Watu wenyewe ni hawq waliokosa akili kazi kupiga makofi unategemea nini. Look at other countries, watu wapo serious na maendeleo. Imagine NR anakuwa impeached na hakuna wa kuongea kitu, hata raisi hawezi kufanya kitu. Njoo nchi ya wapumbavu kina Choice utashangaa.Wewe ni Muongozo,mwambie akiuke utaratibu aone
UNAZUNGUMZIA ZOO YA KUNENEPESHEA MIFUGO ILIYOPO PALE DODOMA CHAMWINO AU?Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.
Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.
Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Mkuu unataka akimbie taifa lake? wewe nyumbani kwako akiingia nyoka unahama nyumba?Mkuu hamia Kenya, kwanini unaumumizwa kiasi hicho na Kenya ni hapo jirani tu
Hatuna Bunge.Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.
Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.
Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.
Ukifuga nyoka akatotoa na wakawa wakubwa, hama kabla hawajakuzika ndani ya matumbo yaoMkuu unataka akimbie taifa lake? wewe nyumbani kwako akiingia nyoka unahama nyumba?
FICHA UJINGA WAKO
La CCM maendeleo wanayojadili ni yapi ,vyoo na ndoa za jinsia moja?Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
Nadhani hujanielewa, nimekuambia katiba inatumika kuwaadhibu wasiotakiwa na mfumo, hivo usihadaike na maizo yao.Kika siku Magavaba wana ondolewa Madarakani, wewe unajua habari za Kenya fuatilia, Je Bunge la Tanzania linaweza muhoji hata mtendaji wa kata?
Kiuka utaratibu hata wewe hapo Utajua hujuiWatu wenyewe ni hawq waliokosa akili kazi kupiga makofi unategemea nini. Look at other countries, watu wapo serious na maendeleo. Imagine NR anakuwa impeached na hakuna wa kuongea kitu, hata raisi hawezi kufanya kitu. Njoo nchi ya wapumbavu kina Choice utashangaa.
Najua, ila ya kwenu ni kuteka na kuua. Nikikiuka utaratibu nitauwawa, hii ndio policy yenu maccm.Kiuka utaratibu hata wewe hapo Utajua hujui
Kweli kabisa ndugu unaona upande wetu tupo sawa? kama hatuwezi kuhoji wala kusema kwamba kiongozi amekosea nayo unaoana hatuihitaji? Na hatuwezi wala kuhiji mradi tu wa bara bara za mitaa miaka 4 tunaiomba haijengwi mpaka kipindi cha uchaguzi nayo unaona ni sawa? na hatuna uwezo wa kuihoji wala kuilazimisha mamlaka itupatie njia hiyo.Usitake Kuiga mambo ya kipuuzi.
Toka Waingie madarakani wanajadili siasa na sio maendeleo
hakuna haja hata kidogo..Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.
Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.
Sasa angalia ni tunahitaji miaka mingapi kufikia levo za Kenya, kama hata Mkuu wa wilaya Bunge bado halina mamlaka naye.