkt slaa kuliko jaa certificate tu na vi short kozi vya hapa na pale.Wewe darasa la 7 ulifaulu?
Samia ni Dr wa nini?
Hii hapa CV ya Dr Slaa kasome uone ni Dr wa kitu gani.
![]()
DR.WILBROAD SLAA AWEKA WAZI CV YAKE.
First Name: Dr. Wilbrod Middle Name: Peter Last Name: Slaa Member Type: Constituency Member Constituent: Karatu Political Party: CHADEMA Office Location: P.O. Box 119, Karatu – Arusha Office…darautobroker.wordpress.com
Unaweza tuambia hiyo hela ilitolewa lini,wapi,shilingi ngapi?Huna akili kabisa wewe unafikiri rushwa inatolewa risiti?
Mimi siyo kama wewe .Na utatumika sana boya wewe
Ushaniona nashobokea mtu hata siku moja? Utashoboka sana na utakufa masikiniMimi siyo kama wewe .
Ww jamaa huwa ni mpumbavu sana kuna siku utakuja kulijua hiloNdugu zangu Watanzania,
Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.
Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake kusema ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.
lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.
Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.
Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?
Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.
Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.
Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.
Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.
Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
na wewe huo ushahidi Dokta Slaa ni mdini upo wapi na anamkosoa Rais Samia kwa udini unao au unakurupuka kwa akili za kichawa unajitungia uzi kumchafua Baba wa watu ili kutafuta asaliHuo ushahidi wa hayo Mabilioni upo wapi ewe Mropokaji? Kazi yako ukurupukaji tu na Uropokaji kama mlevi wa gongo
Kwa hiyo unabubujikwa na machozi kwa faida ipi Sasa we ndondocha? Au una matatizo ya afya ya akili?Mimi situmiki wala situmwi na mtu.
Andiko langu linajieleza vyema kabisa.na wewe huo ushahidi Dokta Slaa ni mdini upo wapi na anamkosoa Rais Samia kwa udini unao au unakurupuka kwa akili za kichawa unajitungia uzi kumchafua Baba wa watu ili kutafuta asali
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hojaWw jamaa huwa ni mpumbavu sana kuna siku utakuja kulijua hilo
Yule Mzee ana laana ya usaliti kwa kanisa takatifu, ndoa takatifu, chadema, CCM na serikali,.Ndugu zangu Watanzania,
Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.
Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake kusema ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.
lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.
Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.
Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?
Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.
Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.
Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.
Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.
Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dkt slaa inatakiwa atubu .maana haiwezekani kila mahali anapoweka miguu anaishia pabaya.Yule Mzee ana laana ya usaliti kwa kanisa takatifu, ndoa takatifu, chadema, CCM na serikali,.
Infact mzee slaa anateseka sana na athari na madhara ya
roho ya tamaa na ubinafsi ambavyo vinamfanya atangetange sana bila kuelewa anazungumza nini au anaelekea,
ndio maana anapuuzwa na kila chama cha siasa nchini 🐒
Samia ni Dr msomi katika nyanja ipo?Rais Wetu ni Msomi kwelikweli wa kiwango cha juu sana .Tofauti na kwenye hiyo CV ya Dkt slaa kuliko jaa certificate tu na vi short kozi vya hapa na pale.
Halafu uwe na adabu kwa Rais wetu. Mama Anaitwa Mheshimiwa Rais. Na siyo kama unavyomtaja kwa jina mojaSamia ni Dr msomi katika nyanja ipo?
Weka hapa chapisho lolote la kitaaluma alilowahi kuandika Samia.
Ndugu zangu Watanzania,
Napenda kuwaambieni ya Kuwa Dkt. Slaa siku zote na wakati wote tangia kuingia kwa Rais Samia madarakani amekuwa na chuki kubwa sana na Rais wetu.
Amekuwa na hasira kubwa sana kifua pake . ni vile tu hana uwezo wa kikatiba wala kisheria wala nguvu ya aina yoyote ile ya kuweza kumtoa Rais wetu madarakani.
lakini kama angekuwa na Uwezo basi asingependa pengine hata kuona Rais Samia akiapishwa kuwa Rais wetu tangia siku ile ya tarehe 19-3-2021.
Na msingi wake mkubwa wa kumchukia RAIS wetu ni chuki binafsi pamoja na Udini tu uliomjaa kifuani pake. Muangalie na kumfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Dkt slaa wa wakati huu.
Je, Mumewahi kuona dkt slaa akifungua mdomo wake kukemea au kukosoa chochote kile wakati wa awamu ya Tano? Mnafikiri kwanini?
Jibu ni Udini tu ndio msingi wake Mkuu hasa kwa kuzingatia historia yake ya wapi ametokea na kuhudumu ndani ya kanisa kwa muda mrefu.
Dkt slaa Kwa chuki zake binafsi kwa Rais wetu na udini wake umempelekea kuwa Muongo, Mzushi, mfitini na mtu wa kuzusha na kuleta taharuki tu kwa watu.
Amekuwa ni mtu anayetamani mabaya tu yatokee na kutamalaki katika utawala huu wa awamu ya sita ili moyo wake ufurahie na apate cha kuongea.
Amekuwa ni mtu wa kuongea na kuzusha uongo usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kujiongelea tu. Ni huyu huyu Dkt Slaa akiwa kwenye mkutano mkoani Mbeya amewahi kuzusha uongo na uzushi kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki lakini baadaye ikaja kufahamika kuwa aliongea uongo na uzushi mkubwa sana wenye kuleta tu taharuki kwa umma.
Dkt slaa amekuwa na hasira kubwa sana na chuki kubwa sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili ambao siyo wa dini yake. Ni wakati wa kumkemea hadharani na kumwambia kamwe watanzania hatutakubali wala kumuunga Mkono uzushi na uongo wake usio na ushahidi wa aina yoyote ile. kwa sababu tunatambua anaongozwa na Udini na chuki binafsi tu katika kauli zake dhidi ya RAIS wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ulimfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli? Unaweza kuweka hapa video yoyote ile ya dkt slaa akikosoa jambo lolote lile?
yaani ni miongni mwa viongozi wazee wa hovyo sana, hakuna cha kujifuza kabisa kutoka kwake kwasababu, anachoongea na kutenda ni mambo ya aibu tupu 🐒Dkt slaa inatakiwa atubu .maana haiwezekani kila mahali anapoweka miguu anaishia pabaya.
Hakuna uhuru wa kuzusha ,kusema uongo na kuwachafua watuHeshimu Uhuru wa mawazo wa mtu mwingine
Kama Sisi tunavyoheshimu Uhuru wa mawazo yako