Kinachoniuma ni kwamba Bunge la Tanzania halina hata mamlka ya kumuhoji mkuu wa wilaya

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Wewe ni Muongozo, mwambie akiuke utaratibu aone
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Kwanza hakuna bunge lile ni kusanyiko la majangili tupu, pili hata diwani haliwezi kumhoji DC ni mbali sana, hakuna uwajibikaji hata kidogo
 
Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
Umewazidi maendeleo gani? Matumizi makubwa na ya anasa Kenya hayapo, umewahi kuona wapi misafara ya kijinga ya kila siku kule Kenya? Sahivi kuanzia DC kwenda juu ni misafara tupu kila siku, watu wanatekwa na kuuawa umesikia Kenya unafanyika huo upumbavu? Acha ushabiki wa kijinga penda nchi ako.
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Mkuu hamia Kenya, kwanini unaumumizwa kiasi hicho na Kenya ni hapo jirani tu
 
Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
Wewe mjinga Bungr la Kenya lisha toka kwenye levo za kujadili matundu ya vyoo, wale wanajadili Sera pekee, unataka kulinganisha na Bunge lenu la kijinga ambalo kutwa nzima ni wanajadiki ujinga ujinga?
 
Mkuu hamia Kenya, kwanini unaumumizwa kiasi hicho na Kenya ni hapo jirani tu
Nitahamia yeas kukaa kwenye Taifa la kizezeta ni shida sana. Taifa limejaa mazezeta kaunzia mtaani hadi Bungeni ni full kudanganyanyana na ujinga ujinga
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Mkuu usihadaike na maigizo ya kenya, katiba yao ni nzuri but hutumika kuwaadhibu pekee wasiotakiwa na mfumo
 
Umewazidi maendeleo gani? matumizi makubwa na ya anasa Kenya hayapo, umewahi kuona wapi misafara ya kijinga ya kila siku kule Kenya? sahivi kuanzia DC kwenda juu ni misafara tupu kila siku, watu wanatekwa na kuuwawa umesikia Kenya unafanyika huo upumbavu? acha ushabiki wa kijinga penda nchi ako.
Mkuu Kenya sio levo zetu, wale wako levo zao hapo Nairobi unakuta watu wana Drive michuma ya hatari sana, Tanzania na CCM yetu tukijitahid8 sana ni mitumba ya mwaka 2006 kutoka Japani.

Tanzania shida kubwa imejaaa wajinga wengi sana
 
Ndugu zetu wakenya wapo karne mbili mbele ya Tanganyika.
 
Kwanza Tanzania hakuna bunge. Kuna mkusanyiko wa makada wa chama tawala
 
Mkuu Kenya sio levo zetu, wale wako levo zao hapo Nairobi unakuta watu wana Drive michuma ya hatari sana, Tanzania na CCM yetu tukijitahid8 sana ni mitumba ya mwaka 2006 kutoka Japani.

Tanzania shida kubwa imejaaa wajinga wengi sana
Elimu ya Tz ni ya kijinga sn, matajiri wengi wanasomesha watoto wao Kenya hawataki tena Tz sababu ya mfumo wa kijinga kukaririshana tupu.
 
Back
Top Bottom