Kinachoniuma ni kwamba Bunge la Tanzania halina hata mamlka ya kumuhoji mkuu wa wilaya
Wewe ni Muongozo,mwambie akiuke utaratibu aone
Watu wenyewe ni hawq waliokosa akili kazi kupiga makofi unategemea nini. Look at other countries, watu wapo serious na maendeleo. Imagine NR anakuwa impeached na hakuna wa kuongea kitu, hata raisi hawezi kufanya kitu. Njoo nchi ya wapumbavu kina Choice utashangaa.
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
UNAZUNGUMZIA ZOO YA KUNENEPESHEA MIFUGO ILIYOPO PALE DODOMA CHAMWINO AU?
 
Hivi ushawahi kuitafakari ili barabara ya Bungeni namaanisha kuanzia pale Round about ya Kimbinyiko hadi Round about ya Shabiby Barabara ile ni kielelezo tosha kubwa Bunge la Tanzania lina changamoto nyingi sana aisee kama mazingira ya pale pako vile na ile ndio sehemu takatifu kwa wanavodai ila pako hovyo nadhani tupunguze matarajio na Bunge letu. Ni hallucinations tu hakuna kitu kinaendelea
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Hatuna Bunge.

Unaongelea kikao cha chama ndani ya bajeti za serikali
 
Mkuu unataka akimbie taifa lake? wewe nyumbani kwako akiingia nyoka unahama nyumba?

FICHA UJINGA WAKO
Ukifuga nyoka akatotoa na wakawa wakubwa, hama kabla hawajakuzika ndani ya matumbo yao
 
Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
La CCM maendeleo wanayojadili ni yapi ,vyoo na ndoa za jinsia moja?
Tangu Samia na Mwigulu wameanza kutawala nchi hii shilingi ya Kenya imetoka shs 16 hadi 21 fedha za madafu.
Bunkum
 
Msanii mmoja alisema “linaitwa bunge ila vikao vinavyoendeshwa nivya chama fulani na hao ma Dc wanatokana na chama, je nani wakumvika paka......?”
 
Kika siku Magavaba wana ondolewa Madarakani, wewe unajua habari za Kenya fuatilia, Je Bunge la Tanzania linaweza muhoji hata mtendaji wa kata?
Nadhani hujanielewa, nimekuambia katiba inatumika kuwaadhibu wasiotakiwa na mfumo, hivo usihadaike na maizo yao.

Fuatilia forum za kenya ndo utaujua uhalisia wa mambo.
 
Bonge Letu Lipo Tu Linatamani Majimbo Yawe Kila Mtaa
 
Watu wenyewe ni hawq waliokosa akili kazi kupiga makofi unategemea nini. Look at other countries, watu wapo serious na maendeleo. Imagine NR anakuwa impeached na hakuna wa kuongea kitu, hata raisi hawezi kufanya kitu. Njoo nchi ya wapumbavu kina Choice utashangaa.
Kiuka utaratibu hata wewe hapo Utajua hujui
 
Kiuka utaratibu hata wewe hapo Utajua hujui
Najua, ila ya kwenu ni kuteka na kuua. Nikikiuka utaratibu nitauwawa, hii ndio policy yenu maccm.

Wenzenu wakikiuka utaratibu zinafuatwa taratibu kumuwajibisha. Can't you see the difference?
 
Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
Kweli kabisa ndugu unaona upande wetu tupo sawa? kama hatuwezi kuhoji wala kusema kwamba kiongozi amekosea nayo unaoana hatuihitaji? Na hatuwezi wala kuhiji mradi tu wa bara bara za mitaa miaka 4 tunaiomba haijengwi mpaka kipindi cha uchaguzi nayo unaona ni sawa? na hatuna uwezo wa kuihoji wala kuilazimisha mamlaka itupatie njia hiyo.
 
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.

Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.

Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
hakuna haja hata kidogo..
kiwango cha ustaarabu katika kuzingatia maadili ya viongozi waandamizi wa umma nchini, sio wakuu wa wilaya tu, ni cha kizalendo na kujitolea mno licha ya kuainishwa vyema sana kwenye katiba ya nchi..

hayuko aliekiuka miiko, sheria na maadili ya uongozi wa umma akaachwa kwenye nafasi yake..

atapigwa chini na atawekwa mbadala wake kuendelea kuwatumikia wanainchi...

athari za ukanda, upendeleo wa kikabila na uhasama wa kikabila ndio unawafanya wakenya wafanye mambo yao kama wanavyo fanya.

ukithubutu kuiga mambo ya Kenya yalivyo, mathalani eti yafanyike Tanzania ambako hakuna uhasama wa kikabila wala kikanda, completely unavuruga na kuigawanya nchi kabisa,

kwasabb bila ya huo uhasama wa makabila yao 42 tu Kenya wasingefikia hatua hiyo hata kidogo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom